Biblia imetamka laana Kali sana kwa wanaofanya Ibada za mwenge

Giresi mwenye wowow lake,kiranja na nyinginezo ndo maana kelele za JF nyingi ila mitaani mpo wachache sana
Ziorodheshe mkuu hizo unazoziita id nyingi aumbuke

Kiranja Leo kaupiga mwingi hadi anakera
 
nchi gani ingne duniani inayowasha mwenge na kuzungsha nchi nzima,, pia naomba kujua faida zake za kuwasha na hasara au madhra ya kuzima mwenge katk eneo husika ulipozimia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Leo utasema kila neno dadadeki

Giresi naona unaomba msaada a.ka. assist
Sina haja ya kuomba assist, Mwenge ni ushetani na wanaoushabikia ni mashetani full stop
 
Kwenye uzi Kama huu huwezi kuona comment ya Pascal Mayalla , jingalao, Bia yetu, USSR, johnthebaptist na wenzao maana uzi umewaumbua wanaoabudu mashetani
Duh...!. Mkuu Kiranja Mkuu, karibu pande hizi

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…