Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Labda tuondoe neno "Ukristu" ndani ya kanisa. Halifanyi vitu vinavyofanana na Yesu. Hiyo ni taasisi ya kiserikali inayotawala dunia. Yesu alikuja kutuandalia Ufalme wa Mbinguni na sio duniani.
 
🤣😂🤣😂🤣 Usirudie tena , nipo apa kuwanyoosha 😂😂😂😂


Church of England OKs blessings for same-sex couples​




February 9, 20232:14 PM ET

Bill Chappell



Members of the Church of England General Synod pray ahead of a vote that ultimately approved blessings for same-sex couples in London on Thursday.
 
Ona na huyu mbusu jiwe mwingine 😂😂😂😂

Unaulizaje swali ambalo ndio unajua ni Imani ya wakristo

Madrasa zinaharibu akili Sana 😂🤣🤣

Ninataka kukuuliza mpagani wewe mwenye imani ya utatu kama Biblia yako inaruhusu kuabudu matofali na mawe katika aya hii:

"Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu, na kulisifu jina lako kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, kwa maana umeikuza jina lako na neno lako kuliko vitu vyote. (Kutoka Biblia ya NIV, Zaburi 138:2)

Tuambie , hekalu limetengenezwa na nini? Je, kuisujudia haitakuwa ni ibada ya sanamu kwenu?
 
Hahahahhaha imani ya papa au soma hii
Sasa ulichoweka kinahusiana vipi na swali lako na jibu langu ,

Umeuliza Yesu alisulubiwa
Nikakujibu kwenye Imani ya wakristo inasemaje kuhusu Yesu

Unarukia kitu kingine , madrasa huwa mnafundishwa Nini kinaharibu akili zenu kwa kiwango hichi?
 
Sasa ulichoweka kinahusiana vipi na swali lako na jibu langu ,

Umeuliza Yesu alisulubiwa
Nikakujibu kwenye Imani ya wakristo inasemaje kuhusu Yesu

Unarukia kitu kingine , madrasa huwa mnafundishwa Nini kinaharibu akili zenu kwa kiwango hichi?
Kwani makanisani wanaingia akina nani na hao chini ni akina nani
Yesu hakusulubiwa
Alafu hukujibu umejichekesha sijui ndio upo karibu na papa hapo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli tupu kwa miaka mingi Kanisa Katoliki limehifadhi Imani Takatifu kwa Yesu Kristo pamoja na mapokeo mengi na Kanisa limesimama kama alama ya umoja na ushirika wa kitume chini ya Ba Mtakatifu. Tuliombee Kanisa Imani na uaminifu kwa Kristo.
Amina[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwa sababu ni maneno ya masezeta si shangai weka andiko na sio kukurupuka
Twende kwa ushahidi ukishindwa mtafute na mume wenu papa awasaidie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii ni ngumu kumeza lakini imekaa hivyo.Waliomsimika jamaa kuwa nabii ni Waraqah na binamu yake.Mmoja alikuwa Padre mwingine sister wa kanisa katoliki aliyeandaliwa kimkakati.Vatican archive wanayo manuscript ya kitabu kilichoshushwa.Kiujumla walikishusha wao.Muda unavyokwenda ukweli utagundulika.
 
Ukweli ukigundulika usisahau kunitag


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Muhammad alitengenezwa na Waraqah ndugu yangu
 
Kinachonifurahisha kwenye uchambuzi huu ni kwamba Quran tukufu inaitegemea sana biblia kujustify hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…