Kwa ujumla, Zabibu ni fursa kubwa sana kwa watanzania, na kwa bahati nzuri inapatikana kwa watani wangu wagogo ni wavivu sana. Ni kitu kinachoweza kuwakomboa vijana wengi hasa ukizingatia soko la zabibu halina ushindani. Katika ukanda huu zabibu ipo Tanzania.Tufungue mamcho kwa mapana juu ya hili mkuu.
Umeandika kwa kifupi sana, huenda ukamsadia sana mleta uzi, lakini hata sisi pia...
Hata mimi nataka kujua hilo..ila nadhan wwnachukua huko huko nje lakin kodi ni ndogo kwao kuingiza mzigoUganda huwa wanatoa wapi nguo zao maana ni cheap na quality pia ni nzuri.
ukitaka kujua vitu vingi jifanye hujui kwanza...rudi karikoo tena kafanye research ya pichu upyaNi chimbo gani unalosema sijaingia hilo..? Nimezunguka k.koo nzima. Na hyo bei chupi ni zile chupi za kawaida sana hakuna mtu anayeuza chupi za cotton kwa elf 9 hakuna.
Yaani dozen 10 zote kwaelfu 90?Hujaingia machimbo
Kariakoo kuna maduka ya jumla na rejareja unahitaji uchambuzi yakinifu siyo mdogo.
Kwa mfano chupi kuna maduka wanauza kuanzia dozeni kumi kwa 90,000
Hapo hapo kuna anayechukua kwa huyo wa jumla na anauza kwa hiyo 36000
Ngoja tusubiri majibu mkuu,Hata mimi nataka kujua hilo..ila nadhan wwnachukua huko huko nje lakin kodi ni ndogo kwao kuingiza mzigo
Njoo pm mkuu mimi pia nafanya Huyo biashara japo mimi nanunua nguo za mtumba kutoka Kampala Uganda na mwezi ujao mwanzo natarajia kwendaHabari za usiku huu mabibi na mabwana..
Mimi ni miongoni ya waliokosa ajira mpaka sasa, kutokana na hali hiyo nimejidunduliza na kupata M1. Kipindi nasoma chuo nilikua nafanya biashara ndogondogo nikiwa naishi hapo hapo hostel. Pia nilikua nazunguka hostel nyingine kike mbalimbali jijini Dsm nyakati za jioni, kuwauzia nguo za mitumba,nguo za ndani na chochote kile atakachoniagiza mteja naenda kujumua namletea kama pafyumu, belt au saa.
Naomba nisiwachoshe sana nina mtaji wa Milion 1 tu nataka niende Uganda kununua vitu kule nije kuuza huku kwetu. Nimejaribu kupitia uzi mbalimbali za miaka ya nyuma za biashara hiyo, nimepata mawili matatu.
Sasa kutokana na miaka kwenda naombeni maoni au ushauri kwa watu wanaofanya biashara hii hivi sasa.
Asanteni
Mm mwenyewe nimeshangaa halafu chupi za cotton og ambayo moja inauzwa 3500 kwa 4000.Yaani dozen 10 zote kwaelfu 90?
Mkuu naomba kuunga na mm huko pm maana nahitaj piaNjoo pm mkuu mimi pia nafanya Huyo biashara japo mimi nanunua nguo za mtumba kutoka Kampala Uganda na mwezi ujao mwanzo natarajia kwenda
Umeongea vyema aisehhLakini pia kulingana na hali mbaya ya uchumi watu hawanunui nguo sana, fanya kuuza chakula kwa pesa uliyo nayo unaweza kununua gunia kadhaa za maharage au mchele, nenda kwenye maduka ya reja reja, mamantilie ukichukua order, sambaza mzigo wako nina uhakika kwa siku utauza maharage au mchele gunia kadhaa na faida utaiona, kila siku watu wanakula ila hawavai nguo mpya.
Una asili ya ubishi, hivi hiyo laki 3 ukiongeza kwenye million 1 huwezi kuchukua mzigo sawa na ambao ungefuata Uganda au lengo lako ni kutalii, hivi unafikri ukinunua mzigo hutalipia kodi?Hiyo pesa ni mtaji tu wa kununulia mzigo pesa ya nauli na hotel nimetenga lak 3 pembeni, pia nataka nichukue nguo za duka sio mtumba tena na nguo za ndani pichu na sidiria.
nimeenda nimetoka Uganda hiv juzi tu nimenunua chupi dazani mbili sawa na pc 24 cotton nzuri na nzito kwa 24,000/=za ugshMm mwenyewe nimeshangaa halafu chupi za cotton og ambayo moja inauzwa 3500 kwa 4000.
Nataka kuanza hii biashara aisee ila sijui naanzia wapinimeenda nimetoka Uganda hiv juzi tu nimenunua chupi dazani mbili sawa na pc 24 cotton nzuri na nzito kwa 24,000/=za ugsh