Sio kweli kuwa yote yalijitenga na ukatoliki
Mitume na wafuasi wao wallisambaa kote ulimwenguni hawakwenda Roma Tu
Na ni upotofu kusema kanisa la kwanza likianzia Roma na mwanzilishi wa kanisa ni binadamu Petro.Hiyo kufuru .Kanisa la Kikristo mwanzilishi ni Yesu Kristo mwenyewe ma ndio maana tunaitwa Wakristo sio Wapetro
Kanisa la Yesu Kristo likianxishwa na Kristo mwenye Israel na lilianza kule Yesu akiwa na wanafunzi wake wakisali pamoja na hata alipoondoka duniani makanisa ya Wakristo yalikuwrlepo walikuwa wakisali nyumba kwa nyumba
Baadaye makanisa hayo yakisambaa sehemu nyingi mgano Nyaraka za Paulo zinaandikwa kwa makanisa mbalimbali yaliko nchi tofauti tofauti mfano waraka kwa kanisa lililoko Rumi,waraka kwa kanisa la Korintho ,kwa kanisa la waebrania nk hivyo makanisa yalikuwapo kabla hata hilo Roman katholi na Yalianzishwa na mitume tofauti tofauti na wafuasi waliosambaa kutokea ISRAEL hata kitabu cha ufunuo tunaona malaika akiyaandika nyaraka makanisa tofauti tofauti mengi kama Kanisa la Pergamo nk waweza soma kuanzia ufunuo sura ya pili nk makanisa organised kabisa yalikuwepo ambayo yalikuwa na Maaskofu,mitume,walimu,wainjilisti na wachungaji Maaskofu wala hawakuanzia Roma wamo ndani ya agano jipya muda mrefu kabla hao Maaskofu wa Roma hawajaanza kuwepo
Watu kusali kama kanisa wakikusanyika wakiwa na uongozi kabisa ilianza Israel kukiwa na hadi wazee wa kanisa na wa kufanya huduma nyingine za kijamii kama alizokuwa akifanya Stephano
Roman Catholic ni tawi tu la dini ya Kikristo kama yalivyo matawi mengine lenye imani zake tofauti na matawi mengine kama na yenyewe yalivyo tofauti na kanisa la Roman Catholic
Wanahistoria baadhi wana tatizo huchanganya historia ya Kanisa katoliki la Roma na matawi yake na Historia ya Ukristo.Historia ya Ukristo iko tofauti na historia ya kanisa la Roman Catholic. Historia ya Ukristo inaanzia Israeli alipozaliwa Yesu mkuu wa Kanisa wakati Historia ya Kanisa la Roman Catholic inasnzia Roma Italia.Ukianxia kuongelea Ukristo unaanzia Israel na jinsi ulivyosambaa nchi mbalimbali kupitia mitume mbalimbali ikiwemo Roma na jinsi uliivyosambaa kutoka hizo nchi.mbalimbali sio moja Roma tu na kwenda kwingine sehemu mbalimbali
Historia ya uongo ile ya kusema ukristo ukienda Roma ndio.ukaanzia pale ndio ukaanza kusambaa dumiani kutokea Roma ni historia ya uongo uliokubuhu .Dini ya Roman Katoliki ndio ikisnzia Roma na kuanza kusambaa sehemu mbalimbali duniani kuanzisha matawi ya dini ya Roman Katoliki