Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

Distribution cost
Bei ya mafuta imepanda na mama kaongeza tsh100 juu kwa kila lita.

Tutaisoma namba wote
 
Well said
 
Kwa sasa hamna nafuu kwenye bidhaa yeyote aisee.

Tutafika ila tukiwa tumechoka sana sababu inafikia hatua mpaka kichwa kinauma namna unaendesha maisha.
 
Kwa sasa hamna nafuu kwenye bidhaa yeyote aisee.

Tutafika ila tukiwa tumechoka sana sababu inafikia hatua mpaka kichwa kinauma namna unaendesha maisha.
Na kawaida vitu vikipanda bei kushuka inakuwa mtihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…