Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

Dawa ya watanzania ni TOZO, nimegundua ikifika hapo wanakuwa wapole hakuna kucheka wala vigeregere.
 
Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.

Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"

Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.

#KitengeUpdates

View attachment 1903549

Je, yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la Gwajima alikuwa amesahau au alipangwa?

Mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini👇👇
View attachment 1903552

Hoja mfu haswaa, na waumini wao wakishabikia 🤣🤣🤣 ngoja wapigwe mafuta ya upako kama wale wa MOSHI wakapoteza maisha kwa ujinga wa mwamposa 🤣🤣🤣
 
sasa kale kazee katapeli klikomzuia kutumia jina la Gwajima kanajielewa kweli?
Kazee kamekosa busara kabisa.

Nimeshangaa sana kwamba kumbe mpaka leo kuna wazee ambao busara zero kabisa ?
 
kuna sehemu alisema kuwa katika baba zao walio hai huyo ndiye aliyebakia na kwa mila zao wasukuma ni kweli ndo baba mkwe ila maadam amemkana ina maana kuwa ukoo si mmoja tena dorothy na joephat wameawagawa tayari
Dah! Kweli mchungaj gwajima hana vita ndongo..yaani tatizo la kiserikal limesababisha agawe ukoo?
 
...Mimi Jana niliambulia hii tu......KWANI WAREMBO WANA UBAYA GANI🤭🤭
 
Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.

Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"

Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.

#KitengeUpdates

View attachment 1903549

Je, yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la Gwajima alikuwa amesahau au alipangwa?

Mtazame mzee mathias Gwajima hapo chini👇👇
View attachment 1903552
Askofu Gwajima mtu wa fiksi kali.
Uongo unaendelea kumuumbua.
Toka ashindwe kufufua wafu, laana iko juu ya kichwa chake.
 
Alimshambulia Makonda aka Bashite kila palipo na ibada jumapili......akapata umaarufu mkubwa kwa visingizio vya uongo na sasa amerudia tena
Yale ya Bashite Ni kweli, mbona Makonda alikataa kutaka jina la baba yake siku alipohojiwa? Halafu Mh alimkingia kifua Hadi akasema Makonda siyo mtumishi wa umma.
 
Sio tu katapeli ni kapuuzi pia kwa sababu kwa mzee mwenye hekima hawezi kuongea utumbo kama ule
Kwanza ni aibu kusimamishwa kanisani kwaajili ya utumbo kama ule..hivi huyu mzee si ndo alitakiwa awe msuluhishi? Sasa anaparamia kanisa kuonyesha vile hana busara dah! Kwweli siyo wazee wote wenye busara
 
wameshiba hao wakiwa na njaa watanyamaza....

Ndugu wakigombana shika jembe ukalime😁
 
Back
Top Bottom