Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

Shiii! USIPIGE KELELE KIKAO CHA CCM KINAENDELEA, KAMA KUNATATIZO MUONE MWENYEKITI WA MTAA MJADILIANE.
 
Msiwe wabishi, mmeambiwa sababu ni vita ya huko kwa warusi.
Muwe mnaelewa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala cake za Taifa, afu hamjari wala nn.
Uwiiiiiih
 
Huku kwetu alizeti lita 5 ni 30,000 hiyo 39 ni too much jamani [emoji24][emoji24][emoji24] vitu vinapanda bei ila mshahara upo pale pale
Wapi huko? Hapa nilipo lita 5 ni 37. Khaaaah
 
Sasa akina magufuli unaita waongo,wakati huo huo unasema mabepari wamerudi na kurudisha ada kunafuata.mkuu ni bei ya mafuta ya kupikia imekuchanganya au😄😄😄
 
Hapana nilimaanisha Katika kuibalance balance ibaki nifanyie mambo yangu saivi ni balaa tupu! Kuna wanaume wengine masuala ya nyumbani na vyakula kiujumla huwa mnatupa hela wanawake tukanunue wenyewe hapo sasa unajikuta haitakuja hata cent!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…