Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
Mkuu nna mtaji wa 10mil hv
kwa huo mtaji cha muhimu ingia kama mfanyabiashara fungua store zako hata tatu mazingira tofauti weka mzigo pale wanauza kuanzia nadhani 100 kwa uhakika zaidi nenda pale bondeni kituo kabla ya tangibovu mbezi beach kuna jamaa anatengeneza tofali muulizie anao mawakala alikuwa anajumua elfu kumi mwaka jana hiyo january USIOGOPE SANA UNAPOTAFUTA