Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
- Thread starter
- #81
Pamoja sana bossHongereni wajasiliamali huu ni udhubutu wa kuwaonyesha vijana wenzenu fursa, sio kulalamika lalamika tu chukua hatua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana bossHongereni wajasiliamali huu ni udhubutu wa kuwaonyesha vijana wenzenu fursa, sio kulalamika lalamika tu chukua hatua.
Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndiye fursa........
Yani kuna watu wa ajabu sana mimi sijawaita watu wala kuwaambia nitawauzia mimi nikauonyesha njia wewe ukanunuwe mwenyewe unapojua uje upige pesa mtu anaona anatapeliwaUtakuja kukosa pesa kwa mawazo yako hayo
wewe ulieleta hii mada kuhusu viatu,Ubarikiwe.Pambana sio kukaa vijiweni na kulaumu,Godbless youYani kuna watu wa ajabu sana mimi sijawaita watu wala kuwaambia nitawauzia mimi nikauonyesha njia wewe ukanunuwe mwenyewe unapojua uje upige pesa mtu anaona anatapeliwa
Asante Sana bosswewe ulieleta hii mada kuhusu viatu,Ubarikiwe.Pambana sio kukaa vijiweni na kulaumu,Godbless you
Hongera sana boss kikubwa ni nidhamu na uvumilivu lazima utafika juu kwenye kilele cha mafanikioBaada ya kupitia huu uzi, hatimaye nimeanza rasmi biashara ya viatu kariakoo mtaa wa Kongo.
Nimepata na meza ya mjasiriamali.
Nimeanza na mtaji wa 3mil. Lengo ni kufikia mtaji wa 5mil.
Pamoja sana God bless youUzi mzuri
Pamoja sanaAhsante kwa muongozo...
Ipi saaaSandal kama hiyo juu katoni shingap mkuu
144000 bei ya katoni kwa mwanzaSandal kama hizi na wenzie kupata mzigo shi ngap mkuuView attachment 1710914
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huo mtaji unatosha kabisa kikubwa ni nidhamu yako binafsi juu ya biashara ila kwenye upande wa mtaji hiyo pesa inatoshaVip,kwa mtu mwenye mtaji wa 70 elfu anaweza akatoboa kwa sasa huko mwanza
Sawa nitakutafuta nije kuchuku mzigo kwako kiongozi wanguHuo mtaji unatosha kabisa kikubwa ni nidhamu yako binafsi juu ya biashara ila kwenye upande wa mtaji hiyo pesa inatosha
Hii ni laki saba au elf sabini kuweni siriazi bc!Vip,kwa mtu mwenye mtaji wa 70 elfu anaweza akatoboa kwa sasa huko mwanza