Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
JF ni zaidi ya shule! Asante sana kiongozi. Vp ukiwa na mtaji wa kama milion 1.5 na uko dar hii biashara mtu unaweza ukaimudu?
poa sana kaka..naomba tuwasiliane kupitia simu,mana mi mgeni humu..hata kum MP mtu siwezi ndo naendelea kujifunza.tafadhali kaka.
Shukrani sana mkuu Money Stunna kupitia thread hii imeniincourage sana kwenda Uganda kuchukua mzigo. Biashara inalipa sana aisee... kwa muda mfupi nimekubali...
aaah Gaba!!! nilienda pale beach wakati wa honeymoon yangu! Halafu nilifanya shopping ya nguvu pale Mukwano. Nafikiri kuna mambo nahitaji kuyafanya hivi karibuni nitakuja kukutafuta humu kamanda!
Mtaji wa kama mil 4.5 upo,ishu ni soko la kuja kuuzia,kwa sehemu kama dar jamani kupata sehemu ambayo biashara ya nguo inalipa kodi yake si ndo itakufilisi
Ngoja mm niwe shuhuda wa kile unachotaka kufanya mkuu...last year nilienda uganda mwez wa 6 kuchukua hzo hzo nguo za mtumba, nilikuwa na 5m...nilifikia hotel moja pale mukono inaitwa 24/7 ni hotel nzur na ipo barabaran pia kwenye ground floor pana ofisi za kampala coach hvyo unapata uhakika wa safari na kutunziwa mizigo yako pale ofisini kwao....kwa chini zaidi ya hiyo hotel kuna club wanajaa wanafunzi wa vyuo coz lile eneo la mkono lina vyuo vingi sana na utakutana na wabongo wa kutosha na wakenya......janguuu
Hahahaha ulibug usingeshuka mukono ni kama uje Dar kufata mzigo harafu ushukie chalinze.!!
ukitafuta sehemu si lazima utafute jengo la mjini kabisa ata uko kwenye makazi ya watu kuna wateja,kupata sehemu mjini kabisa ni gharama
ukiwa na swali lolote kuwa huru kuuliza
ukiwa na swali lolote kuwa huru kuuliza
hiyo inatosha kwa kuanzia cha muhimu uchukue bidhaa inayotoka kwa urahisi hivyo fanya utafiti hapo kama ni nguo mfano,angalia nguo gani zinatoka kwa urahisi ukishafanya hivyo fata mzigo na uza utaona mtaji wako unakuwa.
cha kuzingatia ukifika ug ununue vitu ulivyopanga maana vizuri viko vingi pia usiingie kwenye starehe,fanya kilichokupeleka na urudi
vipi kuhusu nairobi kikombaa market? , huwa nawaona vijana wengi wakitanzania huku wanakuja kuchukua mzigo.maswali yako mengine yanaweza jibiwa na wewe ....kwa nini Kampala,
Nimewahi kuwa Kampala accomadation sio mbaya kwa elfu 30 unaweza lala mahali salama sana
hilo la biashara sijui hata mimi niliwahi tafuta taarifa ....ila kuna mdau alinipa mwanga anaitwa MONEY STUNNA ,KAMA NI MTAALAMU TAFUTA HIYO THREAD
Ila ni kweli Kampala kuna mitumba mizuri kuliko Dr
vipi kuhusu nairobi kikombaa market? , huwa nawaona vijana wengi wakitanzania huku wanakuja kuchukua mzigo.
Asante sana ndugu. Umenifungua sana macho. Vp lakin ug kuingia ni free kwa njia ya mtukula? Hakuna usumbuf mpakan?
ukiwa na swali lolote kuwa huru kuuliza
Mmh. Mnaenda kununua Uganda; halafu wenyewe wakanunue Hongkong au Ulaya?