Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

WADAU NIPO TAYARI KWENYE HII BIASHARA KWA MUDA SUALA LA CHANGAMOTO YA MTAJI NI KAWAIDA KTK BIASHARA ,NA KUKARIBISHA UWEKEZAJI NI AINA YA KUKUZA MTAJI NA INAKUBALIKA JAMBO LA MSINGI NI PANDE MBILI KUKAA , KUJUA JINSI GANI YA KUFANYAKAZI PAMOJA ,AU AINA YA UWEKEZAJI THEN MIKATABA , HATA UKIWEKEZA KUANZIA MIL 7,AMBAYO NI TAMI 30 KWETU UTAPATA FAIDA ,KUMBUKENI BENKI UNAWEZA WEKA AKAUNTI YA MALENGO NA UKAPEWA 7% KWA MWAKA SISI UNAWEZA UKAPATA ZAIDI , KARIBU TUJADILI UKIWA UNAHITAJI.
 
mimi nataka kufaham kuvifata China na Dubai mpaka vinafika hapa Tanzania wapi itakukuwa gharama ipo chini zaidi
 
mimi nataka kufaham kuvifata China na Dubai mpaka vinafika hapa Tanzania wapi itakukuwa gharama ipo chini zaidi
Mkuu hii thread ni ya mwaka 2013 ,tena enzi za mkwere....

Sasa hivi ni 2016 , alafu ni era ya magufuli
 
Tumemaliza misitu kwa kukata miti ovyo. Sasa tubadilike kwa kutumia technology mpya kuna milango mizuri inayopendeza na kudumu kwa muda mrefu sana ya steel. Kiwanda kipo Tanzania Dar es Salaam.
Watanzania tubadilike hii dunia ni kwa faida ya vizazi vyetu pia. Kwa mahitaji yako nipigie 0786741162.
 
Kaka vya kwetu viko wapi ?kila kitu Mwinyi na Mkapa waliuza sasa kuna vitu gani au ni viwanda vipi vinavyozalisha Tanzania,hata vilivyopo bidhaa zake ni aghali kuliko bidhaa za nje,au kama unasema huenda tununue asali kutoka Tabora,ilaumiwe CCM na serikali yake na si wananchi ambao hawana kauli na michongo ya 10% waliyopata viongozi kwa kuuza viwanda tulivyokuwa navyo,Urafiki ,UFI vimekuwa yard za magari na nyumba za mapopo,si asavali kununua vitu Dubai bana,Tanzania iliondoka na Nyerere wacha kila mtu aangalie ustaarabu wake,pia waambie waliohodhi hela kwenye mabenki Uswisi warudishe wajenge viwanda hapa nchini ndipo tununue bidhaa made in Tanzania
siyo kweli ni juzi ty nimetoka kuchukua khanga na shuka pale urafiki viwanda vipo bidhaa zipo tatizo nyingine zinakwenda kufanyiwa packaging nje zinaongezwa thamani.
 
Tumemaliza misitu kwa kukata miti ovyo. Sasa tubadilike kwa kutumia technology mpya kuna milango mizuri inayopendeza na kudumu kwa muda mrefu sana ya steel. Kiwanda kipo Tanzania Dar es Salaam.
Watanzania tubadilike hii dunia ni kwa faida ya vizazi vyetu pia. Kwa mahitaji yako nipigie 0786741162.
Weka picha ya hiyo milango
 
["]Mkuu hii thread ni ya mwaka 2013 ,tena enzi za mkwere....

Sasa hivi ni 2016 , alafu ni era ya magufuli[/QUOTE]
Daaah! pamoja muu
 
Mkuu lako saba saba naomba contacts zako ili tupate kuwasiliana
 
Mkuu malngo mmoja, wa chuma toka china ni 300,000 - 400,000/= let say una milango 6, dirisha moja kwa laki 2 mpaka 3 let say una madirisha 10, tiles za chumba kimoja kwa laki 5, let say una vyumba 6. hujaingia chooni, rangi na uje kwenye vitanda (0.5M @),makochi (2M),fridge (1.5M) TV (1.5M) kwenye umeme na maji bado!

Kwa kifupi finishing ya kawaida ni arround 20M, inaweza ikazidi kutokana na mahitaji ya mtu binafsi! sasa chukua hiyo 20M dumbukia zako china uende ukalete first class product uone nyumba yako itakuwaje!

Wenye hela anachukua na fundi kabia, anaenda shoping akirudi baada ya 1month anahamia kwake!
Mkuu hivi cement ya nje ina quality nzuri ukilinganisha na yetu?
 
Back
Top Bottom