Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Leo hao JATU wako Soko la Hisa la Dar-es-Salaam (DSE), wewe baki na mawazo yako negative kwenye kila kitu chenye kuzalisha pesa ambayo akili yako imeshindwa kuielewa!
Kuwepo Soko la HISA haimaanishi kitu ni genuine ni jukumu la muwekezaji kufanya duel dillegence..., Hata kina ENRON, walikuwa kwenye Stock Exchange za Ulimwengu achana na DSE; Ila mwisho wa siku they were cooking books...

Na hata wewe ukipata haimaanishi kitu ni sustainable unaweza wewe ukapata wengine wakalia..., cha maana kwa mwekezaji ni kujua inside out ya kitu kabla hajawekeza..., na kwa muuliza maswali kuuliza ndio njia ya kujua ukweli..., na kwa mwenye Kampuni dawa ni kujibu maswali yote pasipo shaka wala sio kukasirika
 
Leo hao JATU wako Soko la Hisa la Dar-es-Salaam (DSE), wewe baki na mawazo yako negative kwenye kila kitu chenye kuzalisha pesa ambayo akili yako imeshindwa kuielewa!
Kwani kuwa soko la hisa ndiyo kufanikiwa? TOL na Precision ziko listed DSE kwa miaka zaidi ya 20 lakini shareholders wake hawajawahi kukinga hata Tsh 100.
 
Akikujibu hili unishtue
 
Narudia, ukitaka kuwa maskini nchi hii basi kuwa mkulima.
Mkulima nchi hii anaonewa Sana.

Hamna kitu kinanikera unalima kwa gharama, afu hujui utauza sh. Ngapi
 
Usipotoshe wana jf
 
Mbona unatumia nguvu kubwa mno aisee[emoji1]
 
Utata upo hapa kwanini wakati wanaendelea kulima ili kupunguza cost zaidi wasinunue zilizopo na kuuzia hilo soko lao ? Kama wanao uwezo wa wao kununua kwa milioni moja kwanini wasinunue kwa bei pungufu huko Bukoba wakati wanasubiri ?
Mkuu kwahio ukimuona fulani anafanya kitu wewe utafanya sababu fulani na yeye kafanya ?, Sidhani kama a Sound investment ukiulizwa kwanini umefanya itakuwa na fulani kafanya... Hata kama hao jamaa wana soko leo, Je watakuwa na soko three years down the line ? In short hakuna mtu wa ku-predict bei ya kitu miaka mitatu ijayo with accuracy kufanya hivyo ni speculations
 
Hao wawekezaji wako wanatofauti gani na yule Mr. Kuku wa kigamboni?

Maana nae approach yake ilkua Ni hii hii a watu walikuja kulia baadae
 
Kwanini na nyie msiende huko DSE mkakusanye mitaji?

Mnapaogopa nini huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…