Kama mchunga mbuzi hapo chini!Viwango vya ovyo,Bora mitumba!Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Kwamba mnapenda vitu vya bei chee bwelele bwelele eti unakuta mwanaume mzima ananunua kiatu cha elfu 15k rubber za mchina kama hizo ulizovaa hazizidi 20k ikizidi hapa umeibiwa , jeans la 25 mpaka 35 utalia sana. Soko huria/hulia sijui ninii! 😀😀🇹🇿🇨🇳🇹🇿🇨🇳🇹🇿Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Usishangae ukavipeleka kwenye mitumba ukaambiwa mtuba mugumu unadumu.Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Ipi nzuri mkuu, unaonekana ni guru maeneo hayaUnanunua jeans ya elfu ishirini au kumi na Tano unategemea nini sasa
Janja wa Tukuyu moja eeeh…Yaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
Zamani walikuwepo watu wanaitwa TBS sijui kwanini walifutwa? Hawa ndiyo wangetusaidia kwenye haya mamboYaani unanunua jeans leo mwezi march unavaa ukifua mara mbili tu nguo inapauka vibaya mno kiasi cha kuonekana ni kama ya mwaka juzi. Hivyo hivyo na bidhaa nyingine, kama viatu yaani ni shida tupu.
Mamlaka ziko wapi, wananchi tunauziwa bidhaa zisizo na ubora kwanini?View attachment 3265537View attachment 3265539
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha sasa mzigo umenunua ilala boma umepakwa rangi tu kwanini isichakae mkuu hiyo pic ya pili ndiyo hali halisi kabla haijapakwa make up
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio
Kwamba mnapenda vitu vya bei chee bwelele bwelele eti unakuta mwanaume mzima ananunua kiatu cha elfu 15k rubber za mchina kama hizo ulizovaa hazizidi 20k ikizidi hapa umeibiwa , jeans la 25 mpaka 35 utalia sana. Soko huria/hulia sijui ninii! [emoji3][emoji3][emoji1241][emoji630][emoji1241][emoji630][emoji1241]