Biashara ya Uchawi Tanzania



wewe data zako zimezidi kuwa za kufikirika..umewaacha wakinga na mkoa wa iringa?biass wazi wazi kwa mikoa baadhi..
 
Nilikuwa natafuta Mkoa wa IRINGA kule ambako kaburi halihamishiki sijauona.

Kaburi walishalihamisha na hakuna lolote lilitokea, ilikuwa ni stori au imani tu za kipumbavu.
 
Kama wana mahela ya kuchezea, waambie waende pale ustawi wa jamii, kuna watoto yatima, labda hizo hela zitawasaidia!
 
Gambushi huko kwa wasukuma shinyanga mmekusahau? watu washambaaaa lakini wachawi balaaa...kijiji usiku kipo mchana hakionekani..
 
Gambushi huko kwa wasukuma shinyanga mmekusahau? watu washambaaaa lakini wachawi balaaa...kijiji usiku kipo mchana hakionekani..

Yaani hapo kuna uhusiano mkubwa sana tu!
 
Maji Moto,
Inasemekana kuwa MV Spice ilijaza watu na mizigo kupita kiasi, kiasi kwamba meli ilionekana kabisa kuinamia upande hata kabla ya safari kuanza. Nahodha wake akagoma kuiondoa lakini akatafutwa mwingine ndo akaenda kuwazamisha watu baharini. Sasa hapa nina swali, pamoja na kuiona hatari yote hiyo watu hawakustuka na waling'ang'ania kwenda tu. Je kuna mkono wa ibilisi katika ajali hii? Na kama ni ndiyo kuna suala lolote la kafara la kuhusishwa na hii ajali?
Asante
 
kama sioni wanasiasa na viongozi wa makanisa ya kilokole napinga takwimu hizo
 
kama sioni wanasiasa na viongozi wa makanisa ya kilokole katika wateja wa uchawi napinga takwimu hizo
 
Kaburi walishalihamisha na hakuna lolote lilitokea, ilikuwa ni stori au imani tu za kipumbavu.
<br />
<br />
ni kwl kaburi limeondolewa lakini kwa taarifa nilzo pata nikwmba watu wlio fanya kazi iyo wamekufa.
 
kama sioni wanasiasa na viongozi wa makanisa ya kilokole katika wateja wa uchawi napinga takwimu hizo

Uchawi kwani si kuwanga? Kwa uelewa wangu mdogo,mtu haendi kuuomba uchawi kwa mchawi! Wachawi ndo wanaweza kukushawishi ujiunge nao! Ni tofauti na mambo ya UGANGA ili kufanikisha biashara,mapenzi,kulipwa madeni,kufutwa kesi,n.k. Baadhi[huenda hata na MAJIMOTO naye] huchanganya UCHAWI NA UGANGA!
 

Huwezi kuwa mganga wa kienyeji usiwe mchawi.

Waganga wote huongozwa kwa usaidizi na mizimu au majini, mizimu ni roho kamili zinazowekwa ndani ya mwili wa mtu, roho hizi chafu huweza kuona mambo yote katika ulimwengu usionekana. Mganga yeyote awe amevaa suti na ofisi nzuri bado anazo sifa zote za uchawi. Mtoto anapozaliwa mizimu hii huona uwezo wa mtoto katika ulimwengu usionekana, mtoto akiwa na uwezo mkubwa, wachawi/waganga hufanya matambiko na kumchanja mtoto wakimtayarisha kuwa mganga siku atakapokuwa na umri mkubwa. Ndiyo maana baadhi ya waganga wanapokuwa wakubwa hutokewa na mambo ya ajabu ajabu yanayomlazimisha kuacha kazi zao nzuri na kuingia kwenye uganga bila ya hiari yake.

Mganga hawezi kukufanya ufanikiwe kibiashara, kushinda kesi au mafanikio ya aina yeyote bila ya kukupa uwezo wa majini, waganga wanauwezo wa kuyaita majini na yanapokuja huangizwa yafanye mambo yanayoagiwa na mganga, baada ya kupewa damu aidha ya kuku, ya mbuzi, ya ng'ombe jini huwekwa ndani hirizi, matarasimu, ndani ya maji yaliyooshea maiti nk. na mteja hupewa vitu hivyo na kuelekezwa jinsi ya kuvitumia, jini linapokuwa kubwa, ndivyo linavyo nyweshwa damu nyingi. Mafanikio yanakuwa makubwa majini yanaponyweshwa damu ya binadamu, ndiyo maana waganga wengi huweka mitego yao barabarani inayosababisha ajali, zinazowapa kiasi kikubwa cha damu au baharini kupindua meli na kuzamisha abiria majini.

Ili uwe mteja wa kudumu wa mganga, ni lazima wachukue damu yako wanakuchanja kwenye ulimi ili siku zote uwe unawasifia, wanakuchanja miguu, linapotokea tatizo lolote miguu yako inakuwa miepesi kuwakimbilia. Damu yako inakuwa kama remote controll, wakikutaka muda wowote, ni lazima utafunga safari kuwafuata.
 
kama sioni wanasiasa na viongozi wa makanisa ya kilokole katika wateja wa uchawi napinga takwimu hizo

hata mimi napinga kwa sababu hizo. Halafu wazee wa bagamoyo wamesahaulika. Kwa mzee kwenyewe!
 
wanasiasa(Magamba orijino na Magamba B) na viongozi wa vitengo ni noumer kwa kupulizia ndumba! bila kusahau masekretari ili wapendwe na mabosi
 
wanasiasa(Magamba orijino na Magamba B) na viongozi wa vitengo ni noumer kwa kupulizia ndumba! bila kusahau masekretari ili wapendwe na mabosi

Khee! Usiniambie mwenzangu, kumbe mambo ya ofisi ndo hivyo!?
 


Waziri mkuu wa Uingereza anasumbuliwa na jini munsar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…