Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Kaka paschal umenifanya niangue kicheko kikubwa mpaka watu wanashangaa hapa 😊😊🤣🤣😂😂
 
umesahau pia kuna mashoga wengi kinoma noma wanawake, wanaouza nyuma ivi nayo ni biashara ya ngono, au tuiite biashara ya kunyeana, daah hata nilewe vipi sitaki malaya, ntarudi kwa wake zangu rasmi.
 
Mshawahi kujiuliza kwann wanajiingiza kweny hizo biashara??
Mshawahi kujiuliza kwann hio biashara ina stawi sana??
Biashara ita stawi bila wateja??
Hivi wateja wa hio biashara ni akina nani, ni wanaume au wanawake?

Uki tafakari kwa upande mmoja lazima utaona shida iko upande huohuo.
 
Hahahahaha,nimeipenda hii
 
Hujanielewa? Narudia:

Siyo mpya hiyo biashara, hata kwenye biblia ipo tena amehusishwa Yesu kuwa kizazi chake ni cha kahaba aitwae Tamari. Kajisomee kama unaijuwa biblia ni nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…