Bila kupepesa macho, Ni member gani haumkubali humu JamiiForums

🀣🀣🀣
 
Najua pesa huna or else una pesa za mawazo maana machawa mpaka muwapetipeti mabasha zenu ndo mpate chochote kitu. Man up.!!
unaelewa gentleman,
pesa huwa hazitoshagi na halafu ni za kutafuta kwa bidii na maarifa sana, hii ya mishahara na posho ni kitu kidogo sana na motorcar inakunywa na kufakamia wese nayo ina kiu kama mnyama πŸ’

ni Muhimu kua na matumizi sahihi na ya kistaarabu ya pesa na mali tulizojaaliwa na Mungu, isije kusababisha majuto baadae..
 
Na hivi tunaelekea uchaguzi huu Uzi utafufuka, sijui Nani yule Etwege ajiandae
 
Issue hapo ni kububujikwa
 
Machawa wa chama
 
Nayachukia mazezeta yote ya LUMUMBA buku7 yanakula Kodi zetu bila jasho kisa kutukana upinzani yote nyoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…