Biashara ya viazi mviringo

Morogoro sehemu gani wanalima viazi..?
Wilaya ya mnvomero hasa maeneo ya mgeta ni maarufu kwa kilimo vikiwemo viazi mviringo,unaweza ukaenda huko au unaweza kwenda pale soko la morogoro mjini stendi ya SUA huwa kuna wafanya biashara wa viazi mviringo huleta pale ila huenda ukapata bei kidogo endapo wamevitoa mbeya au njombe.
 
Habari.
Natafuta soko la viazi mviringo kwa mkoa dar,morogor na singida tafadhali kama kuna mnunuzi naomba nitafute no:0743185408
 
Kwani usafiri kutoka njombe mpaka dar kwa gunia moja nauli shilling ngapi kwa fuso
 
Jamani mliofanya hii biashara tunaomba mtupe mrejesho....nyinyi ndo mabalozi wetu
 
Bro! Naweza kuonana nawe ili tuongee zaidi! Pls ni PM. Nimekuwa natafuta data za hii biashara na nijue mahala pa kuanzia!
Sijui kwanini nimehisi utaibiwa na huyu mtu ila let me ignore my intuition
 
Mimi nipo ndagha apa vinaplimwa viaz Na nna Lima kidogo ila hua nataman kuuzia dar kwa kununua vingne tatzo sjui bei Na soko la huko zao lingne ni ndizi Toka tukuyu nazo znalipa
 
Mimi nipo ndagha apa vinaplimwa viaz Na nna Lima kidogo ila hua nataman kuuzia dar kwa kununua vingne tatzo sjui bei Na soko la huko zao lingne ni ndizi Toka tukuyu nazo znalipa
Dagha iko wapi?,usafiri huko ukoje?
 
Salamu kwenu wadau,

Naomba kujulishwa kiundani juu ya biashara ya Viazi mviringo/ulaya kutoka Tarime kupeleka Mwanza. Moja ya Mambo muhimu ninayoomba kueleweshwa ni haya:-
-Misimu ya Viazi hivi ni miezi ipi?
-Gunia shambani ni sh. Ngapi?
-kusafirisha ni sh ngapi?
-ushuru tra ni sh ngapi?
-usafirishaji ni Wa namna gani?
-zipi changamoto hasa?
-kwa kila gunia ukiondoa kila gharama kuanzia kutoa shambani hadi Mwanza sokoni likiuzwa unaweza pata faida kiasi gani?
-mzigo unaweza isha baada ya muda gani ukishafika sokoni? Niishie hapa kwanza

Natumai nitapewa msaada na wazoefu Wa biashara hii,mana maisha magumu nataka nitumbukie na kwenye biashara hii kama ikiwezekana. Natanguliza shukurani ndugu zangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…