madam boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 701
- 742
Habari,
Mwenye kufahamu nguo za mtumba kwa akina dada zinapatikana wapi kwa ulanguzi ili nami nikauze na malengo yangu makubwa ni kuwauzia wanafunzi wa chuo. Na hali ilivyokuwa ngumu kutegemea kazi moja, hatuwezi kufanikisha.
Kazini natoka saa 4:00 jioni, kwa hiyo huo mda nataka niutumie kufanya biashra hiyo.
Mawazo yenu tafadhali.
Mwenye kufahamu nguo za mtumba kwa akina dada zinapatikana wapi kwa ulanguzi ili nami nikauze na malengo yangu makubwa ni kuwauzia wanafunzi wa chuo. Na hali ilivyokuwa ngumu kutegemea kazi moja, hatuwezi kufanikisha.
Kazini natoka saa 4:00 jioni, kwa hiyo huo mda nataka niutumie kufanya biashra hiyo.
Mawazo yenu tafadhali.