Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Wasioamini biblia nao wasemeje.
Ni ukichaa kupinga kila kitu. Hutaki mwenge hama nchi
Kweli kabisa hao ni masheitwaniπ
π π βοΈ sio kwamba ndio masheitwani wenyewe?
Msaada ndugu, wa io Sala na wengne tuifaham..tupo gzanπ¦View attachment 1966437Mwenge ni mungu wa Tanzania Ndio maana wanamuomba alete Amani na kuna sala maalum huitwa sala ya mwenge.
Hebu tuone kitabu cha Isaya 50:11 unavyosema.
Kumbe ndio maana tuna utajiri mkubwa wa rasilimali na mali zetu zinaliwa kirahisi na wageni
Kwanini nyerere aliamua kutumia Mwenge iliyolaaniwa badala ya kutumia taa ili kuwamulikia walio gizani?Katika maandiko matakatifu kuna mafundisho, maagizo na unabii
Kwa mafundisho tunajifunza, kwa maagizo au amri tunatekeleza na unabii unatimizwa
Sababu ya Mungu kutuleta duniani ni kuja kutimiza kazi zake. Kila mtu ni mtume wa Mungu kwa nafasi yake, na tukifuata Mungu alichotutuma kwa kuisikiliza sauti ya tutatimiza hata unabii uliowahi tabiriwa. Hata wewe hapo ulipo unaweza kukuta unatimiza unabii either kwa kujua au kutokujua
Kwa kuuwasha mwenge Nyerere alikua anatimiza unabii ulioandikwa kwamba
Isaya 9: 2
Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.
Tukumbuke wakoloni waliotutawala waliwekeza sana Kilimanjaro kwenye huduma za kijamii kama mashule, mahospitali, mahoteli, kilimo, makanisa...... Nyerere hakuishia kuwasha tuu mwenge kama tendo la imani. Bali aliweza kuisambaza ile nuru kutoka Kilimanjaro kwa kuhakikisha vijana wa ule mkoa wanasambazwa nchi nzima ili kueneza kile walichokua nacho kupitia mashule na ajira. Na hii ilisaidia sana kuvunja ukabila, matabaka na kuleta upendo na umoja.
Huo ndio unabii wa mwenge wa uhuru
Mwenge wa Tanzania haukuwashwa ili utumike kama silaha au uabudiwe, bali uliwashwa kama tendo la imani katika kuleta nuru na matumani kwa nchi yetu na majirani
2Petro 1: 19 - 20
Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.
Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
Kwenye hayo maandiko nuru inaashiria upako na utukufu wa kimungu, nuru pia inamwashiria Yesu mwenyewe kama nuru ya ulimwengu. Acha kabisa kuhusianisha hayo maandiko na huo uchawi wenu wa moto usije pigwa laana kwa kupotosha mafundisho ya Mungu Mwenyezi...Katika maandiko matakatifu kuna mafundisho, maagizo na unabii
Kwa mafundisho tunajifunza, kwa maagizo au amri tunatekeleza na unabii unatimizwa
Sababu ya Mungu kutuleta duniani ni kuja kutimiza kazi zake. Kila mtu ni mtume wa Mungu kwa nafasi yake, na tukifuata Mungu alichotutuma kwa kuisikiliza sauti ya tutatimiza hata unabii uliowahi tabiriwa. Hata wewe hapo ulipo unaweza kukuta unatimiza unabii either kwa kujua au kutokujua
Kwa kuuwasha mwenge Nyerere alikua anatimiza unabii ulioandikwa kwamba
Isaya 9: 2
Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.
Tukumbuke wakoloni waliotutawala waliwekeza sana Kilimanjaro kwenye huduma za kijamii kama mashule, mahospitali, mahoteli, kilimo, makanisa...... Nyerere hakuishia kuwasha tuu mwenge kama tendo la imani. Bali aliweza kuisambaza ile nuru kutoka Kilimanjaro kwa kuhakikisha vijana wa ule mkoa wanasambazwa nchi nzima ili kueneza kile walichokua nacho kupitia mashule na ajira. Na hii ilisaidia sana kuvunja ukabila, matabaka na kuleta upendo na umoja.
Huo ndio unabii wa mwenge wa uhuru
Mwenge wa Tanzania haukuwashwa ili utumike kama silaha au uabudiwe, bali uliwashwa kama tendo la imani katika kuleta nuru na matumani kwa nchi yetu na majirani
2Petro 1: 19 - 20
Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.
Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
Ukichaa zaidi ni kukubali kila kitu.
Naomba umjibu Kiranja Mkuu maswali yakeKatika maandiko matakatifu kuna mafundisho, maagizo na unabii
Kwa mafundisho tunajifunza, kwa maagizo au amri tunatekeleza na unabii unatimizwa
Sababu ya Mungu kutuleta duniani ni kuja kutimiza kazi zake. Kila mtu ni mtume wa Mungu kwa nafasi yake, na tukifuata Mungu alichotutuma kwa kuisikiliza sauti ya tutatimiza hata unabii uliowahi tabiriwa. Hata wewe hapo ulipo unaweza kukuta unatimiza unabii either kwa kujua au kutokujua
Kwa kuuwasha mwenge Nyerere alikua anatimiza unabii ulioandikwa kwamba
Isaya 9: 2
Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.
Tukumbuke wakoloni waliotutawala waliwekeza sana Kilimanjaro kwenye huduma za kijamii kama mashule, mahospitali, mahoteli, kilimo, makanisa...... Nyerere hakuishia kuwasha tuu mwenge kama tendo la imani. Bali aliweza kuisambaza ile nuru kutoka Kilimanjaro kwa kuhakikisha vijana wa ule mkoa wanasambazwa nchi nzima ili kueneza kile walichokua nacho kupitia mashule na ajira. Na hii ilisaidia sana kuvunja ukabila, matabaka na kuleta upendo na umoja.
Huo ndio unabii wa mwenge wa uhuru
Mwenge wa Tanzania haukuwashwa ili utumike kama silaha au uabudiwe, bali uliwashwa kama tendo la imani katika kuleta nuru na matumani kwa nchi yetu na majirani
2Petro 1: 19 - 20
Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.
Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
mama D ndugu yangu kitenge na laana.Kwenye hayo maandiko nuru inaashiria upako na utukufu wa kimungu, nuru pia inamwashiria Yesu mwenyewe kama nuru ya ulimwengu. Acha kabisa kuhusianisha hayo maandiko na huo uchawi wenu wa moto usije pigwa laana kwa kupotosha mafundisho ya Mungu Mwenyezi...
Aiseeeeeeeeeeπ€View attachment 1966437Mwenge ni mungu wa Tanzania Ndio maana wanamuomba alete Amani na kuna sala maalum huitwa sala ya mwenge.
Hebu tuone kitabu cha Isaya 50:11 unavyosema.
Kumbe ndio maana tuna utajiri mkubwa wa rasilimali na mali zetu zinaliwa kirahisi na wageni
Kwanini nyerere aliamua kutumia Mwenge iliyolaaniwa badala ya kutumia taa ili kuwamulikia walio gizani?
Sala ya Mwenge Ina maana gani?
Kwanini tunatumia mabilioni ya pesa kila mwaka kwa ajili ya Mwenge?
Kwanini mikesha ya mwenge huambatana na ulevi na ngono? Je mwenge huamsha hamu ya zinaa?
Yaani nabii Isaya anatabiri ujio wa Yesu, yeye fasta ameshahusisha na mungu mwenge wa tanzagiza......mama D ndugu yangu kitenge na laana.
Usiutete wala kuukumbatia uovu, tubu uokolewa
Leo utasema kila neno dadadekiUkichaa ni kuwa na ID nyingi za kupinga jambo lile lile
Kwenye hayo maandiko nuru inaashiria upako na utukufu wa kimungu, nuru pia inamwashiria Yesu mwenyewe kama nuru ya ulimwengu. Acha kabisa kuhusianisha hayo maandiko na huo uchawi wenu wa moto usije pigwa laana kwa kupotosha mafundisho ya Mungu Mwenyezi...
Soma Biblia Kiswahili cha kale uoneHakuna laana kwenye mwenge wa uhuru wa Tanzania, kuna laana kwenye kuutumia mwenge kama silaha
Sikiliza sala ya mwenge wa uhuru wa Tanzania ujue tofauti
Hey Bujibuji kila utawala na tamaduni zake..kiukweli mambo ya biblia sijui quran sio taratibu za kiafrika ni vile tu tumetawaliwa na wenye hizo biblia(wazungu) na waarabu(quran) kwahiyo hiyo laana haiwezi kutupata sisi sio asili yetu ..what if mzungu asingekuja kutawala ungeijua biblia?,hakuna cha laana wala nini tutoleeni upumbavu watu wenyewe na dini zenu mnabishana kila siku nani yupo sahihi na wakati mnaabudu Mungu mmoja sasa kwanini mtofautiane misimamo na wakati Mungu ni mmoja?
Soma Biblia Kiswahili cha kale uone
View attachment 1966437Mwenge ni mungu wa Tanzania Ndio maana wanamuomba alete Amani na kuna sala maalum huitwa sala ya mwenge.
Hebu tuone kitabu cha Isaya 50:11 unavyosema.
Kumbe ndio maana tuna utajiri mkubwa wa rasilimali na mali zetu zinaliwa kirahisi na wageni
Ccm wanapenda sana usheitwani na uchawi, ukisoma historia ya Mwenge na Forojo Ganze mchawi mahiri Tanzania aliyefahamika kwa jina la Master utashangaa.
Yaani ni uchawi mtupu
Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Laaana hiii
Mkuu hili swala linafanyika likiwa na sura ya kitaifa, ina maana eneo zima la Tanzania na watu wote wenye identity ya utanzania wameingizwa kwenye agano hilo......
Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Kuna wengine umewasahau akina: Elitwege alias Etwege, Kamanda Asiyechoka mama D na binamu zao.
Wafuasi wa Chadema wengi huwaa hawana sera wanaanzisha lolote lile halafu walivyo wapumbavu wanasapotiana...Biblia asili yake ni huko uzunguni kivipi wajiwekee misingi yao wao kwamba anayeabudu mwenge ana laana halafu hiyo laana itupate sisi??..ndio maana wahindi wana miungu yao na wamekataa huu upumbavu wa kuwa watumwa japokuwa kwenye biblia hizohizo wameandika usiabudu miungu mingine lakini wahindi wanaabudu kama kawaida na blessings over blessings zinakuja kwa nchi yaoWatakua wanaumizwa sehemu na huu mwenge sio bureππππ
Sababu hata sababu za kuwasha huu mwenge zipo na zinaibwa lakini hawazijui