Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji


Nina photo printer mpya epson l805, printer ndogo ya photocoy na camera nikon d40 zote hazijawahi kutumiwa nchini..ukihitaji nijuze..mm si mfanyabiashara wa hayo mambo nauza tu sababu nimekosa kijana wa kusimaia hiyo biashara..ukihitaji nicheki tu
 
Nina photo printer mpya epson l805, printer ndogo ya photocoy na camera nikon d40 zote hazijawahi kutumiwa nchini..ukihitaji nijuze..mm si mfanyabiashara wa hayo mambo nauza tu sababu nimekosa kijana wa kusimaia hiyo biashara..ukihitaji nicheki tu
Nakuja pm mkuu

sent from Sokoro nkorambokande
 
Nina photo printer mpya epson l805, printer ndogo ya photocoy na camera nikon d40 zote hazijawahi kutumiwa nchini..ukihitaji nijuze..mm si mfanyabiashara wa hayo mambo nauza tu sababu nimekosa kijana wa kusimaia hiyo biashara..ukihitaji nicheki tu
Plz whatsupp me picha vitu hivyo 0755441210 tuongee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu upo wapi. Kama upo dar nakushauri uende maduka yanayouza hivyo vifaa ukaulizie bei yake tena vipya, hiyo biashara na mimi nampango wa kuifanya mda c mrefu nampango wa kuondoka huku serikalini siku za usoni. Mwambie huyo mdogo wako hiyo ndo itakuwa ajira yake ya kudumu aifanye kwa weledi ili azidi kukua kibiashara haya masuala ya kuwaza kuajiriwa serikalini unakuwa mtumwa na manyanyaso. Sisi wenyewe tulikuwa tunajua kuajiriwa serikalini ndo mwisho wa kila kitu but tumekuja huku hakuna lolote jipya tuliloliona zaidi ya kunyanyasika kwa maslahi duni tukisubiri pensheni ndo tuanze kujenga.
 
Niko mkoani mkuu.

Ajira ni utumwa kwa zaidi ya 99%.
Hata mimi nina plan flani hapo mbeleni, naweza acha huu utumwa.

sent from Sokoro nkorambokande
 
Niko mkoani mkuu.
Ajira ni utumwa kwa zaidi ya 99%.
Hata mimi nina plan flani hapo mbeleni, naweza acha huu utumwa.
Ok kama upo mkoani na unafahamiana na mtu dar unaweza kumwagiza aende kariakoo kukuulizia bei ya hivyo vitu...ningekwepo dar kwa kipindi hiki ningekuulizia bei ya hivyo vitu dar nitakwepo mwisho wa mwezi huu nafikiri...but umwambie dogo atumie effort za kutosha kwenye hiyo ajira yake na kuiendeleza. Hapo kwenye biashara cha msingi kuwe na mzunguko wa watu...kama ulivyoongezea hapo m pesa, tigo pesa,airtel money akiweka na ka friji kwa nje kwa ajili ya vinywaji faida itakuwa zaidi...kama ni sehemu ya mjini na kuna chumba cha ziada pembeni anaweza ongezea na biashara ya kuwa wakala wa kuuza gesi kama ka mtaji kataruhusu...hapo atapata pesa ya kutosha wakati anaendelea kuvumbua fursa nyingine...mda c mrefu sisi wafanyakazi ambao mda wote tumevaa suti na mavitambulisho yetu shingoni tutajikuta tunaenda kukopa kwake na kutamani kuwa kama yeye cha msingi atumie effort za kutosha.
 
Asante kwa ushauri mkuu nimekuelewa sana

sent from Sokoro nkorambokande
 
Check PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau,

Poleni na majukumu ya kila siku ya biashara mzifanyazo,

Niende kwenye dhumuni la uzi huu,

Ningependa kufanya biashara tajwa hapo juu lakini kabla ya kuanza ningipenda kupata ujuzi kutoka kwa JF members ambao wanafanya biashara hii ya kuuza vifaa vya stationary kwa jumla.

Ningependa hasa kujua upatikanaji wa RIMU, maana Rimu nyingi nchini hutoka south Africa.

Je wanaagiza nje au wanazinunua wapi?

Bei zipoje kwa kila carton?

Na je hao agents huuza kuanzia carton ngapi?

Kiufupi nataka kujua kila kitu ambacho wewe utaona unaweza kushare na mimi na pia kwa faida ya member wengine.

Ushauri, aidea, tecniques, please i need you to share experience on this issue.

Nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu wote.
 
niliwahi kujaribu kuhusu rim toka south afrika ila nilipofanya mawasiliano wakaniambia nikanunue kwa wakala wao ambao ni wahindi wako dar
 
bei ambayo wangeniuzia wale wahindi ndio hiyohiyo ambayo wanauza kwa jumla kwenye stationery
 
Habari wakuu. Kuna kijana ni gradute wa chuo kikuu anaomba ushauri namna ambavyo anaweza kuanzisha biashara ya stationery. Kikubwa angependa kufahamu hasa atahitaji vitu gani muhimu na gharama zake kama itawezekana. Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kwanza desktop or laptop
Cha Pili copy machine
Cha tatu printer
Cha nne some files and books....
Me naishia hapo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningependa wakuu mnisaidie bei za vifaa kama
Machine ya kuprint picha
Machine ya kupigia lamination
Pia laptop
Vyote hata kama kunamtu anavyo used poa tunawasiliana vzr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…