Biden kainyima Israel silaha wakubali ku "pause" vita, zimebaki siku 60 Trump kipenzi cha Israel kuapishwa, Vikundi vya Iran vitapata taabu sana

Biden kainyima Israel silaha wakubali ku "pause" vita, zimebaki siku 60 Trump kipenzi cha Israel kuapishwa, Vikundi vya Iran vitapata taabu sana

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kinachoendelea white house Biden kabakiza siku 60, anafanya kila namna kumsagia kunguni Trump na kulazimisha apewe sifa kwa mabavu.

Kairuhusu Ukraine itumie makombora ya masafa marefu kwa lengo la kuchochea vita, Trump aingie madarakani vita ikiwa ngumu sana kuisuluhisha, Mpango huu kwa kiasi kikubwa umefeli sana, Putin alipojibu kwa makombora yenye nguvu zaidi ambayo hajawahi kuyatumia tangu vita ianze, Ukraine imetulia inajithamini.

Kwa upande wa kulazimisha kusifiwa Biden kaamua kuilazimisha Israel ikubali cease fire kwa Kakataa kuiuzia silaha za kuendeleza mashambulizi (Arms Embargo), Kwa kufanya hivi Netanyahu kishingo upande kakubali kusimamisha vita lakini ni kwa siku 60 tu, ni siku ambazo zimebaki Trump kuapishwa, Trump kipenzi cha Israel.

Netanyahu aliwahi kukiri wazi kabisa hakuna rais rafiki wa Israel kumzidi Trump, Na kweli ukiangalia safu inayojengwa na Trump kwenye uongozi wake ni Pro Max Israel, Yaani Israel ikihitaji silaha asubuhi basi mchana zinafika kwa ndege na nyongeza, Wataothubutu kuwatukana waisral Marekani walivumiliwa na Biden lakini watashughulikia awamu ya Trump.

Kwa upande mwengine Iran na vikundi vyake wajiandae, pindi tu Trump akiingia ikulu wajipange kisaikolojia na kufikiria mara mbili mbili kwenye kuishambulia Israel, Hakutakuwa na mambo ya cease fire na hakutakuwa na uhaba wa silaha kwa Israel.
 
Mungu wa Yakobo ndiye Mungu. Hapana Mungu ila Mungu wa Israel. Hata kupitia "kunguru" huwalisha na kuwalinda watu wake. Ewe Mtakatifu wa Yakobo libariki taifa lako sawa sawa na ahadi zako. Amen.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Israel, mazayuni, wayahudi na uyahudi katika vyote hivyo angalau uyahudi tena wale wa zamani wanatumia torati ndio unaweza kusema wanaamini Mungu wa kweli waliomuamini Mussa na kitabu chake hawakufika hata 1% ya wayahudi ijekua waisrael. US hawezi kutetea taifa la Mungu hata siku moja ikiwa yeye yuko taifa la kishetani naumia sana kuona wakristo wengi wanambariki shetani na kuacha watu wengine wakiteseka. Kwanini hayo maombi usiibariki Afrika.?
 
Kinachoendelea white house Biden kabakiza siku 60, anafanya kila namna kumsagia kunguni Trump na kulazimisha apewe sifa kwa mabavu.

Kairuhusu Ukraine itumie makombora ya masafa marefu kwa lengo la kuchochea vita, Trump aingie madarakani vita ikiwa ngumu sana kuisuluhisha, Mpango huu kwa kiasi kikubwa umefeli sana, Putin alipojibu kwa makombora yenye nguvu zaidi ambayo hajawahi kuyatumia tangu vita ianze, Ukraine imetulia inajithamini.

Kwa upande wa kulazimisha kusifiwa Biden kaamua kuilazimisha Israel ikubali cease fire kwa Kakataa kuiuzia silaha za kuendeleza mashambulizi (Arms Embargo), Kwa kufanya hivi Netanyahu kishingo upande kakubali kusimamisha vita lakini ni kwa siku 60 tu, ni siku ambazo zimebaki Trump kuapishwa, Trump kipenzi cha Israel.

Netanyahu aliwahi kukiri wazi kabisa hakuna rais rafiki wa Israel kumzidi Trump, Na kweli ukiangalia safu inayojengwa na Trump kwenye uongozi wake ni Pro Max Israel, Yaani Israel ikihitaji silaha asubuhi basi mchana zinafika kwa ndege na nyongeza, Wataothubutu kuwatukana waisral Marekani walivumiliwa na Biden lakini watashughulikia awamu ya Trump.

Kwa upande mwengine Iran na vikundi vyake wajiandae, pindi tu Trump akiingia ikulu wajipange kisaikolojia na kufikiria mara mbili mbili kwenye kuishambulia Israel, Hakutakuwa na mambo ya cease fire na hakutakuwa na uhaba wa silaha kwa Israel.
Acha kujipa moyo Unafkiri Trump atafanya kipi kipya zaidi ya kubana matumizi..
 
FB_IMG_17327063793280215.jpg

Waha niendelee kujisonsomolea ugali SAMAKI. Hayo mambo ya Walawi Na Wafilisti is non of my business
 
Mkuu huo ni mtazamo wako! Trump amejipanga kuleta amani Mashariki ya Kati,na huko Ukraine siyo kuendeleza vita.
Biden hajainyima silaha Israel,ukweli ni kwamba hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya kwa Israel kwenye uwanja wa vita.
 
Kwa maana hiyo Israel 🇮🇱 ni sawa na Ukraine 🇺🇦 tuu, unaanzisha vita kwa kutegemea kusaidiwa silaha na wapiganaji
Vita hivi vimefanya tujue mengi nje ya porojo za hovyo hovyo
 
Kwa hiyo tumekubaliana sasa Israel sio kama tulivyoambiwa alipiga waarabu Kwa siku sita?Dunia ilidanganywa sana enzi ya redio za mbao kuhusu uwezo wa Israel
2006 ambao hatukufuatilia vita ya IDF vs Hizbullah tukaambiwa humu kwamba IDF walichakazwa vibaya sana na mwaka huu wasithubutu yatawarejea Yale Yale ila nashukuru Mungu mara hii nimepata nafasi ya kufuatilia haya mapigano na nimejionea dhahama waliyokutana nayo vijukuu vya Mudi.
 
Kinachoendelea white house Biden kabakiza siku 60, anafanya kila namna kumsagia kunguni Trump na kulazimisha apewe sifa kwa mabavu.

Kairuhusu Ukraine itumie makombora ya masafa marefu kwa lengo la kuchochea vita, Trump aingie madarakani vita ikiwa ngumu sana kuisuluhisha, Mpango huu kwa kiasi kikubwa umefeli sana, Putin alipojibu kwa makombora yenye nguvu zaidi ambayo hajawahi kuyatumia tangu vita ianze, Ukraine imetulia inajithamini.

Kwa upande wa kulazimisha kusifiwa Biden kaamua kuilazimisha Israel ikubali cease fire kwa Kakataa kuiuzia silaha za kuendeleza mashambulizi (Arms Embargo), Kwa kufanya hivi Netanyahu kishingo upande kakubali kusimamisha vita lakini ni kwa siku 60 tu, ni siku ambazo zimebaki Trump kuapishwa, Trump kipenzi cha Israel.

Netanyahu aliwahi kukiri wazi kabisa hakuna rais rafiki wa Israel kumzidi Trump, Na kweli ukiangalia safu inayojengwa na Trump kwenye uongozi wake ni Pro Max Israel, Yaani Israel ikihitaji silaha asubuhi basi mchana zinafika kwa ndege na nyongeza, Wataothubutu kuwatukana waisral Marekani walivumiliwa na Biden lakini watashughulikia awamu ya Trump.

Kwa upande mwengine Iran na vikundi vyake wajiandae, pindi tu Trump akiingia ikulu wajipange kisaikolojia na kufikiria mara mbili mbili kwenye kuishambulia Israel, Hakutakuwa na mambo ya cease fire na hakutakuwa na uhaba wa silaha kwa Israel.
Silaha sio kwamba zinaota bali hutengenezwa kwa gharama za kodi za wamerikani huku kukiwa na tushio la usa n Russia kuendelea. kupeleka sihala Israeli na ukrain ni kujichimbia kaburi
 
Kwa hiyo tumekubaliana sasa Israel sio kama tulivyoambiwa alipiga waarabu Kwa siku sita?Dunia ilidanganywa sana enzi ya redio za mbao kuhusu uwezo wa Israel
Hakika tumedanganywa mengi mnooo enzi za ujima
Mara ooooooh Israel 🇮🇱 makomando watupu, mara ooooooh wana jeshi bora
Kumbe hovyo kabisaaa
Anamchokoz Iran 🇮🇷 akitaka kutwangwa anakimbilia kuita wajomba, mashangazi, baba wadogo na wakubwa pamoja na majirani wamsaidie
 
2006 ambao hatukufuatilia vita ya IDF vs Hizbullah tukaambiwa humu kwamba IDF walichakazwa vibaya sana na mwaka huu wasithubutu yatawarejea Yale Yale ila nashukuru Mungu mara hii nimepata nafasi ya kufuatilia haya mapigano na nimejionea dhahama waliyokutana nayo vijukuu vya Mudi.
Kwani vita vimeisha kwa kushinda au vimeisha kwa Israel kukubaliana na anao waita magaidi?
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Israel, mazayuni, wayahudi na uyahudi katika vyote hivyo angalau uyahudi tena wale wa zamani wanatumia torati ndio unaweza kusema wanaamini Mungu wa kweli waliomuamini Mussa na kitabu chake hawakufika hata 1% ya wayahudi ijekua waisrael. US hawezi kutetea taifa la Mungu hata siku moja ikiwa yeye yuko taifa la kishetani naumia sana kuona wakristo wengi wanambariki shetani na kuacha watu wengine wakiteseka. Kwanini hayo maombi usiibariki Afrika.?
kichwa cha huyo jamaa uliyemjibu ni mzigo kwa shingo yake hatokaa akuelewe kamwe
 
Mungu wa Yakobo ndiye Mungu. Hapana Mungu ila Mungu wa Israel. Hata kupitia "kunguru" huwalisha na kuwalinda watu wake. Ewe Mtakatifu wa Yakobo libariki taifa lako sawa sawa na ahadi zako. Amen.
Hahaha Walokole bana😂😂😂
 
Back
Top Bottom