Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Nishawah kukutana na aina hiyo ya Mfanyabiashara. Hasa wale wa Telegram.
Hawana eneo maalumu ukimkuta ameshiba Pesa wanakua na dharau usiombe Ila akiwa amechoka unajisevia tu tena anakuita yeye na location live unapewa kila mda anakuuliza mboni haufiki jua hapo kachalala hana hela, akiwa na hela haongei sana anajibu mara moja kapotea hana story nyingi uende usiende utajua wewe na upwiru wako
 
Ni kweli kabisa, this is the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.
Nje ya mada naomba nikuulize hivi nini sababu ya kutokuwepo uraia pacha?.

1 Bibi yangu alikuwa na passport ya British alipo zaliwa( kabla ya kuwa Tanzania)

2 Jee ni ulikuwa uoga wa Nyerere kwa Kambona na Abdul-rahman Babu?.

3 Uoga wa ccm kutokutaka challenge na wasomi wenye raia pacha watakao wafunua macho wananchi walio lala?.

4 Kuilinda Tanzania kutoka kwa raia wageni kutokumiliki rasilimali ya nchi?.(mbuga,madini na wawekezaji wa hisa wengi ni wageni kwa sasa)

5 Mtanzania aki nyanganywa uraia wa kupewa na kurudishwa kwao Tanzania jee atapokelewa kama nani?.
 
TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.

Ndio ukweli,

Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.

Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji

Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.

Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.

Sijapigia hesabu CASINO's.

Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.



Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.

Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.

Hiyo yote ni Biashara.

Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.

>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.

Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..

>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.

Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..

>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY

Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:

1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)

Sasa nihitimishe.

Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.

Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.

NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Mwamba kwa ufafanuzi huu inaonesha kabisa hata mamazetu majumbani nadada zetu au wake zetu niwafanyabishara wangono,huenda hata mkeo wako uliyemlipia mahari akawa muuza nyapu tu.
 
MwanaFA katika nyimbo yeye na LINNAH inayoitwa Yalaiti.

Anasema "usinakate usiniangushe mimi nina BIASHARA na wewe"

Note:
Maudhui ya NYIMBO ni mtu na MKE wake.
 
Lakini hebu tuchukue sampuli ya aina ya wadada wanaojiuza, hivi unajua dada mmoja anaweza kuwahudumia wanaume kumi kwa usiku mmoja? Sasa hapo huoni kwa mfano huu wanunuaji ni wengi?
Bidhaa jinsi inavyokuwa CHEAP ndo wanunuaji wanakuwa wengi na inavutia hata ambae hana mpango wa kununua atanunua. Hata yule aliyenunua jana leo anaweza KURUDI kufyededa Ofa kabambe.
 
Nje ya mada naomba nikuulize hivi nini sababu ya kutokuwepo uraia pacha?.

1 Bibi yangu alikuwa na passport ya British alipo zaliwa( kabla ya kuwa Tanzania)

2 Jee ni ulikuwa uoga wa Nyerere kwa Kambona na Abdul-rahman Babu?.

3 Uoga wa ccm kutokutaka challenge na wasomi wenye raia pacha watakao wafunua macho wananchi walio lala?.

4 Kuilinda Tanzania kutoka kwa raia wageni kutokumiliki rasilimali ya nchi?.(mbuga,madini na wawekezaji wa hisa wengi ni wageni kwa sasa)

5 Mtanzania aki nyanganywa uraia wa kupewa na kurudishwa kwao Tanzania jee atapokelewa kama nani?.
Maswali magumu kwangu.
P
 
Sijakataa ila ulikuwa unataka uwatunzee wewe?? Unajua kwanini wanajiuza umewauliza umechukua hatua gani kuwatoa huko?? Serikali wameshindwa wewe ndio nani sisifii hii nitabia mbaya ila mijitu mianaume inamzalisha mtu nyumba ya kupanga na kuleft unatarajia nini
 
Back
Top Bottom