Kulikua hakuna mantiki yeyote yakuweka vifungu vya biblia, mbona ni swala linaloweza kujadilika bila kuhusishwa na habari za diniMkuu hili swala linafanyika likiwa na sura ya kitaifa, ina maana eneo zima la Tanzania na watu wote wenye identity ya utanzania wameingizwa kwenye agano hilo......
Hili swala sio inshu ni ssm ,inshu ni kushikilia utamaduni wa kikoloni,haya Mambo yalilithiwa kutoka uingereza enzi hizo,Sasa nass tumeshikilia Hadi leo.sidhani hii inshu Kama itaisha leo,kwanza unatughalim Sana kila mwaka tunachangisha wananchi ,utaskia mchango wa mwenge!! tungebaki na Mambo ya muhimu Kama sherehe za Uhuru,mapinduz n.k.Ccm wanapenda sana usheitwani na uchawi, ukisoma historia ya Mwenge na Forojo Ganze mchawi mahiri Tanzania aliyefahamika kwa jina la Master utashangaa.
Yaani ni uchawi mtupu
Pumbavu kabisa.
Pumbavu kabisa.
Nipe link nisome hio habariCcm wanapenda sana usheitwani na uchawi, ukisoma historia ya Mwenge na Forojo Ganze mchawi mahiri Tanzania aliyefahamika kwa jina la Master utashangaa.
Yaani ni uchawi mtupu
Inasemekana Bia yetu ni Jiwe..Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Swala limekaa kiroho, ndo maana unaona dini zinahusishwa.....Kulikua hakuna mantiki yeyote yakuweka vifungu vya biblia, mbona ni swala linaloweza kujadilika bila kuhusishwa na habari za dini
Unasemea waislamu waamini majini(mapepo/mashetani)?Wanaofanya hizo ibada za mwenge si i watu wa dini nyingine tofauti na ukristo?
Sasa mbona unatumia vifungu vya biblia kuonesha dosari?
Muislam atakua sahihi kusema mkristo amepewa laana na Allah kwasababu anatumia misalaba kwenye ibada pamoja na kubatiza wakati vimekatazwa kwenye kuran?
Huyu Nyerere aliiacha nchi vibaya Sana
Kama hujui historian kaa kimyaHili swala sio inshu ni ssm ,inshu ni kushikilia utamaduni wa kikoloni,haya Mambo yalilithiwa kutoka uingereza enzi hizo,Sasa nass tumeshikilia Hadi leo.sidhani hii inshu Kama itaisha leo,kwanza unatughalim Sana kila mwaka tunachangisha wananchi ,utaskia mchango wa mwenge!! tungebaki na Mambo ya muhimu Kama sherehe za Uhuru,mapinduz n.k.
Tafsiri nyingine iko hapaHapo mwenge umeuona wapi kilaza huyu huyu hamjui maana ya siraha za moto , siraha za moto sio mwenge ni ujinga tu wa bujibuji
USSR
Makada kibaoHuyu Nyerere aliiacha nchi vibaya Sana
Nchi ya kuabudu miungu
Mfyuuuu
Kumbe tulikaa naye jamvi moja na kula naye chungu kimojaInasemekana Bia yetu ni Jiwe..
Ndo maana 'Last seen' yake ni 28/10/2020, kwny hitimisho la wizi wa Kura!
Nipe link nisome hio habari
View attachment 1966437Mwenge ni mungu wa Tanzania Ndio maana wanamuomba alete Amani na kuna sala maalum huitwa sala ya mwenge.
Hebu tuone kitabu cha Isaya 50:11 unavyosema.
Kumbe ndio maana tuna utajiri mkubwa wa rasilimali na mali zetu zinaliwa kirahisi na wageni
Ccm wanapenda sana usheitwani na uchawi, ukisoma historia ya Mwenge na Forojo Ganze mchawi mahiri Tanzania aliyefahamika kwa jina la Master utashangaa.
Yaani ni uchawi mtupu
Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Laaana hiii
Mkuu hili swala linafanyika likiwa na sura ya kitaifa, ina maana eneo zima la Tanzania na watu wote wenye identity ya utanzania wameingizwa kwenye agano hilo......
Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Kuna wengine umewasahau akina: Elitwege alias Etwege, Kamanda Asiyechoka mama D na binamu zao.
Michael inavyo teteana.Wasioamini biblia nao wasemeje.
Ni ukichaa kupinga kila kitu. Hutaki mwenge hama nchi
πHao ndio wawakilishi wa sheitwani nchini