jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Ameongelea vitu vingi sana ndugu mwandishiWabongo acheni kulialia
Siyo lazima unywe soda, kwanza soda ni
Mbaya kwa afya yako tu
Na upande wa maji chemsheni wenyewe
Maji mya chuje
Ova
Uzalishaji umepungua kipindi cha mama tu? Vita ndo kwanza inasiku 35 toka ianzeKukimbia shule, bidhaa huathiriwa na uzalishaji, uhitaji na usambazaji
Katav wapi hiyoHuku soda mbona 700/- na 1,000/-
Na haujawahi tokea. Kwanza hawa wahindi bac tu.Soda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
Hakika mkuuKatika makundi ya wanaokula kwa jasho na mahangaiko makubwa sana hapa Tanzania,ni hawa mama/baba lishe.
Bidhaa zitapanda bei hata miaka mitatu,a wao bei yao ya vyakula ipo palepale.
Hawa inatakiwa tafiti ifanyike ili tujue siri ya kutopandisha bei, huenda tukajifunza jambo ambalo laweza tumika kwa maendeleo ya wengi zaidi.
Singida haiko dsm na wala mafuta kutoka singida hayaji kwa ungo..!Soda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
ALIZETI √ ARIZETI XInaandikwaje mkuu ALIZETI au ARIZETI?
Endelea kujidanganya hivyo,Soda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
Nadhani anaongelea mchepuko wakeHivi mke anaweza kukupa penzi "jadidifu" kwa kuleta kidumu cha mafuta nyumbani wakati ni majukumu yako?
Hapa watu wanaongelea michepuko, yaani kuhonga.
Nimetoka kununua sabuni ya jamaa mche 3500/= sabuni ya unga ya mchina 1 kg 1400/=.Mama anaupiga mwingi sana.Soda Tsh 600 badala ya 500
Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500
Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=
Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=
Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.
Ahsante!
Kinywaji gani hakijapanda bei?Sio lazima soda, vinywaji vipo vingi
Hivi haya mafuta yanapatikana wapi na bei tafadhaliKuhusu mafuta tumeshapata mbadala
"KITIMOTO"
kwa speed hii yatafika 50,000/=Nimenunua jana mafuta Lita 5 42,000/=