RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Mark alikua anamiliki twitter?
We endelea kujiamini😀😀maana ata bill gates alijiamini akatoboaHamkawii kutualika kwenye freemason.
Utajiri ni kujiamini na kupambana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mark alikua anamiliki twitter?
We endelea kujiamini😀😀maana ata bill gates alijiamini akatoboaHamkawii kutualika kwenye freemason.
Utajiri ni kujiamini na kupambana.
Waislam hatuna "kitabu cha mtume".Tupe hiyo formula imeandikwa katika aya ipi ya kitabu cha mtume!?
Hivi Si ilikua ni ajali tu jamani?!!!ya kawaidaYeye si ana utajiri wa maagano? Tuachane na hao wenye miungu yao. Umesahau alivyomtoa mwanawe kafara kwenye mbio za magari?
Au vitabu vya hadithi!? Au unataka kusema hiyo formula ipo kwenye quran tupe aya.Waislam hatuna "kitabu cha mtume".
Kafanye homework yako vizuri.
Mark tatizo watu wanamfuatilia juu juu,mark yupo vizuri kwenye kuwanunua wapinzani wake na kuwa copy ,ndo maana ukichunguza vizuri Elon yupo vizuri kiakili na ata roho yake anapendwa kula na watu,ila mark ata wamarekani hawampendi ni ana roho mbaya vibaya na pesa nyingi anaingiza kimafia sana,anauza taarifa za watumiaji WA Facebook,tunatumia mitandao yake atulipi kama Elon anavyolipa sasa hivi kutumia X formerly known as TwitterUmenena ukweli kabisa hasa hapo kwa facebook.
Kitendo cha kumnunua whatsapp ndio umafia wenyewe. Yaani hiyo ni mbadala wa kuua ila kisasa.
Ni sawa na kampuni ya bus ya Ally's akiamua kununua kampuni ya bus ya Katarama wakati wapo ruti moja ya Dar-Mwanza.
Huo ndio umafia wenyewe.
😀😀Vijana mnaongea sana....matajiri tumekaa pale tunawacheki tu.
unamuongelea yule wa pembe za ndovu au?🤔🤔😂😂🙌Kuna tajiri wa mabasi hapo Morogoro alinunua basi la kwanza akiwa under 20 tena akiwa anasoma. Baada ya miaka miwili akaongeza mengine.
Sasa jaribu wewe uone.
Aboo au?unamuongelea yule wa pembe za ndovu au?🤔🤔😂😂🙌
Lazima uwe na mindset ya utajiri,akili nyingi na mjanja sana,kama Mo alivyo 😀😀Siyo utajiri tu-hapa duniani bila umafia kidogo utachezewa sana ,hata na watu wa hovyo hovyo.
Mark janja janja hataki ushindani. Watu hapa wanasema kwamba hao wanaonunuliwa hawashikiwi bunduki. Ukweli ni kuwa Mark anatumia nguvu ya pesa kuua ushindani.Mark tatizo watu wanamfuatilia juu juu,mark yupo vizuri kwenye kuwanunua wapinzani wake na kuwa copy ,ndo maana ukichunguza vizuri Elon yupo vizuri kiakili na ata roho yake anapendwa kula na watu,ila mark ata wamarekani hawampendi ni ana roho mbaya vibaya na pesa nyingi anaingiza kimafia sana,anauza taarifa za watumiaji WA Facebook,tunatumia mitandao yake atulipi kama Elon anavyolipa sasa hivi kutumia X formerly known as Twitter
tafuta mwenyewe mkuu...ila usisahau tu kuwa yeye analindwa na chama kwenye hizo mishe zake...Aboo au?
Ila Faiza nakupenda sana...Waislam hatuna "kitabu cha mtume".
Kafanye homework yako vizuri.
Watu hawaelewi tu na Kuna muda wanasaidiwa na serikali zao kuwakandamiza watu wengine,Kuna kipindi US walivyoona tik tok inakuja speed kutaka kui overtake Facebook ilibidi waipige marufuku US na trump akawachana tik tok ili waingie US inabidi waiuze Kwa marekani na huo ulikuwa mtego😀😀wangejichanganya tu sasa hivi TikTok ingekuwa Mali ya jamaa mwenye roho mbaya Mark,namwita roho mbaya Kwa sababu watu wanatumia social media zake anapiga pesa ila ata kuwalipa hakunaMark janja janja hataki ushindani. Watu hapa wanasema kwamba hao wanaonunuliwa hawashikiwi bunduki. Ukweli ni kuwa Mark anatumia nguvu ya pesa kuua ushindani.
Ushahidi ni kujaribu kuiga X kupitia threads. Nadhani Elon angekuwa ananunulika angeshapandiwa dau.
Kwamba ni level za vita zimetofautiana🤣Maisha....
Hata "ordinary life" ina changamoto hivyohivyo....
Life's a war .....
Anavyo lala kwake anavyo kula na kuzagamuana na kusali kutambika kwake vyote unapita nae kwenye hzo njia..? Usiwe shahidi wa binadamu yeyote ambaye sio wewe mwenyeweAnawanyoosha nini? Wacha porojo.
Nawafahamu toka wafanyakazi alioanza nao. Kina Ma K, kina Aziz. kina marehem Jidawi.
Namjuwa Bakhresa toka anauza ngozi za viatu, mpaka akatajirika kwa kuuza majongoo ya bahari (sea cucumbers) biashara aliyopewa na rafiki yake waliokuwa pamoja Unguja, Mchina Mzanzibari anaitwa Apang.
Utanieleza nini na watu wa kariakoo wewe.
Ana wafanyakazi kila namna toka Watanzania mpaka wazungu na wahindi kutoka India siyo wahindi wa Tanzania tu. Na ana viwanda mpaka nje ya Tanzania.
Mama yetu ana fail😀😀Anavyo lala kwake anavyo kula na kuzagamuana na kusali kutambika kwake vyote unapita nae kwenye hzo njia..? Usiwe shahidi wa binadamu yeyote ambaye sio wewe mwenyewe