Biblia inasema ni ruksa kumpiga mtumwa wako. Mungu mwenye upendo ananichanganya

Biblia inasema ni ruksa kumpiga mtumwa wako. Mungu mwenye upendo ananichanganya

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Habari wadau.

Kuna mistari ya biblia inanichanganya. Mungu mwenye upendo anatoa maagizo kupitia biblia yasiyoendana na upendo wake.

4d9f31278451577334f362de2b4ef691.png
 
Kwa kweli aje atufafanulie. Maana inaogopesha kama Mungu ndie anasema hayo
Mtumwa ni mtumishi wa kutumwa kazi au mwajiriwa

Wayahudi kujenga uchapa kazi ndio walipewa Hilo Kwao Walikuwa hawaoani Wala kuchangamana na watu wasio wayahudi .Hivyo Hiyo Sheria iliwekwa ili mtu awe mchapa kazi akiajiriwa na myahudi mwenzie

Hadi Leo wenyewe Kwa wenyewe wakiajiriana bosi kumtandika vibao mwajiriwa myahudi mwenzie mvivu au alikosea sio shida Kazini ila akiwa mgeni au wako nchi zingine na waajiriwa sio wayahudi hawapigi .Ila wao kwa wao Iko Hadi Leo ndio maana vigumu kukuta myahudi mvivu Kazini tofauti na Sisi waswahili
 
Mtumwa ni mtumishi wa kutumwa kazi au mwajiriwa

Wayahudi kujenga uchapa kazi ndio walipewa Hilo Kwao Walikuwa hawaoani Wala kuchangamana na watu wasio wayahudi .Hivyo Hiyo Sheria iliwekwa ili mtu awe mchapa kazi akiajiriwa na myahudi mwenzie

Hadi Leo wenyewe Kwa wenyewe wakiajiriana bosi kumtandika vibao mwajiriwa myahudi mwenzie mvivu au alikosea sio shida Kazini ila akiwa mgeni au wako nchi zingine na waajiriwa sio wayahudi hawapigi .Ila wao kwa wao Iko Hadi Leo ndio maana vigumu kukuta myahudi mvivu Kazini tofauti na Sisi waswahili
70c4986c889beed26361bfa8d40d8582.png
 
Ukimuadhibu mtoto wako na asiathirike, akawa mzima, Kuna Mtu atakushtaki?

Sasa embu itokee umemuadhibu na akafa... Unaujua mtiti wake? Ndio maana ya maneno hayo;
Screenshot_20240623-132737.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20240623-132737.jpg
    Screenshot_20240623-132737.jpg
    172.2 KB · Views: 1
Kinacho shangaza sana ni kwamba hii misaafu ya kidini haijazuia, kulaani wala kukataza utumwa na ndio maana hii misaafu kwenye maeneo mengine waga inaacha maswali mengi yasiyo na majibu.
 
Kinacho shangaza sana ni kwamba hii misaafu ya kidini haijazuia, kulaani wala kukataza utumwa na ndio maana hii misaafu kwenye maeneo mengine waga inaacha maswali mengi yasiyo na majibu.
hapa unaongelewa msaafu?
 
Back
Top Bottom