Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida


Sema upo mkoa gani? Kama Dar ntakupa agents wote wa vifaa vya ujenzi.
 
Nenda kwa mama wahenga pale buguruni, atakusaidia vyote hivyo

Asante, Buguruni sehem gani pale,na anaweza kunisaidia niwe agent ambaye nacontact direct na manufacturer! Na naskia baadhi ya vifaa wanauza bei rahisi zaidi kule Zanzibar haswa plumbing fixtures. Unayotarfa kama hii?
 
asante, buguruni sehem gani pale,na anaweza kunisaidia niwe agent ambaye nacontact direct na manufacturer! Na naskia baadhi ya vifaa wanauza bei rahisi zaidi kule Zanzibar haswa plumbing fixtures.unayotarfa kama hii?

Sina taarifa na zanzibar, ila nenda kkoo kwenye maduka ya jumla. ila kama unataka vitu vikubwa nenda pale kwa maam wahenga
 
Asante, Buguruni sehem gani pale,na anaweza kunisaidia niwe agent ambaye nacontact direct na manufacturer! Na naskia baadhi ya vifaa wanauza bei rahisi zaidi kule Zanzibar haswa plumbing fixtures. Unayotarfa kama hii?

Mkuu Buguruni kwa Mama waHENGA ni pale ukitokea ubungo baada yakupita kituo cha tbt matumbi na zile YARD kwa mbele kushoto utaona maGHOROFA upande wa kushoto ukiulizia hapo umefika Ila huja sema ni Vifaa gani vya Ujenz unataka manake Vimegawanyika sehem nyingi hebu sema kwanza then tujue pakuanzia kukushauri Ingawa pia unasema unatakaa uWAKALA lkn nadhani lazima uanze Kwa nguvu zako ili hataa huyo unaetaka uwe wakala wake ashawishike Vinginevyo km ni Mabomba na Fittings zake check namm muda wote..

Karibu sana
 
Sina taarifa na zanzibar, ila nenda kkoo kwenye maduka ya jumla. ila kama unataka vitu vikubwa nenda pale kwa maam wahenga

Mkuu huyo mama Wahenga unaweza kutuwekea contacts zake ili tumpige wire? Nilijipigiza siku moja pale KAMAKA kuna baadhi ya vifaa vina bei poa vingine wananyoa sana! Hapo ndo Mimi nalewa kabisa. Huku kwetu kuna jamaa wanauza bei chee kiasi huwezi shindana nao na wanadai wanachukulia Dar sasa najiuliza ni Dar gani hiyo? Hebu wakuu mtusaidie labda nasi tutatoka!
 

Sina number yake.
 

Ha,ha,ha.haaaa, mkuu Manjagata umenichekesha sana hapa. Ilinikumba hii kampala nimeenda zangu kutembea nikataka ninunue mashati kwa bei za jumla. daaah kila duka nililouliza pale mukwano bei naona ziko kama za bongo. Lakini mwisho kabisa nikabahatisha duka moja hilo kumbe nilikuwa nalipita kila wakati!!!! jaribu kupoteza muda hata siku mbili utafute tena, tembea kwa mguu duka kwa duka.
 
Ni idea nzuri na ya mafanikio kazeni buti. I have three monthes on thst hardware busimess na bafo narndrkea.nayo so usikatae tamaa bsli tuu kuwa serious na unacho hitaji kukifanya utafanikiwa tuu
 

Ntakutafuta mkuu!!!!
 

Yaan nlikuja na nia ya kuulizia hii biashara nikasema pengine kuna mtu alisha post kumbe humu ndani hukosi kitu aisee, sasa mabosi zangu mbna hamzungumzii maeneo ya kuweka hio mambo, mimi nna two plots kimoja kipo mlandizi na kingine kipo boko wapi nit pazuri cha mlandz kipo barabaran cha boko kipo interior...msaada pliz
 
Shukran mkuu
 

Boko na Bunju ndio maeneo muafaka kwa biashara ya hardware kwa sababu ndiyo maeneo mapya na vifaa vinahitajika zaidi ya Chalinze. Unaweza kukodisha fremu eneo bora kwa wateja kufika. Kiwanja cha ndani unaweza kufanya kama ghala la mbao, cement, nondo na kama eneo ni kubwa unaweza kufyatua matofali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…