Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

Ndo nataka niifanye na mie. Tatizo wahindi wanachakachua first class...la ndo ufate kampala au nairobi au ujilipue kuagiza nje, lakini kuna chimbo nimeligundua acha nitake risk nione zitakuwaje
Kaka tusaidiane na mimi nimekuja Dar nataka nikirudi mkoani nirudi na mtumba ili niuze.
 
Wakuu naomba ushauri wenu mimi nipo nchini MLW nimepata fremu nataka nifungue duka la nguo za kiume jeans tshirts caps shirts belts Saa na vitu vingine vya kiume lkn changamoto yangu nimepata fremu ya ndani ya jengo je nifanyeje ili wateja wajue kuna duka lenye nguo kali kwa ndani.
 
Ngoja waje watu wa Malawi wakushauri mi napita
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 

great thinker
 
Umenifungua sana . Niko Moro nataka kuianza hii biashara hivi karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajukwaa,

Mimi ni mwajiliwa na nina mpango wa kutafuta njia ya kujiongeza kipato. Katika kuchanganya mawazo nimeona biashara ya haraka haraka ambayo sitahitaji Fremu wala leseni ni kununua balo za mitumba na kupeleka mnadani siku za jumamosi na jumapili ambazo nakuwa off.

Nuomba kupata uzoefu kwa yoyote aliyewahi kufanya biashara hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si nimesikia mitumba imepigwa marufuku au niaje?
 
Habari, naomba ushauri nahitaji kufanya Biashara ya nguo za mtumba nahitaji kujua kati ya Uganda na Bujumbura Burundi ni wapi naweza pata Mzigo mzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio unataka kuanza au?


RubiiKimimi[emoji85]
 
Ndugu zangu, Kwa yoyote aliyewahi kununua mitumba kwa jumla na kupeleka kwenye mnada, naomba kujua hali ya faida na changamoto zake. Maana nimeshawishika kufanya hiyo biashara siku za weekend ambazo ninakuwa Off.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…