Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.



Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Sijaona mahala umetaja wanunuzi : swali je? Wao cyo sehemu ya biashara? Kumbuka ili biashara ifanyike mnunuzi(mteja) ni kiungo muhimu sana
 
Sijaona mahala umetaja wanunuzi : swali je? Wao cyo sehemu ya biashara? Kumbuka ili biashara ifanyike mnunuzi(mteja) ni kiungo muhimu sana
Wanunuzi wapo ila sio WENGI kama BIDHAA hivyo ile curve ya Demand and supply imtrigger upande wa supply so price ni ndogo kwa bidhaa kutokana na biashara hiyo kustawi kila level..
 
Uwiano wa kusema wanawake wengi zaidi unamaanisha wanajitomba pia?, au?

Maake kama wanafanya biashara ambayo inahusu wao kutombwa tafsiri yake ni kwamba wanaume wanakuwa katika uwiano nao au hata kuwazidi kwakuwa kuna wakati chuda mmoja anatombwa na wanaume hata kumi kwa siku moja.

Anayeuza na anayenunua wote wapo katika mzunguko wa kibiashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan supply na demand curve hazina uwiano. Supply imekuwa kubwa hivyo price ina deteriorate.....
Kwa lugha ya kibiashara inaitwa price elasticity of demand, demand ikiwa kubwa kuliko supply price zinapanda, supply ikiwa kubwa kuliko demand, price zinashuka!. Arabuni kuna upungufu wa wanawake kwasababu watu wanaoa hadi wake 4, hivyo wale dada zetu wanaopeleka bidhaa Dubai, inalipa sana!. Wafanyabiasha wengi wa boutique wanaokwenda Uturuki, China na Singapore, wanapanda Emirates, wanapita Dubai kufanya part time for 2-Weeks, wanapata mtaji wa kutosha!.
P
 
Pascal Mayalla ameandika hapo juu kuwa...
Wanawake wote mnauza hata wewe yaani.

Amesema tofauti mliyo nayo;

1. Wanawake ambao hawajaolewa biashara yao ni reja reja sababu wanauza kwa wanaume tofauti tofauti.
2. Mlioolewa mnsuza jumla kwa mwanaume mmija.
JE ni sahihi?

Mjibu pasksli
Paskali yupo bar muda huu ndio maana ameamua kujitukania na kututukania mama zetu..


Hana akili kabisa!
 
Kwa lugha ya kibiashara inaitwa price elasticity of demand, demand ikiwa kubwa kuliko supply price zinapanda, supply ikiwa kubwa kuliko demand, price zinashuka!. Arabuni kuna upungufu wa wanawake kwasababu watu wanaoa hadi wake 4, hivyo wale dada zetu wanaopeleka bidhaa Dubai, inalipa sana!. Wafanyabiasha wengi wa boutique wanaokwenda Uturuki, China na Singapore, wanapanda Emirates, wanapita Dubai kufanya part time for 2-Weeks, wanapata mtaji wa kutosha!.
P
Upo sahihi....... MTAALAM wa UCHUMI..
 
Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.

The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.

Ndio maana tulishauri Opinion: Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The Oldest Profession?!", na Ikiwezekana, to Legalize Marijuana!

P.
Kuhusu Hiyo biashara siwezi kuiponda , kuikosoa au kuisaport la unafiki staki..Ila vip kuhusu marijuana I faidayoyote ??
 
Sijakataa ila ulikuwa unataka uwatunzee wewe?? Unajua kwanini wanajiuza umewauliza umechukua hatua gani kuwatoa huko?? Serikali wameshindwa wewe ndio nani sisifii hii nitabia mbaya ila mijitu mianaume inamzalisha mtu nyumba ya kupanga na kuleft unatarajia nini
 
Back
Top Bottom