Bila kufanya haya, tusahau suala la kuondokana na Mgao wa Umeme

Bila kufanya haya, tusahau suala la kuondokana na Mgao wa Umeme

Wenzako wameanza kulalamika mgao wa umeme.

Mgao wa umeme nchi hii unapotea only pale tunapokuwa na mvua za kutosha na mabwawa yetu kujaa. Ukitokea ukame au uhaba wa mvua tu tunarudi kuanza upya.

Hizi sio akili ni matope. Viongozi wetu wanatakiwa kufikiri mbali zaidi. Umeme reliable duniani ni wa nyuklia ndo mana mataifa makubwa saivi kila siku wanazidi kuwekeza kwenye umeme wa nyuklia.

Jirani yetu Kenya tu ameanza kuwekeza kwenye umeme wa nyuklia na hana hata madini ya Uranium.

Sie tuna uranium imejaaa hapo Bahi, Songea na Lindi ila tunalia mgao wa umeme kila kipindi cha ukame. Huu kama sio ujuha ni nini sasa?


Kama umeme wa maji ni mbaya. Mbona canada anajenga bwawa jipya lenye thamani kubwa sana , zaidi trilioni 40 ?

Mbona USA na yeye anaboresha mabwawa yake?

Screenshot_20241023-203847_Firefox.jpg
 

Pound milioni 196 zina ukubwa gani kuzidi dola bilioni 12 ?

Watu wanajenga mabwawa ya trilioni zaidi ya 40. Halafu unashindanishi na vimiradi vya umeme vya hela ndogo.

Kwenye mabwawa ya umeme wazungu wanaweka hela nyingi kuliko miradi ya umeme wa Nuclear.

Niambie ni mradi gani wa umeme wa Nuclear gani umewai kuwekewa hela nyingi za kufika dola bilioni 12 ?
 
Pound milioni 196 zina ukubwa gani kuzidi dola bilioni 12 ?

Watu wanajenga mabwawa ya trilioni zaidi ya 40. Halafu unashindanishi na vimiradi vya umeme vya hela ndogo.

Kwenye mabwawa ya umeme wazungu wanaweka hela nyingi kuliko miradi ya umeme wa Nuclear.

Niambie ni mradi gani wa umeme wa Nuclear gani umewai kuwekewa hela nyingi za kufika dola bilioni 12 ?
Umeishia darasa la ngapi? Samahani sana?
 
Umeishia darasa la ngapi? Samahani sana?

Usihamishe mada.. jibu hoja mradi gani wa umeme wa nuclear umewekewa hela nyingi kuliko bwawa linalojengwa canada lenye thamani ya dola bilioni 12 ?

Jibu swali. Usihamishe mada

Screenshot_20241023-203847_Firefox.jpg
 
Usihamishe mada.. jibu hoja mradi gani wa umeme wa nuclear umewekewa hela nyingi kuliko bwawa linalojengwa canada lenye thamani ya dola bilioni 12 ?

Jibu swali. Usihamishe mada

View attachment 3153703
Una matatizo makubwa sana ya akili

Sasa kwa hizo figures za mradi wa maji ndo unataka tuufanye huku compared na nyuklia?
Kama umeenda shule kweli kwa hizo figures na kigezo cha reliability tunatakiwa ku invest kwenye umeme wa maji au umeme wa nyuklia?

Usiwe offended nimekuuliza swali kwa sababu unaonekana sio tu hujaelewa mada ila hata unachokiongelea hukijui
 
Una matatizo makubwa sana ya akili

Sasa kwa hizo figures za mradi wa maji ndo unataka tuufanye huku compared na nyuklia?
Kama umeenda shule kweli kwa hizo figures na kigezo cha reliability tunatakiwa ku invest kwenye umeme wa maji au umeme wa nyuklia?

Usiwe offended nimekuuliza swali kwa sababu unaonekana sio tu hujaelewa mada ila hata unachokiongelea hukijui

Kama wa nyuklia ni mzuri. Mbona Canada hawajawekeza mapesa mengi kama hiyo dola bilioni 12 kwenye nyuklia..

Ila kwenye umeme wa maji unaosema umepitwa na wakati.. ndio canada wanawekeza mapesa mengi dola bilioni 12 zama hizi.

Je wa Canada wa leo hii ni wajinga ? Hawajui kama nyuklia ndio muhimu ?
 
Kama wa nyuklia ni mzuri. Mbona Canada hawajawekeza mapesa mengi kama hiyo dola bilioni 12 kwenye nyuklia..

Ila kwenye umeme wa maji unaosema umepitwa na wakati.. ndio canada wanawekeza mapesa mengi dola bilioni 12 zama hizi.

Je wa Canada wa leo hii ni wajinga ? Hawajui kama nyuklia ndio muhimu ?
Ndo mana nakwambia nina mashaka na elimu yako!

Canada gani unawasema?

Angalia hii habari ya juzi imetolewa na BBC kuhusu hao Canada wanavyodhamilia kuwa super power wa nuclear energy.

Screenshot_20241116_161411_Chrome.jpg
 
Ndo mana nakwambia nina mashaka na elimu yako!

Canada gani unawasema?

Angalia hii habari ya juzi imetolewa na BBC kuhusu hao Canada wanavyodhamilia kuwa super power wa nuclear energy.

View attachment 3153796


Mbona taarifa zako za kugoogle unaficha ficha kuonesha wamewekeza pesa kiasi gani kwenye umeme wa Nuclear ?

Onesha wazi thamani walizowekeza kwenye umeme wa nyuklia kisha tulinganishe na thamani wanazojengea bwawa lao jipya la umeme wa maji.

Tazama taarifa niliyoattach mimi. Imetaja mpaka hela zinazojenga bwawa lao la umeme SIte C dam ni dola bilioni 12

Haya na wewe onesha thamani za hizo nyuklia walizojenga canada

Screenshot_20241023-203847_Firefox.jpg
 
Mbona taarifa zako za kugoogle unaficha ficha kuonesha wamewekeza pesa kiasi gani kwenye umeme wa Nuclear ?

Onesha wazi thamani walizowekeza kwenye umeme wa nyuklia kisha tulinganishe na thamani wanazojengea bwawa lao jipya la umeme wa maji.

Tazama taarifa niliyoattach mimi. Imetaja mpaka hela zinazojenga bwawa lao la umeme SIte C dam ni dola bilioni 12

Haya na wewe onesha thamani za hizo nyuklia walizojenga canada

View attachment 3153863
Hali ikoje huko nyumbani December hii?
 
Kama Viongozi wa CCM hawapiti JF. Matatizo ya hii nchi hayatokuja kupata ufumbuzi wa uhakika. Hili tumeshaliongelea sana.
 
Back
Top Bottom