SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Kama Adam aliishi miaka 900 mfano, Mwaka moja wake utaanza siku aliyoumbwa, dunia ikiwa na umri wa siku tano.
Ungejenga hoja kuanziq hapo sio Ibrahim.
unachanganya bibilia na makorokoro nje ya Bibilia mkuu. Ukiendelea hivyo utapoteza mwelekeo.
Mwaka Moja kwa Sababu Bibilia imeweka Miaka ya Adamu.Kwa hesabu za John Ussher na jinsi ulivyojipambanua kwamba wewe YEC, kuanzia Mwaka 1 hadi mwaka 404,Mwaka unaodaiwa Dunia kuumbwa, kabla ya 404 kulikuwa na nini hasa kama dunia haikuwepo? Na kama haikuwepo inakuwaje muanze kuhesabu mwaka 1,2,3...hadi Mwaka 404?
Nami namdhania hivyo…...unachanganya bibilia na makorokoro nje ya Bibilia mkuu. Ukiendelea hivyo utapoteza mwelekeo.
Mungu alimuumba Viumbe na Bwawa lililojaa genes ambazo zinaweza kutumika wakati wowote popote ili kiumbe kipambane na mazingira. Hakiwi Kiumbe kipya bali ni kiumbe hicho kubadilika tu. Hiyo jamaa wa evolution watasema ni evolution lkn sisi wa Uumbqji tutasema ni Uwezo wa Mungu wa Kuumbq kiumbe kikiwa na kila kitu, Kila tool ya kukisaidia kuexist.
Ukiona askari Jeshi wanatembea bila Bunduki mitaani haimaanishi hazipo, bali Mazingira yakihitaji Ziwepo utaziona kutoka kwenye maghara yao ya silaha. Haimaanishi zimeumbwa baada ya kusikika taharuki za Vita, ila zipo miqka yote.
Mkuu ukiendelea hivyo muda mchache ujao na wewe utakuwa team kiranga.
hahaha
maana yake tangu kuumbwa kwa adamu, dunia ilikuwa na siku tano.
kuna mantiki katika maelezo haya ila pia Sayansi inapwaya sana. Ili sayansi na Imani uzioanishe inabidi upukutishe nguvu za Mungu hadi imani zifikie kwenye sayansi. Maana Imani inavuka sayansi na kukutaka uamini unscientific biblical facts.Faith and science all stem from God. Faith and science in strict sense does not contradict,all are from God. Science is regarded contradicting Faith when it explains beyond science, it violates NATURAL LAW which inscribed in our hearts.
Ahahaaah.
Aisee!!!
Nafikiri leo kuna mtu humu jukwaani amekuambia kuna Mungu zaidi ya mmoja,lakini huyo mtu sio mimi Chief.
Usinichanganyie habari,mimi naamini Mungu ni mmoja tu.
Oooh.Yawezekana bro.
Mimi Nimezingatia maelezo ya hapa chini
[Hiyo SISI katika lugha ya Kiswahili inawakilisha nafsi ya tatu katika wingi, ina maana inatumika kuelezea mtu/nafsi zaidi ya mmoja. Hivyo basi kauli hiyo inaonesha Mungu hakua peke yake kipindi anafanya uumbaji wa binadamu]
Uislamu unakataa uwili, au utatu au unne au utano kwa namna zote uwe katika nafsi, mwilli, utendaji nk.
kama umenisoma tangu mwanzo,Kama siku Adamu anaumbwa Dunia ilikuwa na siku 5, inakuwaje unakubaliana na nadharia ya Ussher kwamba Dunia iliumbwa usiku wa Oktober, Mwaka 404? Kwani ni kipi kinaunda Mwaka? Ni Mwaka unaunda siku au ni siku zinaunda Mwaka? Inakuwaje kama umri wa Dunia ulianza na siku moja halafu ifike Mwaka 404 ndiyo Dunia iumbwe? Hii thinking ya namna gani? Mnatumia kwato kufikiri au ?
Karibu na Mungu atubariki sote kwa uelewa mzuri huo.Oooh.
Sasa hapa nimekupata vyema.
Kumbe kwenye uislamu hakuna tofauti ya neno MIMI na SISI!
Hapa umemaliza,sina swali tena.
kama umenisoma tangu mwanzo,
nimesema wazi huyo jamaa alifanya kazi yake, ila sikubaliani na tarehe na mwezi hapo amefanya speculations zilizozidi.
Mkuu asante kwa hoja.
hoja hii aliyoleta mkuu inachangamoto kubwa sana na inaleta uelewa mpya na migogoro hata kwa waumini wa bibilia.
wengi hata wa imani moja wanaibuka na kutofautiana pia.
Makasisi/wachungaji na wanatheolojia wengi wa kisasa wanabishana na kutofautiana katika hili wengine wakiungana na wanasayansi wanaoamini miyo miaka mamilioni wengine wakiungana na wanasayansi wanaosema ni miaka kama 6000 tu.
Msingi wa hoja yangu katika hili. Hatujui ilichukua muda gani kwenye mwanzo 1:1 au Mwanzo 1:3
Ila kabla hatujaruka bibilia na kuwauliza wanasayansi tukiiuliza bibilia inasema wazi kupitia Mungu huyohuyo aliyehusika kuumba kuwa yote yalifanyika kwa siku sita. Na Kumbukumbu ya siku hizo sita ilimtofautisha Mungu wa waisrael na Miungu mingine yoyote iliyokuwepo enzi zile. Na wakristo wanamuamini Yesu, Na Bibilia Inasema Hakuna kilichofanyika pasipo yeye Yesu, Basi naamini hata Yesu anatutaka Turudi kuheshimu Ufafanuzi wa Bibiliq kqbla ya sayansi.
Kwa nini?
Sayansi Inabadilika, na Bado inagap Kubwa la ufahamu kuliko ilivyovifahamu, Haina Vifaa reliable undebatable vya kutatua utata huu bila shida.
Ila Bibilia Inatutaka tuiamini kama Ultimate truth na ukweli usiobadilika hadi mwisho hivyo inatoa mwanya mpana wa kujadili pia. Ndio maana naamini mada hizi zote zinaibuka na zitaendelea kuibuka kwa sababu tuliutupilia mbali ule mpango wa Ile amri Ya sabato ambayo inawataka wanadamu wakumbuke 6 literal days of creation na sio mamilioni.
maoni mkuu, tunaweza kupingana bila kukwanguana piq. Maana haya mambo sio yetu ni Ya yeye aliyeumba.
Huu ni Upumbavu tu Mkuu, wa kutumia Maandiko vibaya, Bila Kufanya Reference.Kutafakari kafungu kamoja bila kuheshimu fafanuzi nyingine kumepelekea askofu msomi wa theolojia wa kanisa Moja huko US kusema, Mungu aliwaumba adam na hawq kwq mfano wake, na kwa sababu Mungu hana jinsia hivyo mwanamke anaweza kuwa mwanamke na wakati huohuo akawa mwanaume. au mwanaume kuwa mwanaume na wakati huohuo anaweza kuwa mwqnamke maana alisema atamtaftia msaidizi wa kufanana nae
Wanaangalia umri wa bodies kongwe zaidi kwenye universe pamoja na rate ya expansion ya universeAsante kwa post nzuri. Nimejifunza kitu. Sipingani na uvumbuzi ila sio kila uvumbuzi umetegemea vifaa maalum. Wakati mwingine ni hypothesi ambazo zaweza kuhojiwa na layman kama mimi.
Nikirudi kwenye mada kuu ni kuwa wataalamu wa miamba wamegundua kuwa Dunia ina umri mrefu wa 4.5Billion years. Hiyo ni kwa kupima miamba.
Je, Hiyo age ya Nebula imepimwa kwa kutumia kifaa gani???.
Naelewa nyota huzaliwa na kufa pale Hydrogen au Helium inapoisha. Ni Juzi tu kifaa kilichorushwa angani katika kinachoitwa insight lander kimetua katika sayari ya Mars kilichorushwa na NASA kama miezi Saba iliyopita.
Sasa natakaa nijue hicho kifaa na kipimo kilichofika kupima particles za Nebula kilichokuja na age ya nebula ya 13.8Billion years.
Idea kama zile licha kuwa na mapungufu, zipingwe kwa maandiko aliyotumia, au wanayotumia pro-creation scientists kwamba dunia haina miaka mamilioni bali miaka kama angalau elfu sita based to biblical genealogy ya Adam.Hivi mtu anapotumia Biblia kama unavyoichukulia wewe,bado mtu anaishia katika fambling kama huyo John Ussher?Nilitegemea kwa kuongozwa na hayo maandiko afikie exactly muda Wa Dunia kuumbwa. Sasa tunapoona kwamba anaishia kwenye speculation ina maana kwamba John Ussher alifanya mambo ya Usangoma tu kama akina Miller.
nakupa miaka michache ijayo utasikia mengi kutokea kwenye bibilia kuliko hilo la Ushoga.Huu ni Upumbavu tu Mkuu, wa kutumia Maandiko vibaya, Bila Kufanya Reference.
Ikumbukwe Mungu ni ROHO, Hivyo kama Tumeumbwa kwa Image yake maana kuwa Tunafanana kwa Roho sio Kwa Sura; Na Roho haina Jinsia, Ukitafsiri kwa Ivi nadhani hao wanaohalalisha Ushoga wameamua tu kuwa na Shingo Ngumu.
asante kwa maoni, mtazamo na tafakari mkuu.Kwa tafakari yangu, ni kuwa ulimwengu ulikuwako kabla ya hizo siku sita, LAKINI ULIKUWA HAUNA UHAI KWANI ULIKUWA HAUNA MWANGA, so siku sita za uumbaji ni siku ZA KUANDAA UHAI WA VIUMBE HAI WA MAJINI NA ARDHINI, MAANA Dunia ilikuwapo (Alishaiumba kwenye Mwanzo 1:1-3) so uumbaji wa kuanzia 1:3 ni kuandaa mazingira ya kuweka vimbe hai
Ninyi ndio basi wagonjwa mliofukamia uji na mkavimbewa. Biblia waachieni wenye nayo. Ninyi endeleeni tu na matangopori ya Muhammad madhali wanaume wazima mliamua kudanganywa kiasi kile.Ukitaka kufahamu Muhammad alikuwa hajitambui au anaongea nonsense na bado hajui kama ametapika ujinga,fikiria eti kuna wakati Jibrili aliacha kushusha Wahyi kwa wiki kadhaa na baada ya kujiuliza imekuwaje ndio akagundua Mbwa amefia chini ya Kitanda!
1. Hivi Malaika na Allah wanamuogopa Mbwa?
2. Hivi na Khadija walikuwa na Pua za aina gani hata Mbwa afie chini ya Kitanda na wasiweze kugundua kwa wiki zote zile?
Kwa kutumia kifaa gani??Wanaangalia umri wa bodies kongwe zaidi kwenye universe pamoja na rate ya expansion ya universe