Bila Rais Samia Suluhu, Freeman Mbowe angeozea jela. Upinzani fuateni sheria

Bila Rais Samia Suluhu, Freeman Mbowe angeozea jela. Upinzani fuateni sheria

Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Akijifanya nunda this time around,atarudi kuozea huko.
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
ALITOKA MANDELA NA HAKUOZEA JELA ITAKUWA MBOWE? ACHA CHUKI NA ROHO MBAYA
 
Maamuzi haya ya mahakama yameonesha mahakama Sio huru
Hakika,bora ingeendelea wajitetee.
Kuifuta kesi ikiwa hatua yakusema wanakesi yakujibu mahakamani naona hadhi imeshushwa kimhimili
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Tuna wasi wasi na Uzima wa akili yako. Huyo jaji wako alimpata na hatia ipi? Alikuja kukusomea wewe nyumbani kwako ushahidi ulimtia hatiani? Unakurupuka kuongea unafiki eti Mbowe kaka huku unatamani angefungwa!
Hakuna asiyejua mamlaka aliyonayo Rais kweli angeweza kumuacha aozee jela halafu yeye apate Nini? Ukiwa Rais unatoka kwenye ubinadamu, unafikiri yeye alikuwa hajui hii kesi ni ya kupikwa.
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Anajidai yuko tayari kufa kwa kile anachokiamini. Anachokiamini yeye eti ni demokrasia ya kiliberali. Ile demokrasia ya uhuru hadi ya ndoa za jinsia moja. Halafu huku afrika wanafikiri ni kupinga kila kitu na kupiga domo tu. Nchi inajaa upigaji tu na kuingiliwa na majasusi.
Mbowe ajue nchi hii ni ya kijamaa kwenye katiba. Kama nikufa kwa hicho anachoamini bora ajinyonge mwenyewe.
Tanzania ni nchi ya amani ila akilazimisha kufa huenda akapotezwa.
 
Uwendawazimu huwa unaanza kama hivi ulivyoanza. Ni vema ukawaomba ndugu zako wakusindikize Mirembe ili upate vipimo vinavyohusu afya ya akili.
Tulishawaambia Sana hawa watu kuwa mwisho wa kesi hii utakujakuondoka na baadhi ya watu. Hivi sasa wanahaha kutafuta pakujishika.

Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Hivi masikini kapuku wa akili kama wewe ndio wa kumtisha Jabali Mbowe ? Nani kakudanganya ?
 
Leo haihai kwa Joyce Mukya hata aibu hayana MACHADEMA ya hovyo kweli. Mbowe akatulize ujinga chini. Mara ya pili Rais anamhurumia mwanzo kwa Chacha Wangwe yaani angeoza halafu sasa hii. Atulize kichaa chini. Povu ruxaa

Sent from my SM-A320F using JamiiForums mobile app
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
wewe ni mme au mke?
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Sawa Kajura mpiga ramli chonganishi tumekusikia, Mbowe yuko huru kajinyonge!
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

Karibu tena uraiani,Watanzania sasa ni wamoja pengine kuliko wakati wowote wa historia ya Taifa hili.

Pole pia tumetaarifiwa unatatizo la kiafya,Tunakuombea kwa Mungu urejee katika utimamu wako wa kiafya.

Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.

Rekodi zinaonesha tangu Taifa hili liwe huru hajawahi kupatikana rais Mahiri na jasiri mwenye huruma kama Mhe Mama Samia Suluhu Hassan.

Kwa unyenyekevu naomba kukutaarifu tu kuwa wewe sio "Mwamba" kama wanavyokuita Chadema wenzio,Binafsi nakushauri na kukusihi kuwa makini na kheshimu mamlaka zilizopo utakuwa salama.

Freeman Mbowe Wewe ni raia kama raia wengine na ukirudia kosa utashughulikiwa kama rais wengine kwani kwenye Taifa hili hakuna aliye juu ya sheria.

Watanzania tunataka siasa zenye tija kwa kizazi hiki na kizazi kijacho na kamwe hatutavumilia utoroshaji wowote wa amani yetu kwa tuko tayari kuilinda kwa gharama yeyote.

Wito wangu kwako, muheshimu na kumshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa dini wa Taifa hili kwani bila hawa ungekuta watoto wengine wasio wako.

Mhe Freeman Mbowe bila Rais Samia Suluhu Hassan hakika amini ungeozea jela huku Wale wanaoishi nje wakiendelea kunywa na kula kuku za bure kwa hisani ya wazungu.

Mwisho, Mtanzania popote ulipo bila kujali itikadi ya Chama wala dini yako shituka sasa, Huyu Rais ni Chaguo la Mungu shime tumuunge mkono popote kwa chochote kwani haya anayoyafanya ni hitaji la Mungu mwenyewe hata baba askofu Dkt Benson Bagonza ataungana na Mimi.

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu
Mungu ibariki Tanzania yetu.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 2138435

View attachment 2138436
Umejitwisha dhambi kwa kutetea uovu. Mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Mhe Freeman Mbowe nikutonye kidogo, hivi majuzi Viongozi wa kidini Tanzania waliomba kukutana na Rais wao kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.

Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uchamungu wake alionao aliwakubalia na akawaita moja kwa moja Ikulu,Wakala na kunywa pamoja nae.

Pamoja na Mambo mengine viongozi wa dini Tanzania wakiongozwa na mufti mkuu wa Tanzania walikuombea kwa Mama Samia Suluhu Hassan uachiwe huru bila masharti hata kama wewe ni gaidi kweli.

Viongozi wa dini Tanzania wanataka nchi yao waliopewa na Mungu iwe sehemu salama kwa kila mtu kuishi ukiwemo wewe Freeman Mbowe.

Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.

Mhe Freeman Mbowe naomba uelewe tu Tanzania imepata Rais Mpole na mnyenyekevu ever, Rais Mchamungu na Mtulivu wa moyo.
👀
 
Na kwako atakuja pata mabao matatu na kumnyonya dudu lake ili ufurahi zaidi.
naona unaeleza jinsi unavyo fanywa, makalio yako yanakuwasha ehe? Sphincter zimelegea unahara hara
 
Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).
Uzuri wa JF hata wajinga wana fursa ya kuonyesha ujinga wao hadharani.

Huyu mjinga anaonyesha ujinga wake eti kukutwa na Kesi ya kujibu ni kukutwa na hatia.

Asante kutuonesha ujinga wako.
 
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru leo 04|03|2022 kwa amri ya Rais Samia Suluhu Hassan kama amiri jeshi mkuu.

.........


Kaka yangu Freeman Mbowe unatambua kabisa Mahakama kuu chini ya Jaji Tiganga ilikukuta na hatia ya kufadhili na kutenda ugaidi Tanzania ( Ulikuwa na kesi ya kujibu).

Leo tunashuhudia unyenyekevu kwa Mungu na Taifa alionao Mama yetu Samia Suluhu Hassan ameamua bila wewe wala chama chako kumwomba msamaha kukuachia huru tena bila masharti yeyote.
Wewe mjinga.

Ni uongo na unajua kabisa kuwa unadanganya kwa ujinga wa kutojua...

Hakuna sheria inayompa mamlaka Rais kutoa masamaha kwa mtu ambaye hajatiwa hatiani na kuhukumiwa adhabu ya kifungo jela na mahakama

Kina Mbowe shauri lao lilikuwa bado linaendelea mahakamani. Walikuwa hajakutwa na hatia wala kuhukumiwa kifungo jela...!!

Mbowe na wenzake wamefutiwa mashitaka kwa sababu aliyekuwa anawashitaki ame - surrender mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe...!! Ushahidi Wa mchongo..
 
Back
Top Bottom