Bila Rais Samia Suluhu, Freeman Mbowe angeozea jela. Upinzani fuateni sheria

Bila Rais Samia Suluhu, Freeman Mbowe angeozea jela. Upinzani fuateni sheria

Naona mtoa post unasumbuliwa na bawasiria dalili moja ni kuwashwawashwa mak... Njo dm nikupe daw pia nikukumbushe mahakama aijamkuta mbowe na hatia bali ana kesi ya kujibu hivyo basi kesi ilikuwa imefika robo sasa ulikuwa upande wa mbowe kujibu ndipo dpp kamwaga manyanga
Kwa hiyo si alikuwa ana haki ya kukataa kutoka ndani, si ungemshauri abaki ndani mpaka kesi iishe.
 
Nyie ndo umezaliwa wakwanza katika familia kisa njaa yamama ako au kisa dagaa mchele
 
Muulize jaji aliyetoa hukumu kuwa walikuwa na kesi ya kujibu. Halafu, sasa si Mbowe yupo huru, ana haki ya kufungua mashitaka ya kuonewa. Au hana?

Allah amzidishie Mama Samia Suluhu kila la kheri.
Uzuri mwamba sii mtu wa visasi, uwezo wa kuwasamehe watesi wake Bure na kwa maslahi ya taifa anaweza, ila upande mwingine manyanyaso aloyopitia katika vipindi tofauti, pamoja na kuwakumbusha waonevu kuwa zipo gharama za kufanya uonevu anaweza kuwasilisha mashutaka dhini ya wote waliomnyanyasa yeye na wenzake pamoja na wanachama wa chama chake.
 
Uzuri mwamba sii mtu wa visasi, uwezo wa kuwasamehe watesi wake Bure na kwa maslahi ya taifa anaweza, ila upande mwingine manyanyaso aloyopitia katika vipindi tofauti, pamoja na kuwakumbusha waonevu kuwa zipo gharama za kufanya uonevu anaweza kuwasilisha mashutaka dhini ya wote waliomnyanyasa yeye na wenzake pamoja na wanachama wa chama chake.
Watu wameliona jiwe likipukutika itakuwa mwamba.
 
Watu wameliona jiwe likipukutika itakuwa mwamba.
Mbona wajichanganya ?
jiwe
1646410542471.png


mwamba
1646410810567.png
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
TBC!
 
Mke wa mwenyekiti mbowe leo anakazi [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Ni sheria ipi iliyovunjwa itaje?

Usijikweze kwa kubuni kumpa mtu matatizo halafu unatafuta njia ya kuyafuta matatizo ili uonekane mwema.

Mmejitia aibu kubwa kama serikali.

Policcm wenu hawajui hata sheria za pgo zinasemaje.

Mgeiacha tu halafu sirro akaelezee habar za pgo ili uangalie manyanga yake yatavyokuwa.
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Serikali ya ajabu sana inamwachiaje gaidi? Alisikika kibajaji akiwa uvunguni mwa meza
 
Back
Top Bottom