Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Umenena ukweli kabisa hasa hapo kwa facebook.
Kitendo cha kumnunua whatsapp ndio umafia wenyewe. Yaani hiyo ni mbadala wa kuua ila kisasa.
Ni sawa na kampuni ya bus ya Ally's akiamua kununua kampuni ya bus ya Katarama wakati wapo ruti moja ya Dar-Mwanza.
Huo ndio umafia wenyewe.
Mark tatizo watu wanamfuatilia juu juu,mark yupo vizuri kwenye kuwanunua wapinzani wake na kuwa copy ,ndo maana ukichunguza vizuri Elon yupo vizuri kiakili na ata roho yake anapendwa kula na watu,ila mark ata wamarekani hawampendi ni ana roho mbaya vibaya na pesa nyingi anaingiza kimafia sana,anauza taarifa za watumiaji WA Facebook,tunatumia mitandao yake atulipi kama Elon anavyolipa sasa hivi kutumia X formerly known as Twitter
 
Kuna tajiri wa mabasi hapo Morogoro alinunua basi la kwanza akiwa under 20 tena akiwa anasoma. Baada ya miaka miwili akaongeza mengine.
Sasa jaribu wewe uone.
unamuongelea yule wa pembe za ndovu au?🤔🤔😂😂🙌
 
Mark tatizo watu wanamfuatilia juu juu,mark yupo vizuri kwenye kuwanunua wapinzani wake na kuwa copy ,ndo maana ukichunguza vizuri Elon yupo vizuri kiakili na ata roho yake anapendwa kula na watu,ila mark ata wamarekani hawampendi ni ana roho mbaya vibaya na pesa nyingi anaingiza kimafia sana,anauza taarifa za watumiaji WA Facebook,tunatumia mitandao yake atulipi kama Elon anavyolipa sasa hivi kutumia X formerly known as Twitter
Mark janja janja hataki ushindani. Watu hapa wanasema kwamba hao wanaonunuliwa hawashikiwi bunduki. Ukweli ni kuwa Mark anatumia nguvu ya pesa kuua ushindani.
Ushahidi ni kujaribu kuiga X kupitia threads. Nadhani Elon angekuwa ananunulika angeshapandiwa dau.
 
Mark janja janja hataki ushindani. Watu hapa wanasema kwamba hao wanaonunuliwa hawashikiwi bunduki. Ukweli ni kuwa Mark anatumia nguvu ya pesa kuua ushindani.
Ushahidi ni kujaribu kuiga X kupitia threads. Nadhani Elon angekuwa ananunulika angeshapandiwa dau.
Watu hawaelewi tu na Kuna muda wanasaidiwa na serikali zao kuwakandamiza watu wengine,Kuna kipindi US walivyoona tik tok inakuja speed kutaka kui overtake Facebook ilibidi waipige marufuku US na trump akawachana tik tok ili waingie US inabidi waiuze Kwa marekani na huo ulikuwa mtego😀😀wangejichanganya tu sasa hivi TikTok ingekuwa Mali ya jamaa mwenye roho mbaya Mark,namwita roho mbaya Kwa sababu watu wanatumia social media zake anapiga pesa ila ata kuwalipa hakuna
 
Anawanyoosha nini? Wacha porojo.

Nawafahamu toka wafanyakazi alioanza nao. Kina Ma K, kina Aziz. kina marehem Jidawi.

Namjuwa Bakhresa toka anauza ngozi za viatu, mpaka akatajirika kwa kuuza majongoo ya bahari (sea cucumbers) biashara aliyopewa na rafiki yake waliokuwa pamoja Unguja, Mchina Mzanzibari anaitwa Apang.

Utanieleza nini na watu wa kariakoo wewe.

Ana wafanyakazi kila namna toka Watanzania mpaka wazungu na wahindi kutoka India siyo wahindi wa Tanzania tu. Na ana viwanda mpaka nje ya Tanzania.
Anavyo lala kwake anavyo kula na kuzagamuana na kusali kutambika kwake vyote unapita nae kwenye hzo njia..? Usiwe shahidi wa binadamu yeyote ambaye sio wewe mwenyewe
 
Back
Top Bottom