Bikira Maria aonekana live kanisani wakati ibada ikiendelea

Mathayo 1:18 Kuzaliwa kwake Yesu Kristu kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

Mpaka hapo ufute dhana yako ya "huenda kwasababu ni haki, halali yake na baraka" na porojo nyingine.
 
Maria alifariki miaka 2000 iliyopita.
NASHANGAA ROMAN BADO WANAMUOMBEA NA KUMPA UTAKATIFU.

ROMAN WALIANZISHA UISLAMU.
LEO WANAANZISHA NDOA ZA JINSIA MOJA.

Nikisoma UFUNUO 17.
HUWA NALIA NA SHETANI ROMA.
 
Amina
 
Maria alifariki miaka 2000 iliyopita.
NASHANGAA ROMAN BADO WANAMUOMBEA NA KUMPA UTAKATIFU.

ROMAN WALIANZISHA UISLAMU.
LEO WANAANZISHA NDOA ZA JINSIA MOJA.

Nikisoma UFUNUO 17.
HUWA NALIA NA SHETANI ROMA.
Mimi nalia na Shetani CAPO DELGADO.
 
Tunapoelekea: start a church, get some mzungu guy kwa hologram, sema Yesu anatembelea kabisa kila Jumapili ya mwisho wa mwezi, piga mihela.
 
Wakatoliki wameanza umbwiga nao. Sasa si mianga tu hiyo inacheza sababu ya ma refraction.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…