Bidhaa tunazouziwa siku hizi hasa viatu na nguo za dukani zinapauka kwa haraka sana, mamlaka imelala?

Bidhaa tunazouziwa siku hizi hasa viatu na nguo za dukani zinapauka kwa haraka sana, mamlaka imelala?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.

Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?
IMG_5674.jpeg
IMG_5675.jpeg
 
Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.

Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Kama mchunga mbuzi hapo chini!Viwango vya ovyo,Bora mitumba!
 
Nguo zisizopauka zipo tu shida bei yake utaweza tembea nayo kiongozi?store za woolworths tz wana brand jeans kama Levi's price ina range shilingi 70 mpaka laki mbili na uchafu wake.Store za streetsoul product unazosema zipo shida bei utatembea nayo?
 
Sio
Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.

Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Kwamba mnapenda vitu vya bei chee bwelele bwelele eti unakuta mwanaume mzima ananunua kiatu cha elfu 15k rubber za mchina kama hizo ulizovaa hazizidi 20k ikizidi hapa umeibiwa , jeans la 25 mpaka 35 utalia sana. Soko huria/hulia sijui ninii! 😀😀🇹🇿🇨🇳🇹🇿🇨🇳🇹🇿
 
Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.

Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Usishangae ukavipeleka kwenye mitumba ukaambiwa mtuba mugumu unadumu.
 
Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.

Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Janja wa Tukuyu moja eeeh…

Mkiambiwa acheni kwenda kwa Vunjabei mnagoma🤣🤣
 
Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.

Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Zamani walikuwepo watu wanaitwa TBS sijui kwanini walifutwa? Hawa ndiyo wangetusaidia kwenye haya mambo
 
Sio

Kwamba mnapenda vitu vya bei chee bwelele bwelele eti unakuta mwanaume mzima ananunua kiatu cha elfu 15k rubber za mchina kama hizo ulizovaa hazizidi 20k ikizidi hapa umeibiwa , jeans la 25 mpaka 35 utalia sana. Soko huria/hulia sijui ninii! [emoji3][emoji3][emoji1241][emoji630][emoji1241][emoji630][emoji1241]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom