Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Ni kweli tatizo mtaji. Mtaji ndio tatizo na mambo za kukopa si nzuri.

Ila unaweza kwenda kusafisha macho wikend moja.

Hilo la kusafisha macho jamaa nalo neno..nafikiri nikishajionea mwenyewe nitapata ufaham zaidi kuhusu cha kufanya..... binafsi nko boda hapa nahangaika na vishughuli vya hapa na pale.....nataaman hawa wafanyabiashara wa mikoani wangekuwa wanaishia kwangu nafata mizgo mwenyewe wakja hawana haja ya kuvuka mpaka Kampala nawauzia kwa bei pouwa
 

thamns sana ngoja nikupm
 
sikuwa na access ya net naomba nikupm kwa maelezo zaid
 

Webale nyo,webale indala sebbo.Maelezo yako yanaonesha unaijua vilivyo kampala.
 

Ilo linawezekana unaweza kununua kwa jumla na kuwasambazia au ukifungua duka kubwa boda hapo Mtukula.

Ila mtaji unahusika hapo
 
uko boda ya wapi,uganda?. Huwa najiuliza kwanini wafanyabiashara wa bukoba wanafanya mahemezi kahama na sio kampala.
 
Ilo linawezekana unaweza kununua kwa jumla na kuwasambazia au ukifungua duka kubwa boda hapo Mtukula.

Ila mtaji unahusika hapo
Nikwel jamaa mtaj wa maana unahitajika Jah live ngoja nijichange kujipanga sina budi ndugu...
 
uko boda ya wapi,uganda?. Huwa najiuliza kwanini wafanyabiashara wa bukoba wanafanya mahemezi kahama na sio kampala.
Nipo Mutukula ndugu... hilo la wafanyabiashara wa Bukoba kufata mizigo Kahama sijalisikia sana labda Buseresere nasikia huko bidhaa ni bei pouwa. Tatzo la ndugu zetu wa Bukoba (wahaya) wanataka faida kubwa sana kwa mara moja, so hata kama kuna dealer analeta mizigo mizur kutoka nje bei yake lazima itakuwa ni kubwa....
 


Mkuu hongera kwa kuwa msaada mzuri
 
ina maana mkuu. Money Stunna unaishi uganda?
natengemea kuja huko tarehe 10 ~15
 
Last edited by a moderator:
Sihishi Uganda ila uwa naenda. Ata mwezi huu naweza nikaenda. Bado sijakata ticket hivo nikikata ndio itakuwa uhakika

mkuu mie nlikua nataka nijue pia kuhusu nguo za special,je nazo znapatikana kwenye hzo market ulizotaja?money stunna!
 
mkuu mie nlikua nataka nijue pia kuhusu nguo za special,je nazo znapatikana kwenye hzo market ulizotaja?money stunna!

Zinapatikana mkuu. Kuna mtu niliwai kumnunulia nguo uko anaishi Mwanza kwa nguo moja nilinunua 2,400 ugsh na nyingine ya bei sana 3,000 cha ajabu akaniambia aliziuza kwa 25,000 tzsh adi 30,000tzsh ( zilikuwa nguo special za watoto wa miaka 3-6) ilikuwa 2010
 

thenkyuu mkuu! Tutaftana zaidi ili uweze nisaidia kuhusu hli! Kama hutojal,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…