Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

umesahau pia kuna mashoga wengi kinoma noma wanawake, wanaouza nyuma ivi nayo ni biashara ya ngono, au tuiite biashara ya kunyeana, daah hata nilewe vipi sitaki malaya, ntarudi kwa wake zangu rasmi.
Yasirini ya hao unaosema wake zako rasmi,unayajua yote?
Tambua habari mbaya za mke,humzunguka mume na hatimaye mume huwa wa mwisho kujua ya sirini ya mkewe.Kua makini mkuu.
 
Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.

The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.

P.
Yes, oldest proffesins duniani ni Ukahaba na Intelijensia...ziko hadi kwenye vitabu vya dini
 
TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.



Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Vicky Catch alikuwa na haya ya kuongea..... &©¥®] \€$~¿¡<×§¶¬|[<[>©®
 
Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.

The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.

P.
Hatari....sii mchezo!
 
Hii Biashara ipo tofauti kdg.

Wauzaji ni wengi kuliko WANUNUAJI.

Yaan supply na demand curve hazina uwiano. Supply imekuwa kubwa hivyo price ina deteriorate.....
Kwa maelezo yako, inaelekea hitaji (demand) ni kubwa ila wahudumu ni wachache. Kama mhudumu mmoja ana wateja wa aina 5 kama ulivyoainisha, utasema vipi kuwa hitaji ni dogo?
Wanunuaji ni wengi, wauzaji wachache.
Ila kiuhalisia, suala la ngono ni nusu kwa nusu kwa jinsia zote.
Kama ambavyo umeonesha kuna wanawake wenye wateja (wanaume) tofauti tofauti, vivyo hivyo, na wanaume, hawatoshelezwi na mwanamke mmoja.
 
Mshawahi kujiuliza kwann wanajiingiza kweny hizo biashara??
Mshawahi kujiuliza kwann hio biashara ina stawi sana??
Biashara ita stawi bila wateja??
Hivi wateja wa hio biashara ni akina nani, ni wanaume au wanawake?

Uki tafakari kwa upande mmoja lazima utaona shida iko upande huohuo.
Wauzaji ni wengi kuliko wateja.
 
Kwa maelezo yako, inaelekea hitaji (demand) ni kubwa ila wahudumu ni wachache. Kama mhudumu mmoja ana wateja wa aina 5 kama ulivyoainisha, utasema vipi kuwa hitaji ni dogo?
Wanunuaji ni wengi, wauzaji wachache.
Ila kiuhalisia, suala la ngono ni nusu kwa nusu kwa jinsia zote.
Kama ambavyo umeonesha kuna wanawake wenye wateja (wanaume) tofauti tofauti, vivyo hivyo, na wanaume, hawatoshelezwi na mwanamke mmoja.
Hapana.. BIDHAA ni nyingi sokoni.

Hao wenye WATEJA wa kufikia wa5 ni techniques zao za uuzaji wa BIDHAA. Yaan marketing strategy yao ipo vzr. Ingawa ubora wa BIDHAA zao hushuka baada ya muda flani na wateja kwenda kwa BIDHAA nyingine iliyobora zaidi.
 
Wapo wanaojiuza wengi wanaume Mario kama ulivyosema, lakini kumbuka kuna wale waliojikataa jinsia zao, je unawaweka kundi gani? Maana nao wanawateja tuu wengi, huku Kitambaa cheupe na Kumalija hujawaona?
Hao wapo na wanachuana VIKALI katika Bidhaa zao kuuzika.

Inafikia kipindi soko la upande mmoja linakuwa hakuna. Wateja wanaopt bidhaa nyingine. Hivyo wauzaj wa BIDHAA moja wanaamua kuuza BIDHAA mbili. Wanaita MCHANGANYO.
 
Back
Top Bottom