Ni kweli ila ikiwekwa mifumo mizuri Serikali inaweza kupata mapato Serikali ina mkono mrefu.Tatizo ni kuwabaini na mifumo yankuwalipisha Kodi.
Si rahisi. Maana hata mkeo unakuta anafanya BIASHARA na ww (LEGIT) wakat huo anafanya UHARAMIA wa kuuza bidhaa haramu, huko nje.
Hawana eneo maalumu ukimkuta ameshiba Pesa wanakua na dharau usiombe Ila akiwa amechoka unajisevia tu tena anakuita yeye na location live unapewa kila mda anakuuliza mboni haufiki jua hapo kachalala hana hela, akiwa na hela haongei sana anajibu mara moja kapotea hana story nyingi uende usiende utajua wewe na upwiru wakoNishawah kukutana na aina hiyo ya Mfanyabiashara. Hasa wale wa Telegram.
Nje ya mada naomba nikuulize hivi nini sababu ya kutokuwepo uraia pacha?.Ni kweli kabisa, this is the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.
Mwamba kwa ufafanuzi huu inaonesha kabisa hata mamazetu majumbani nadada zetu au wake zetu niwafanyabishara wangono,huenda hata mkeo wako uliyemlipia mahari akawa muuza nyapu tu.TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.
Ndio ukweli,
Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.
Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji
Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.
Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.
Sijapigia hesabu CASINO's.
Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.
Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.
Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.
Hiyo yote ni Biashara.
Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.
>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.
Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..
>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.
Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..
>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY
Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:
1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)
Sasa nihitimishe.
Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.
Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.
NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Achana nae huyo jina si umeona hapoNi kweli tena zaidi ya 89% na wateja ndio sisi au wewe hutumii?
Sina MKEMwamba kwa ufafanuzi huu inaonesha kabisa hata mamazetu majumbani nadada zetu au wake zetu niwafanyabishara wangono,huenda hata mkeo wako uliyemlipia mahari akawa muuza nyapu tu.
Tatizo hiyo mikono inapitiliza.. kodi tu za sahiv wameshindw kuzicontrolNi kweli ila ikiwekwa mifumo mizuri Serikali inaweza kupata mapato Serikali ina mkono mrefu.
Hao tunawapataje sas maaana inatakiwa Kula nyama na kunyamaza kele tunaachiaa mbwa pesa iishe mtu abakiHao wapo ADVANCED kwenye Biashara yaana wanathamini BIASHARA na mteja
Kwahyo tufanye nn mkuuSina MKE
"Wanawake TUNAWEZA...."Hatari sana, utaisikia wenyewe wanasemaga "Wanawake na maendeleo"
Lakini hebu tuchukue sampuli ya aina ya wadada wanaojiuza, hivi unajua dada mmoja anaweza kuwahudumia wanaume kumi kwa usiku mmoja? Sasa hapo huoni kwa mfano huu wanunuaji ni wengi?Si kweliiii WAUZAJI ni wengi kuliko WANUNUAJI
Bidhaa jinsi inavyokuwa CHEAP ndo wanunuaji wanakuwa wengi na inavutia hata ambae hana mpango wa kununua atanunua. Hata yule aliyenunua jana leo anaweza KURUDI kufyededa Ofa kabambe.Lakini hebu tuchukue sampuli ya aina ya wadada wanaojiuza, hivi unajua dada mmoja anaweza kuwahudumia wanaume kumi kwa usiku mmoja? Sasa hapo huoni kwa mfano huu wanunuaji ni wengi?
Maswali magumu kwangu.Nje ya mada naomba nikuulize hivi nini sababu ya kutokuwepo uraia pacha?.
1 Bibi yangu alikuwa na passport ya British alipo zaliwa( kabla ya kuwa Tanzania)
2 Jee ni ulikuwa uoga wa Nyerere kwa Kambona na Abdul-rahman Babu?.
3 Uoga wa ccm kutokutaka challenge na wasomi wenye raia pacha watakao wafunua macho wananchi walio lala?.
4 Kuilinda Tanzania kutoka kwa raia wageni kutokumiliki rasilimali ya nchi?.(mbuga,madini na wawekezaji wa hisa wengi ni wageni kwa sasa)
5 Mtanzania aki nyanganywa uraia wa kupewa na kurudishwa kwao Tanzania jee atapokelewa kama nani?.
Wanawake wote duniani wanauza sema kuna utaratibu umewekwa kupunguza ukali wamaneno ila ukiona mtu analipa mahari ili kuoa ujue uchi ndio unaonunuliwa hapo89% ya wanawake ni malaya? kweli?
wewe una chuki binafsi
Sijakataa ila ulikuwa unataka uwatunzee wewe?? Unajua kwanini wanajiuza umewauliza umechukua hatua gani kuwatoa huko?? Serikali wameshindwa wewe ndio nani sisifii hii nitabia mbaya ila mijitu mianaume inamzalisha mtu nyumba ya kupanga na kuleft unatarajia nini