Biblia inasema ni ruksa kumpiga mtumwa wako. Mungu mwenye upendo ananichanganya

Biblia inasema ni ruksa kumpiga mtumwa wako. Mungu mwenye upendo ananichanganya

Habari wadau.

Kuna mistari ya biblia inanichanganya. Mungu mwenye upendo anatoa maagizo kupitia biblia yasiyoendana na upendo wake.

View attachment 3023751
Biblia ni kitabu cha mambo yaliyoandikwa na watu, mambo ambayo mengi ni ya kutungwa na watu tu.

Quran pia ni hivyo hivyo.

Ndiyo maana vitabu hivi vina contradictions nyingi sana.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
 
Hata msaafu nao mtumwa anaonewa sana. Tena msaafu umeruhusu hadi kumgonga. mtumwa wa kike

Sahih Bukhari na Sahih Muslim pia zina hadith pia za Mtume mwenyewe kuwagonga watumwa wa kike

Kila unalolisema litawekwa ushahidi dhidi yako

Usiongee bila ushahidi
 
Biblia ni kitabu cha mambo yaliyoandikwa na watu, mambo ambayo mengi ni ya kutungwa na watu tu.

Quran pia ni hivyo hivyo.

Ndiyo maana vitabu hivi vina contradictions nyingi sana.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Ndio maana ikawa hata akili pia haipo kichwani mwako
 
icho kitabu kinaonyesha janja janja ya wakoloni tu kutufanya watumwa ndiomana kina wa defend wao tu with that evidance inafikilisha kama maneno ya mungu kwel
Exodus 21:16"Anyone who kidnaps another and either sells him or still has him when he is caught must be put to death.
 
Kila unalolisema litawekwa ushahidi dhidi yako

Usiongee bila ushahidi

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah.

someone-on-this-sub-said-theres-no-concept-of-sex-slaves-in-v0-ydb7lco6nrsb1.jpg
 
Kila unalolisema litawekwa ushahidi dhidi yako

Usiongee bila ushahidi
Maalim nilikuona pale Bunju A kwenye mkutano wa Ndasha Ukijaribu kutoa ufafanuzi wa Aya za Quran.😃
Alafu kumbe ile stroke ilipiga hadi mkono!!.naona sasa hivi unatembea kwa msaada wa fimbo.
Watu walikuwakia uliposema wewe pekee kwenye mkutano mzima ndiyo unajua kiingereza.😀
 
Kinacho shangaza sana ni kwamba hii misaafu ya kidini haijazuia, kulaani wala kukataza utumwa na ndio maana hii misaafu kwenye maeneo mengine waga inaacha maswali mengi yasiyo na majibu.
Exodus 21:16
Anyone who kidnaps another and either sells him or still has him when he is caught must be put to death.
 
Biblia ni msitu mnene........watu hawaiamini ila wazungu wakiwaambia mlikua nyani mnaamini.
 
Biblia ni msitu mnene........watu hawaiamini ila wazungu wakiwaambia mlikua nyani mnaamini.

Hapo unaamisha hoja. Kwa kutunga mwenyewe maneno yako.

Mfano hapa ni Nani amesema kwamba anaamini binadamu tulikuwa nyani ?

Changia hoja ya biblia iliyoletwa humu. Kwa kujibu hoja hiyo.
 
Hapo unaamisha hoja. Kwa kutunga mwenyewe maneno yako.

Mfano hapa ni Nani amesema kwamba anaamini binadamu tulikuwa nyani ?

Changia hoja ya biblia iliyoletwa humu. Kwa kujibu hoja hiyo.
kila mtu hujibu the way alivoelewa na kwa mifano hai,, hakuna sehem nimehamisha hoja,ila wewe unataka nijibu vile wewe unataka,,,,soooo ingependeza ungejibu wewe hivo😎🤏🏾😌,,,watumwa wa kwenye vtabu vya history walipigwa na kwenye Bible wanapigwa pia.
 
Mtoa mada haujaelewa andiko, umekurupuka, soma vizuri upate maana sahihi.

Screenshot_20240623-154658_1.jpg
 
Back
Top Bottom