Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari mkuu, Mwenge bado mnachukua nguo?Ok karibu sana tupange siku tukutane let say mwenge au anyplace
ili tuyaweke sawa.
Mjomba wangu kesho kutwa hongera sana kwa wazo la biashara, kuna nyuzi kadhaa humu zimeongelea kwa upana sana kuhusu maduka ya nguo za mitumba kwa jumla hapa dar na jinsi watu wanavyopigwa, usiwe mvivu mjomba jaribu kuzitafuta utajifunza mengi.
Mkuu Sawa nimekupata vipi Bei zake kama unauzoefuKuwa makini kwenye kujua size,sema kwenye balo ni ngumu kujua size,vingi ni oversize kulingana na nchi inapotoka.
Dah bei sijui kwa wakati huu,maana nilishukag dar 2016 January kuchukua balo LA mashati,jamaa wangu alinipeleka kwenye maduka kuchagua haikufika laki tatu.Mkuu Sawa nimekupata vipi Bei zake kama unauzoefu
Nashuruku mkuuDah bei sijui kwa wakati huu,maana nilishukag dar 2016 January kuchukua balo LA mashati,jamaa wangu alinipeleka kwenye maduka kuchagua haikufika laki tatu.
Baada ya kuchukua kesho yake nikasafirisha kuja kwetu mkoani nikapumzika kwa muda, nikaja nikakata balo na kuchagua Yale ya grade ,na zoazoa yalikuwa oversize saana mpaka nikauza jero jero.
Vile vile zingatia jinsia unayoilenga na rika husika.
Usiwe na haraka,tafuta mwenyeji&mzoefu mabeli yanahitaji umakini
Mungu akubariki acha nimfatilieMtafute jamaa anaitwa usiendekariakoo huko insta ndo naona ana maduka ya nguo mengi mkoan akupe ujuzi