Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

Fundi mitambo mwenyewe ndiyo huyo!😁


Huo ushemeji uliosemwa na mkewe ni upi kwa Josephat?
 
hujazuiwa kwenda kuongea nae pia
We muongo nimetafuta sana hii habari haipo hata huko Kitenge tv. Kwa nn mode wanaacha vitu vya uongo kama huu uendelee Bila kuthibitisha kama ninkweli?!
 
We muongo nimetafuta sana hii habari haipo hata huko Kitenge tv. Kwa nn mode wanaacha vitu vya uongo kama huu uendelee Bila kuthibitisha kama ninkweli?!
hauna akili
 
huyo waziri wenu mtajitahidi kumcover lkn amebanwa mbavu akabanika vby sn ...mnaleta chuki kwa gwajiboy kwa kuwakatalia chanjo uchwara zenu eti mnajimobilize kuleta kashfa uchwara
 
"Kwa kweli ukoo wa mzee Gwajima tumepata bahati mbaya sana kwa kuoa kwa Wanyiramba, mdogo wetu alienda kutuletea mnyiramba, hakika tumepata bahati mbaya sana na huyu mnyiramba ( Dkt.Dorothy Gwajima) aliyekuja kwenye ukoo wa Gwajima" Askofu Dkt. Josephat Gwajima
#Kanisanileo
 
huyo waziri wenu mtajitahidi kumcover lkn amebanwa mbavu akabanika vby sn ...mnaleta chuki kwa gwajiboy kwa kuwakatalia chanjo uchwara zenu eti mnajimobilize kuleta kashfa uchwara
a
 
Kibaraka wa Doroth. Bidada kayatafuta na kayapata mnalo. Sasa hapo wewe unaona unamsaidia sijui!!
kayapata manini? Doroth Gwajima ni waziri na bado yupo yupo sana
 
Matiasi alisema kweli huyu mwanamke amefitinisha ukoo mzima, si mnaona amefanya metusela anamkana baba hadharani.
 
Utakuwa mhabeshi wewe, uhamiaji wanatakiwa kukuhoji!
Ahahahah kbsa uji inchi hii inamfumo wa kikoo ajui kuna ukoo fln fln dogo atakuwa mdgo Sana au ajielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…