Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

Mmiliki wa biblia na Kanisa Katoliki. Hivyo biblia yake ndio sahihi kuliko zote.
Hivyo kwanza tambua hilo.

Pili biblia ya kwanza iliandikwa kigiriki/kiebrania kisha tafsiri ya lugha zingine. Mfano kiingereza, kifaransa n.k

Sasa biblia nyingi zimefanyiwa tafsiri kutoka lugha ya pili nasio lugha mama. Hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya tafsiri halisi.

Nyingine niswaga za makanisa hayo mengine kutaka biblia iendane na matakwa yao.

Viva kanisa katoliki viva wamiliki halisi wa bablia
Kanisa katoliki linalobatiza mashoga. Soon papa anataka biblia ibadilishwe tena.
Mkuu hiii viva katoliki heri ungeandika VIVA MASHUJAAA FC
 
Hujui ukichoandika. Wakatoliki HAWAMUABUDU Bikira Maria bali wanamuheshimu. Katika maombi wanamuomba AWAOMBEE kwa Mungu. Acheni upotoshaji
Kusujudia sio kuabudu siyo...
Nipe mstari katika Biblia unaogiza wakristo WAOMBE Maria AWAOMBEE Kwa Mungu?
Ukikosa ujue huo sio ukristo?
 
Sio kweli kuwa yote yalijitenga na ukatoliki
Mitume na wafuasi wao wallisambaa kote ulimwenguni hawakwenda Roma Tu

Na ni upotofu kusema kanisa la kwanza likianzia Roma na mwanzilishi wa kanisa ni binadamu Petro.Hiyo kufuru .Kanisa la Kikristo mwanzilishi ni Yesu Kristo mwenyewe ma ndio maana tunaitwa Wakristo sio Wapetro

Kanisa la Yesu Kristo likianxishwa na Kristo mwenye Israel na lilianza kule Yesu akiwa na wanafunzi wake wakisali pamoja na hata alipoondoka duniani makanisa ya Wakristo yalikuwrlepo walikuwa wakisali nyumba kwa nyumba

Baadaye makanisa hayo yakisambaa sehemu nyingi mgano Nyaraka za Paulo zinaandikwa kwa makanisa mbalimbali yaliko nchi tofauti tofauti mfano waraka kwa kanisa lililoko Rumi,waraka kwa kanisa la Korintho ,kwa kanisa la waebrania nk hivyo makanisa yalikuwapo kabla hata hilo Roman katholi na Yalianzishwa na mitume tofauti tofauti na wafuasi waliosambaa kutokea ISRAEL hata kitabu cha ufunuo tunaona malaika akiyaandika nyaraka makanisa tofauti tofauti mengi kama Kanisa la Pergamo nk waweza soma kuanzia ufunuo sura ya pili nk makanisa organised kabisa yalikuwepo ambayo yalikuwa na Maaskofu,mitume,walimu,wainjilisti na wachungaji Maaskofu wala hawakuanzia Roma wamo ndani ya agano jipya muda mrefu kabla hao Maaskofu wa Roma hawajaanza kuwepo

Watu kusali kama kanisa wakikusanyika wakiwa na uongozi kabisa ilianza Israel kukiwa na hadi wazee wa kanisa na wa kufanya huduma nyingine za kijamii kama alizokuwa akifanya Stephano

Roman Catholic ni tawi tu la dini ya Kikristo kama yalivyo matawi mengine lenye imani zake tofauti na matawi mengine kama na yenyewe yalivyo tofauti na kanisa la Roman Catholic

Wanahistoria baadhi wana tatizo huchanganya historia ya Kanisa katoliki la Roma na matawi yake na Historia ya Ukristo.Historia ya Ukristo iko tofauti na historia ya kanisa la Roman Catholic. Historia ya Ukristo inaanzia Israeli alipozaliwa Yesu mkuu wa Kanisa wakati Historia ya Kanisa la Roman Catholic inasnzia Roma Italia.Ukianxia kuongelea Ukristo unaanzia Israel na jinsi ulivyosambaa nchi mbalimbali kupitia mitume mbalimbali ikiwemo Roma na jinsi uliivyosambaa kutoka hizo nchi.mbalimbali sio moja Roma tu na kwenda kwingine sehemu mbalimbali
Historia ya uongo ile ya kusema ukristo ukienda Roma ndio.ukaanzia pale ndio ukaanza kusambaa dumiani kutokea Roma ni historia ya uongo uliokubuhu .Dini ya Roman Katoliki ndio ikisnzia Roma na kuanza kusambaa sehemu mbalimbali duniani kuanzisha matawi ya dini ya Roman Katoliki
Mbona unaandika unazunguka hapo hapo? Kanisa limeanzishwa Yesu Kristu mwenyewe na kukabidhiwa kwa Mtume Petro. Na Mtume Petro anapowatuma Mitume kwenda kuhubiri neno sehemu mbalimbali kama Marco kwenda Misri, Mtume Thomas kwenda India na Mtume Yohana kwenda Antiokia.

Hayo yote yalianza karne ya kwanza. Dola ya Kirumi ilipingana na Ukristu sana na ikawatesa na kuwaadhibu watu wote waliomhubiri Kristu hadi karne ya 3. Karne ya 3 dola ya kirumi ikiwa chini ya Mfalme Constantine ndipo ikakubali kuwa Ukristo uwe ndiyo dini rasmi ya dola.

Ndipo ukaanza kuendelea dunia nzima ikiwa na makao yake makuu Rome Italy na Constatinople yakiwa makao madogo. Mwaka 325 Kanisa likafanya mkutano mkuu wa kwanza pale Nicea ambapo maaskofu walianza kutofautiana kiitikadi za imani.

Mwaka 590 chini ya Mfalme Gregory ndopo jina la Roman Catholic likaanza kutumika rasmi kwa ajili ya kujikita kimamlaka za nchi.

Mwaka 1054 ndipo kanisa la Orthodox likajitenga na kanisa KATOLIKI. Mwaka 1521 Martin Luther naye akajitenga.

Wewe historia yako unaitoa wapi? Haya nipe na wewe historia ya KIDHEHEBU chako
 
Kusujudia sio kuabudu siyo...
Nipe mstari katika Biblia unaogiza wakristo WAOMBE Maria AWAOMBEE Kwa Mungu?
Ukikosa ujue huo sio ukristo?
Ukisoma Biblia bila nguvu ya Roho Mtakatifu UTAWEHUKA tu.
 
Weka mstari Unaogiza watu WAOMBE Maria AWAOMBEE Kwa Mungu?
Acha Kona Kona..
Biblia siyo utaratibu wa kusali. Kuna Biblia halafu kuna sala. Hakuna dhehebu lolote ambalo linaingia kanisani na kusoma Biblia bila kutengeneza utaratibu wa sala.

Roman Catholic wanaomba Mama Maria AWAOMBEE kwa Mungu. Ni heshima tu kwa Mama wa Yesu Kristu. Au unataka kusema Bikira Maria siyo Mama wa Yesu
 
Mtume Petro anapowatuma Mitume kwenda kuhubiri neno sehemu mbalimbali kama Marco kwenda Misri, Mtume Thomas kwenda India na Mtume Yohana kwenda
Hakuna mtume hata mmoja alitumwa na Petro kuwa akahubiri

Yesu mwenyewe ndio aliwatuma

Soma Marko 16:15-16

"Akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote, mkawahubirie watu wote Habari Njema. Ye yote atakayeamini na kubatizwa ataoko lewa. Lakini ye yote ambaye atakataa kuamini, atahukumiwa.'


Yesu ndie aliwatuma mitume wote kwenda hakuntuma Petro tu kuwa nenda wewe halafu wewe kawatume wengine.Wote walipewa amri na Yesu mwenyewe wasambae huko na huko mwenye kwenda Roma aende mwenye kwenda ugiriki aende,nk na aliwambia yeye mwenyewe binafsi mbele ya wote akiwemo Petro pale wakiwa Israel sio Roma.Na Yesu hakunwambia Petro pale kuwa Petro watume hawa waende ulimwenguni kote kuhubiri Injili

Kusema Petro ndie aliwatuma ni uongo uliokubuhu
 
Roman Catholic wanaomba Mama Maria AWAOMBEE kwa Mungu. Ni heshima tu kwa Mama wa Yesu Kristu. Au unataka kusema Bikira Maria siyo Mama wa Yesu
Hayo mliyatoa wap? Kwenye Biblia hayapo

Mtume Petro alikuwa akipiga magoti mbele ya Maria na kumuomba awaombee kwa Mungu?
 
Biblia siyo utaratibu wa kusali. Kuna Biblia halafu kuna sala. Hakuna dhehebu lolote ambalo linaingia kanisani na kusoma Biblia bila kutengeneza utaratibu wa sala.

Roman Catholic wanaomba Mama Maria AWAOMBEE kwa Mungu. Ni heshima tu kwa Mama wa Yesu Kristu. Au unataka kusema Bikira Maria siyo Mama wa Yesu
Weka mstari Unaogiza watu WAOMBE Maria AWAOMBEE Kwa Mungu?
Najua huwezi pata maana ukatolik haufuati Biblia

Kwa ufupi mnafuata kitu ambacho haipo kwenye Biblia sasa kazia na mstari hapo chini

1 Timotheo 4:1 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu na mafundisho ya roho waovu,
 
Kanisa la kweli ni lipi?, linalofuata kila kilicho andikwa kwenye Biblia ?
Naombeni msaada tafadhali nihamie huko
 
Kwahiyo kwa wasio wakatoliki hivyo vitabu wanavichukulia kama hekaya?
 
Weka mstari Unaogiza watu WAOMBE Maria AWAOMBEE Kwa Mungu?
Najua huwezi pata maana ukatolik haufuati Biblia

Kwa ufupi mnafuata kitu ambacho haipo kwenye Biblia sasa kazia na mstari hapo chini

1 Timotheo 4:1 Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu na mafundisho ya roho waovu,
Nimekwambia nitajie KIDHEHEBU chako na uniambie kilianza lini?. Siyo mnakomaa tu na kubishana na Kanisa lenye waumini 1.4 Billion duniani kote
 
Nimekwambia nitajie KIDHEHEBU chako na uniambie kilianza lini?. Siyo mnakomaa tu na kubishana na Kanisa lenye waumini 1.4 Billion duniani kote
Jibu unachoulizwa

Muulizaji kakuuliza hili

"Weka mstari Unaogiza watu WAOMBE Maria AWAOMBEE Kwa Mungu?"

Si umjibu mbona swali liko wazi tu
 
Nimekwambia nitajie KIDHEHEBU chako na uniambie kilianza lini?. Siyo mnakomaa tu na kubishana na Kanisa lenye waumini 1.4 Billion duniani kote
Kuwa na waumini wengi ni shida nyingine maana kuna mfano wa Yesu wa Barabara Pana na nyembamba inatakiwa usome hicho kisa vizuri .
Shida kubwa ni kuwa unafanya na kuamini kitu ambacho haipo kwenye Biblia na mbaya zaidi unaamini ni agizo la Mungu...
Na si Hilo Tu hapo mengi mno sasa atasemaje mnafuata Biblia ikiwa Jambo ndogo Tu kama Kuomba Maria AWAOMBEE Kwa Mungu umeshindwa kutupa uthibitisho wa kimaandiko inaamaana huamini Biblia
 
Kuwa na waumini wengi ni shida nyingine maana kuna mfano wa Yesu wa Barabara Pana na nyembamba inatakiwa usome hicho kisa vizuri .
Shida kubwa ni kuwa unafanya na kuamini kitu ambacho haipo kwenye Biblia na mbaya zaidi unaamini ni agizo la Mungu...
Na si Hilo Tu hapo mengi mno sasa atasemaje mnafuata Biblia ikiwa Jambo ndogo Tu kama Kuomba Maria AWAOMBEE Kwa Mungu umeshindwa kutupa uthibitisho wa kimaandiko inaamaana huamini Biblia
Biblia siyo utaratibu wa ibada. Hapo ndipo nyie mapentekoste mnakosea. Nimekuuliza kuna ubaya gani kusema Mama Maria utuombee kwa Mungu?
 
Biblia siyo utaratibu wa ibada. Hapo ndipo nyie mapentekoste mnakosea. Nimekuuliza kuna ubaya gani kusema Mama Maria utuombee kwa Mungu?
Kwa sababu ni agizo ambalo haipo kwenye Biblia..
Je wewe binafsi umesoma popote kwenye Biblia wakristo wa kipindi cha mitume karne ya Kwanza wakiomba Mungu kupitia Maria...
Je kuna barua yeyote inampa Maria nafasi ya pekee?


Utatribu huo ulianza mwaka 431 na haukwepo awali Hilo lilikuwepo kwenye dini za kipagani kuwa na mama ya mungu katika dini zao na ukatolik ulipotaka kuongeza ushawishi wake wa kisiasa ulikubali fundisho hilo la kipangani kwa kulinganisha..
 
Back
Top Bottom