Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Sio uchawa Baba... Tunatafuta wa kutushika mikono baba ππππMachawa ndo wanaanzaga ivi
π€£π€£π€£Ipo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
We mama tamuu njoo nipikie chapati hapa mboga nimenunua nakusubiri mama T wangu ππWee endelea kuotaa, mxxxxxiiiiiieeeewww
Unamchukia huyu bwana smart?πππ
ntafurahiπIwe kweli basi mheshimiwa... Ntakupatia barua pepe yangu kama hutojali baba ππ MFALME WETU
unaelewa gentleman,Najua pesa huna or else una pesa za mawazo maana machawa mpaka muwapetipeti mabasha zenu ndo mpate chochote kitu. Man up.!!
Unanichukia mimi au ID yangu?MamaSamia2025 , FaizaFixy Ila hawa watu basi tuu.
Issue hapo ni kububujikwaIpo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
Wewe na Lucas Mwashambwa mnakera kwa mada zenu na comment zenu za uchawa wa fisi emu.Unanichukia mimi au ID yangu?
VyoteUnanichukia mimi au ID yangu?
Sawa DadaVyote
Hatukuzaliwa kuja kukufurahisha kima kama wewe.Wewe na Lucas Mwashambwa mnakera kwa mada zenu na comment zenu za uchawa wa fisi emu.
Machawa wa chamaUghonile..
Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako ikaharibika.
Kuna hawa chawa wa Bi Tozo wakiongozwa na Lucas Mwashambwa & Tlaatlaah , itoshe kusema nyie vima mnanikera sana na mada zenu za kichoko.
πSawa Dada
Sibishani na mwanamke mimi jus go and get πHatukuzaliwa kuja kukufurahisha kima kama wewe.