Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Catholic ilizaaje Uislam?
huyo mshenzi tu kwanza ajui uisilamu uliazia wapi wakati gani chini ya nani,anacho jua ni kuabudu sanamu tu
download.jpg
 
huu ndio ukweli na itabaki kuwa hivyo

Kanisa katoliki ni Kanisa la mitume kwa hapa duniani halimilikiwi na mtu yeyote kama yalivyo madheheu mengine na hapo ndipo panapoleta utofauti mkubwa sana.
 
Hili kanisa lilijaribu kufuta ukristo likashindwa, liliua watu mamilioni kwa mamilioni. Miaka fulani hapo kati papa aliomba radhi. Wadanganye wasiojua historia. Kuna watu walipata shida sana kusimamisha ukristo, akina Martin Luther wa kkkt
Kama papa aliomba radhi Alitambua /walitambua kosa bila shaka.

Martini Luther bila shaka alikulia ktk kanisa katoliki tena padri ,hivyo ukristo aliukuta ukiwa umestawi Alicho anzisha yeye ni Lutherani

Wapo watoto wa Nabii Mke wa uongo wenye historia yao wenyewe bila shaka wewe ni miongoni
 
Kwa kuuwezesha kutumia maandiko yake torati na mengine kujihalalisha. Angalia nani alimuibua Adam na Eva aka Hawa kwa waislam. Kimsingi, ukristo ndiye baba na mama wa uislam. Na kimsingi, quran ni biblia iliyoandikwa kishairi. So simpo.
fafanua uisilamu ulivio zaliwa na ukirisito

udilamu ulianza mwaka gani
nani manzilishi na kwa faida gani

hiyo qur,an aliandika nani

ASHAHIDI KWENYE CHANZO KUAMINKA SIO POLOJO
 
Haya Ni maoni yako,,,,au kwa mujibu wa vitabu?
thibitisha kwa maandiko tena yatoke kwenye qur,an au biblia yako

kama hapa ninavio kuthibitishia kuwa ukirisito ni upagani bila sanamu hakuna ukirisito mungu wenu huyo hapo chini akiabudiwa na papa huyu papa ndie anae wasamehe dhambi
download.jpg
 
Haya tusali kwa pamoja "Ee Muumba wa vyote fungua mioyo yetu ili tujue kati ya haya madhehebu mpinga Kristu ni nani" Aaamen.
 
Kwa hivyo huna ushahidi, wewe si dini

Jibu swali

Kwani ukristo ni dini?
Mimi nitakujibu... twende one on one.

NDIO, Ukristo ni Dini.

Baada ya hapo, Mimi nina swali moja tu kwako. DINI NI NINI?
 
hii nini kama sio mungu wenuView attachment 2511511
Hiyo picha haipo kwenye Quran.

Narudia tena: Quran haina jina Yesu(kwa lugha yoyote ile) na wala haimtaji Yesu wa kwenye Biblia.

Huwa nashangaa sana.Hivi Isa Ana shida gani mpaka inabidi mkimtaja lazima mumuegemeze kwa Yesu?
Mbona wakristo hawamuegemezi Yesu kwa Isa wenu?

Hii ni moja ya sababu inayofanya niuone uislam kama dini dhaifu inayojaribu kujisimamiasha kupitia Ukristo.
 
Mkuu
Ufafanuzi Kidogo Wale Wapelelezi Tuliokuwa Tunasoma Kwenye History Kuwa Walikuja Africa Kwa Mgongo Wa Dini Kumbe Ni Wapelelezi, Je Wote Walikuwa Catholic



Hawakutoka Kwenye Ukristo Ila Madhehebu Mengine, Tadadhali Lete Maneno....
 
Quran haina jina YESU na wala haijawahi kumtaja Yesu.

Nyie wafuasi wa Issa sijui kwa nini huwa mnakuwaga wagumu kuelewa hili.

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufuna wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutokakoo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shakamitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).



Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia,tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana. Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia,

Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema: “Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutanowa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini? Karibuni, Muhammad s.a.w.mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili.
 
Hiyo picha haipo kwenye Quran.

Narudia tena: Quran haina jina Yesu(kwa lugha yoyote ile) na wala haimtaji Yesu wa kwenye Biblia.

Huwa nashangaa sana.Hivi Isa Ana shida gani mpaka inabidi mkimtaja lazima mumuegemeze kwa Yesu?
Mbona wakristo hawamuegemezi Yesu kwa Isa wenu?

Hii ni moja ya sababu inayofanya niuone uislam kama dini dhaifu inayojaribu kujisimamiasha kupitia Ukristo.
wewe usiwe mshamba yesu ndio huyo issa mfano qu,aan inamuita mtu wakwanza a,adamu nayi hata nyiyi mnatumia jina hilo hali yakua ni la kiarabu

nisiondoke bila kukuwekea picha ya kuongozi wenu papa akimuabudu mungu wenu[emoji116][emoji116][emoji116]
download.jpg
 
Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufuna wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutokakoo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shakamitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).



Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia,tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana. Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia,

Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema: “Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutanowa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini? Karibuni, Muhammad s.a.w.mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili.
Yaani tuwaseme Catholic kwa kuingiza mambo maovu kanisani, tujiunge kwa mtoto wakatoliki aliyepindua kabisa maandiko na kukana wokovu thahiri. Acha hizo.
 
wewe usiwe mshamba yesu ndio huyo issa mfano qu,aan inamuita mtu wakwanza a,adamu nayi hata nyiyi mnatumia jina hilo hali yakua ni la kiarabu

nisiondoke bila kukuwekea picha ya kuongozi wenu papa akimuabudu mungu wenu[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2511650
Unasema kuwa Isa ndio yesu.

Sasa swali langu kwako ni hili [emoji116]

Isa alisulubiwa au hakusulubiwa?
 
Kanisa katoliki ndio lililoua ukristo wa kweli duniani. Katoliki liligeuzwa kuwa dini ya Nchi, wengi wasiowakatoliki waliuwawa. Middle east yote ilikua christian land, Morocco, Algeria na Egypt. Zilikua christian countries. Catholic chini ya utawala wakiimula uliua na kuumiza wengi. Ndipo ulipotokea uislamu kama mkombozi wa mateso ya Catholics. Ukristo ulikuwepo,kabla ya ukatoliki na ulivurugwa na tawala zilizo kuwa chini ya Catholic. Wanakuja watu kama Martin Luther n.k kuuamusha ukristo iliuwawa na Catholic. Leo hii uislamu usingekuwepo duniani lakini Catholic ilizaa Islamic. Usidanganye watu.
umechanganyikiwa kijana
 
Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufuna wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutokakoo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shakamitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).



Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia,tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana. Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia,

Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema: “Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutanowa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini? Karibuni, Muhammad s.a.w.mfano wa Musa anawakaribisheni kwa mikono miwili.
Nakunukuu[emoji116]

"Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu."

The fact kwamba Huna Ujasiri wa kutumia jina Issa kwenye andiko lako na badala yake unatumia jina Yesu Ni Ushahidi wa wazi kuwa ISA HATOSHI.

Kwa wakristo Yesu anatosha. Ndio maana wakristo hawanaga time kabisa na huyo jamaa yenu Isa na huwezi kukuta hata wanamtaja.... Ila nyie sasa[emoji1787]

Hapa ndipo unaponisaidia ku-prove bila shaka kuwa Uislam hauwezi kusimama bila ukristo.
 
Back
Top Bottom