Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.

Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.

Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.

Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
tekinolojiaya mzungu au pamoja naya muafrika
 
Saa nyingine tukubali tu hatuwezi kuwa sawa. Tunaweza tu wote kumudu basic needs lakini haiwezekani wote tuwe matajiri. Kusema kwamba ili uwe tajiri lazima uwe mafia ni ukosefu wa akili unaosababishwa na wivu. Siku hizi vijana wadogo chini ya miaka 25 wanakuwa mamilionea kwa kuwa tu wabunifu kibiashara bila hata huo 'umafia'...
 
Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.

Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.

Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.

Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
Well said.....halafu mwanasiasa mmoja tu yuko serikalini anakuja na hoja ya fursa ni nyingi na utajiri uko nje nje nendeni mkajiajiri....ngeke mkubwa.
 
Well said.....halafu mwanasiasa mmoja tu yuko serikalini anakuja na hoja ya fursa ni nyingi na utajiri uko nje nje nendeni mkajiajiri....ngeke mkubwa.
Kulalamika sio njia ya kutoka hapo ulipo hata hao wanasaisa hawajui chochote kuhusu Mafanikio that is way wamo wanagombania vyeo vidogo Kama ubunge na urais
 
.....inaendelea....huyo tajiri kimsingi nimesoma nae darasa moja shule ya msingi hakuwa na uwezo darasani....form 4 alipata div 4....ila ametubeba sana kwenye makampuni yake.....washkaji wengine wana CPA lakini wanapewa maisha na huyu tajiri.......nakumbuka kuna siku tulikuwa nae Iringa......tulifunga mamilioni cha ajabu....sie asubuhi tunakunywa supu,yeye anakunywa maji ya uvuguvugu,mchana tunapata lunch yeye akaenda sehemu yenye kilabu cha pombe aka agiza kande za jelo...sie usiku tuna choma nyama na kuhangaika na pombe na upuuzi mwingine...yeye kitambo yupo chumbani na mavitabu yake......itaendelea.....
huyo mwaba kanizidi parefu,.🙌🙌😂😂
 
Nilisha wahi kuhangaika sana na maisha ya utafutaji. Victim wa kuibiwa nikawa mimi, victim wa kutapeliwa nikawa mimi. Michezo yote michafu nafanyiwa mimi, hadi kusingiziwa uongo mkubwa.

Kwa kweli kuufikia utajiri wenu ni kazi kubwa na ngumu.

Nilianzisha kiwanda kidogo tu, vita haziishi, hadi kikatengenezwa tukio la moto
So sasahv ww ni mafioso!?
 
Sasa umebadili wimbo, siyo "umafia" tena?

Kijana hakuna utajiri wa namna hizo, utajiri ni mawazo yako tu.

AlhamduliLlah Uislam unafundisha namna kuwa utajiri, wanaofata njia hizo wanatajirika tu, hakuna cha kuwazuwia.

Kwanza ni lazima uelewe, kuwa tajiri siyo kuwa na pesa zisizokuwa na kazi.
Tupe hiyo formula imeandikwa katika aya ipi ya kitabu cha mtume!?
 
Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.


Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Kijana acha kusikiliza maneno ya google na kuambiwa,achana kabisa na Mark zuck na Elon 😀😀Kawaulize wamarekani kuhusu mark watakwambia alivyo mafia vitu vingi anavyomiliki ni copy ya vitu vya wenzake nikupe kimoja tu thread ni copy ya twitter, Facebook ni aliwadhurumu washikaji zake,twende Kwa Elon ana space X ambayo NASA wanaitegemea na Hela za ruzuku muda wowote anapewa na gavoo ya US we utashindana na Elon au UNALETA utani,kila utajiri una Siri kibao sio kama uyo bibi Faiza anadai anamjua bakhresa ni mtu mwema😀😀anajua wakina Nani wanashare pale bakhresa group?
 
Ya kina mark Zuckerberg utayaona wapi wakati uko mbali nayo??? Tena huyo mark ndo usimzungumzie huyo ndo mafia wa mamafia,,, hata hyo Facebook halikua wazo lake kuna mtu alimpelekea hlo wazo amuundie hyo app ,,,,guess what happened next!!!

Haya hapa juz juz kauza twitter kwa elon musk afu kazindua mtandao mwngne ambao ni C&P ya twitter!!
Mark alikua anamiliki twitter?
 
Back
Top Bottom