Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Dawa ya watanzania ni TOZO, nimegundua ikifika hapo wanakuwa wapole hakuna kucheka wala vigeregere.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wahabeshi wana ukoo.Utakuwa mhabeshi wewe, uhamiaji wanatakiwa kukuhoji!
Wewe usimsingizie mama wa watu, kabla mama hajashika nchi huyu bwana ana tabia hizi hizi!Yote haya yanakuzwa na serikali ya Samia!
Shenzi kabisa!
Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"
Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.
#KitengeUpdates
View attachment 1903549
Je, yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la Gwajima alikuwa amesahau au alipangwa?
Mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini👇👇
View attachment 1903552
Kazee kamekosa busara kabisa.sasa kale kazee katapeli klikomzuia kutumia jina la Gwajima kanajielewa kweli?
😅😅😅😅Dah! ili tangazo huwa linaniacha hoi sijui maanake nini"Afile munu asigale munu"
Dah! Kweli mchungaj gwajima hana vita ndongo..yaani tatizo la kiserikal limesababisha agawe ukoo?kuna sehemu alisema kuwa katika baba zao walio hai huyo ndiye aliyebakia na kwa mila zao wasukuma ni kweli ndo baba mkwe ila maadam amemkana ina maana kuwa ukoo si mmoja tena dorothy na joephat wameawagawa tayari
Askofu Gwajima mtu wa fiksi kali.Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"
Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.
#KitengeUpdates
View attachment 1903549
Je, yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la Gwajima alikuwa amesahau au alipangwa?
Mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini👇👇
View attachment 1903552
Uongo kwa Askofu ni laana.Hii ni aibu kwake kushiriki uongo
Yalipandwa (yalianzishwa) na nani?Yote haya yanakuzwa na serikali ya Samia!
Shenzi kabisa!
asanteHongera sana.
Yale ya Bashite Ni kweli, mbona Makonda alikataa kutaka jina la baba yake siku alipohojiwa? Halafu Mh alimkingia kifua Hadi akasema Makonda siyo mtumishi wa umma.Alimshambulia Makonda aka Bashite kila palipo na ibada jumapili......akapata umaarufu mkubwa kwa visingizio vya uongo na sasa amerudia tena
Sio tu katapeli ni kapuuzi pia kwa sababu kwa mzee mwenye hekima hawezi kuongea utumbo kama ulekale kazee nako ni katapeli
Kwanza ni aibu kusimamishwa kanisani kwaajili ya utumbo kama ule..hivi huyu mzee si ndo alitakiwa awe msuluhishi? Sasa anaparamia kanisa kuonyesha vile hana busara dah! Kwweli siyo wazee wote wenye busaraSio tu katapeli ni kapuuzi pia kwa sababu kwa mzee mwenye hekima hawezi kuongea utumbo kama ule
Wanasema eti afe mtu,azikwe mtu[emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Dah! ili tangazo huwa linaniacha hoi sijui maanake nini
Sasa inakuaje washee ubin wa baba?gwajima askofu na gwajima mume wa waziri ni mtu na kaka yake kwa upande wa mama
Ukiangalia huyo mzee kafana sana na askofu kuliko marehemYule mzee alisimama leo pale madhabauni Askofu kamtaja ni babaake na wamezaliwa watoto 12 kwa baba mmoja mama mmoja na Askofu ni wa nane.