Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Kwishaaaaahizi jeansi ziko vizuriii
View attachment 3265556
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwishaaaaahizi jeansi ziko vizuriii
View attachment 3265556
Wapo,wamesinziaZamani walikuwepo watu wanaitwa TBS sijui kwanini walifutwa? Hawa ndiyo wangetusaidia kwenye haya mambo
Huna haja ya kuuliza wewe tembea maduka yanayoeleweka jeans nzuri inaanzia elfu 65 nakuendeleaIpi nzuri mkuu, unaonekana ni guru maeneo haya
TBS ilishajifia huu mwaka wa 10 sasa.Zamani walikuwepo watu wanaitwa TBS sijui kwanini walifutwa? Hawa ndiyo wangetusaidia kwenye haya mambo
Hivyo viatu ulifua na SabuniYaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Hahahaha mwenyewe kaona katinga vikaliHiyo jeans kariakoo pc 6 wanauza 50k hizo raba kama za MASKOLIOO 😁😁😁
Acha kuvaa midosho mkuu, mwaka Jana nimenunua raba makumbusho ilikuwa ni mwezi wa nne na hiyo raba haipauki zaidi ya kuishiria sori na nilikuwa nazivaa kila siku...Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Ajabu ni kwamba both team to score (BTS)Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Hii raba yako ni mchina lakini ya yule aliyechangamka.Acha kuvaa midosho mkuu, mwaka Jana nimenunua raba makumbusho ilikuwa ni mwezi wa nne na hiyo raba haipauki zaidi ya kuishiria sori na nilikuwa nazivaa kila siku...View attachment 3265597
Ni mchina ndio lakini haipaukiHii raba yako ni mchina lakini ya yule aliyechangamka.
Hahahaa....pole! Ila watanzania wengi hatuna desturi ya kusoma maelekezo katika bidhaa....Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Ni biashara, lazima kesho urudi tenaYaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
haya tujuze angalau itatusaidia siku za usoni.kupitia uzi huu nimegundua ujivuni wa members wengi ambao nao hawajui chochote