Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye mada Moja Kwa Moja

Bila Kanisa Katoliki:
  • Ukristo usingeenea Duniani
  • Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
  • Ukristo usingeheshimika
  • UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.

Karibuni tujadili kwa hoja

NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa

Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie
Dini ile nyingine ipi? Hebu nyoosha maneno ili tujue tunachangiaje
 
Ndo ukweli wenyewe japo mchungu mwanangu. Ndiyo maana ukristo hauutambui uislam lakini uislam unautambua na kuuheshimu ukristo. Ndizo sifa za mzazi na mtoto. Angalia hata waganganjaa wa mihadhara. Mara nyingi hutumia biblia kufanya biashara yao lakini si quran.
Uislamu unatambua na kuheshimu dini zote , ndiyo maana kwenye quran umetajwa uyahudi, wametajwa waabudu masanamu , ametajwa beelzebub aliyekuwa akiabudiwa na dini ya wababiloni, umetajwa ukristo na si kwamba kutambuliwa ukristo ni ishu kubwa hapana.

Hata ukisoma biblia utakuta imetaja dini nyenginezo pia hii haimaanishi hizo dini ni special au nini ..
Kikubwa je? Umepata ujumbe uliopo kwenye QURAN?
 
Ebu tuambie wakati Musa anaandika Taurati wakatoliki walikuwepo?
Wakatoliki hawakuwepo
Ila Wakatoliki ndo waliokueleza kuwa Musa aliandika Torati.
Bila Wakatoliki usingeijua hiyo Torati.
Labda ungeijua kupitia dini nyingine na si Ukristo. Dini nyingine zina Torati lkn inatofautiana na ya kwenye biblia iliyokusanywa na Wakatoliki walioamua Vitabu vya kuingiza kwenye biblia na vingine kuviacha.
 
Unaonesha ni kiasi gani ulivyo mpofu wa maadili mema.
Usilete kashfa kama mtoto uliyekulia kwenye danguro, jibu hoja.
Hoja ipi ijibiwe?
Wakati una qoute comment ya mtu uwe umefuatilia mazungumzo ya hao watu kwanza

Na wakati una wausia wawe na maadili wakati wewe mwenyewe hauna naona unatia kinyaa tu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakatoliki hawakuwepo
Ila Wakatoliki ndo waliokueleza kuwa Musa aliandika Torati.
Bila Wakatoliki usingeijua hiyo Torati.
Labda ungeijua kupitia dini nyingine na si Ukristo. Dini nyingine zina Torati lkn inatofautiana na ya kwenye biblia iliyokusanywa na Wakatoliki walioamua Vitabu vya kuingiza kwenye biblia na vingine kuviacha.
wakatoliki wameikuta Taurati watu wakiwa nayo na wameitunza, bila msaada wala nguvu ya wakatoliki, hivyo hoja yako ni mfu sanaaa , wayahudi ndio wenye vitabu hivi kwenye mioyo yao na kwenye maandishi, hawa ndio wa kupongezwa, maana hao wakatoliki wako wamepiga chabo kwa wayahudi
 
Ukishindana na kanisa Katoliki ni sawa na mtu kupigisha mguu kwenye jiwe, mguu utaumia na jiwe litabaki lilivyo.
Na jiwe lenyewe ni mwamba mgumu; na huu mwamba ni Petro, ambaye kanisa katoliki limejengwa juu yake!
 
Mimi nafikiri kanisa alilosema Yesu sio Katoliki, hili dhehebu lilianzishwa tu na watu wenye akili ili kufanya biashara. Petro alikuwa na mke na watoto, baba mtakatifu ana mke na watoto? Je Yesu alikuja kuanzisha siasa na biashara?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye mada Moja Kwa Moja

Bila Kanisa Katoliki:
  • Ukristo usingeenea Duniani
  • Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
  • Ukristo usingeheshimika
  • UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.

Karibuni tujadili kwa hoja

NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa

Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie
ukirisito nguzo yenu kubwa ni kuabudu masanamu kila kanisa lina sanamu ndanimo mpaka nje [emoji116][emoji116][emoji116]
download.jpg
 
Ukishindana na kanisa Katoliki ni sawa na mtu kupigisha mguu kwenye jiwe, mguu utaumia na jiwe litabaki lilivyo.
hiyo ni kweli hili kanisa linaedena watu kuabudu sanamu kila asubuhi utembezwa msalaba wenye kinyago cha yesu na mama yake kisha ukiweka mezani na kukiomba huyo papa akibusu mungu wenu tikiwambia niyiyi ni washirikina mnapinga [emoji116][emoji116][emoji116]
download.jpg
 
Hili kanisa lilijaribu kufuta ukristo likashindwa, liliua watu mamilioni kwa mamilioni. Miaka fulani hapo kati papa aliomba radhi. Wadanganye wasiojua historia. Kuna watu walipata shida sana kusimamisha ukristo, akina Martin Luther wa kkkt
huyo hapo papa akiabudu mungu wake[emoji116]
 
Hili kanisa lilijaribu kufuta ukristo likashindwa, liliua watu mamilioni kwa mamilioni. Miaka fulani hapo kati papa aliomba radhi. Wadanganye wasiojua historia. Kuna watu walipata shida sana kusimamisha ukristo, akina Martin Luther wa kkkt
huyo papa akimuabudu mungu wenu
download.jpg
 
Ukatoliki utaanzisha kitu kinachowataka kuwacha imami yao ?

Qurani inasema Yesu si Mungu

Qurani inasema Yesu Hakufa wala kusulubiwa

Qurani inakataa utatu , Trinity


Jee wakatoliki wanakubali haya ????

Kidogo utumie akili , usipakazie
Quran haina jina YESU na wala haijawahi kumtaja Yesu.

Nyie wafuasi wa Issa sijui kwa nini huwa mnakuwaga wagumu kuelewa hili.
 
Kanisa katoliki ndio lililoua ukristo wa kweli duniani. Katoliki liligeuzwa kuwa dini ya Nchi, wengi wasiowakatoliki waliuwawa. Middle east yote ilikua christian land, Morocco, Algeria na Egypt. Zilikua christian countries. Catholic chini ya utawala wakiimula uliua na kuumiza wengi. Ndipo ulipotokea uislamu kama mkombozi wa mateso ya Catholics. Ukristo ulikuwepo,kabla ya ukatoliki na ulivurugwa na tawala zilizo kuwa chini ya Catholic. Wanakuja watu kama Martin Luther n.k kuuamusha ukristo iliuwawa na Catholic. Leo hii uislamu usingekuwepo duniani lakini Catholic ilizaa Islamic. Usidanganye watu.
wakirisito nyote mungu wenu huyo hapo chini akiabudiwa na rais wetu mpendwa jembe letu la wakati uliopita msibaguane
1.jpg
 
Umesahau kuwa huo ukristo wako hata uislam ndo dini zilizotenda maovu hakuna mfano. Rejea ukristo ulivyotumika kueneza ukoloni Afrika mbali na yale mauaji yake ya inquisition yaliyoua maelfu ya watu kikatili huko ulaya. Rejea vita ya badr na upuuzi mwingine mwingi wa kidini mbali na ulawiti unaoendelea, unyakuzi wa ardhi, udumazaji akili za watu wetu, wizi wa majina asilia, kukandamiza mila asilia, kutoza watu fedha na kuwasababishia umaskini na mengine mengi.
ebu tupe chanzo cha vita via badir
 
Back
Top Bottom