FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Either black or white no grey shades.maana yangu ni kwamba unapaswa kua katikati,siyo uwe mtetezi wake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Either black or white no grey shades.maana yangu ni kwamba unapaswa kua katikati,siyo uwe mtetezi wake..
Huo mbona ni uhalifu?Kuuza silaha kwa njia haramu, kumiliki madanguro , kusafirisha binadamu, wauaji wa kukodiwa, pesa bandia na mengine mengi. Kama una kigezo kimojawapo ujue wewe ni Mafioso.
Omba usiufahamu upande wake wa pili wa roho na matukio yake.Sijawahi kumuona wala kusikia Bakhresa akifanya hivyo na tumeishi nae Kariakoo kwa miaka mingi sana.
Mkuu unamwita demu wakati mwenzako ni umri wa akina samia.We demu huna akili, si ukaangalie kesi mahakamani ipo
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuuza silaha kwa njia haramu, kumiliki madanguro , kusafirisha binadamu, wauaji wa kukodiwa, pesa bandia na mengine mengi. Kama una kigezo kimojawapo ujue wewe ni Mafioso.
Uhalifu wenzako wanaita kazi na zinawaheshimisha.Huo mbona ni uhalifu?
[emoji375][emoji419][emoji404] Hii Ndio Niliyokuwa nahitaji kuisomaUtajiri ni Unatokana na wewe vile Unau define!
Kila Mtu Yuko na tafsiri yake binafsi ya Utajiri kichwani kwake .....
Usifananishe Utajiri na Dhulma sijui Umafia.
Utajiri kwa Mimi it's all about "Contentment"/Abundance.
Tajiri wa kweli ni yule mwenye Kutosheka , hapo ndio furaha ya kweli huanzia.
Kuna watu wamelalia mafedha kibao huko lakini hawana Furaha nazo kabisa yani!
Utajiri Mkubwa kabisa ni pale unapojitambua wewe ni nani Nje na ndani .....then Everything else around us is Illusions tu!
!!!!TUSIDANGANYANE!!!
It depends bro! Yaani ukute mzee Bakheresa kweli aache kwenda kupata msosi kwenye hotel ya kifahari aje huku kwa mama ntilie?Kuvaa nguo za gharama, na kula vyakula vya bei mbaya migahawani ni kiashiria cha umasikini.
Unaponunua nguo za gharama kila wakati na kula vyakula kwenye migàhawa ya kifahari, jua kwamba wewe ni mrija wa utajiri wa mtu fulani. Unampelekea pesa, je wewe anakupa nini?
Ukipunguza matumizi yasiyo ya lazima, ukaanzisha kabiashara kako kadogo, utatamani kukakuza na kukaongeza kabiashara kako hako.
Pia chakula cha kula nyumbani kiko healthy na fresh
Wake wengi na kuwageuza manamba wa kaziMfalme Suleiman alifanya umafia gani kuwa tajiri?
Acha kupotosha umma 👌
[emoji7]Kuvaa nguo za gharama, na kula vyakula vya bei mbaya migahawani ni kiashiria cha umasikini.
Unaponunua nguo za gharama kila wakati na kula vyakula kwenye migàhawa ya kifahari, jua kwamba wewe ni mrija wa utajiri wa mtu fulani. Unampelekea pesa, je wewe anakupa nini?
Ukipunguza matumizi yasiyo ya lazima, ukaanzisha kabiashara kako kadogo, utatamani kukakuza na kukaongeza kabiashara kako hako.
Pia chakula cha kula nyumbani kiko healthy na fresh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipe location nataka utajiri kwa kupitia uchawi
Ushahidi?Yeye si ana utajiri wa maagano? Tuachane na hao wenye miungu yao. Umesahau alivyomtoa mwanawe kafara kwenye mbio za magari?
Umeshasema mfalme...Mfalme Suleiman alifanya umafia gani kuwa tajiri?
Acha kupotosha umma [emoji108]
Kumbe illuminati chanzo chake ni Mwenyezi Mungu ,right?Alikuwa illuminati huyo
[emoji1787]Unazo wewe tu.
Acha utoto....Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.
Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Tunaambiwa Trump alifilisika zaidi ya mara 4....usikate tamaa...Mimi nimechoma zaidi ya milioni 300 kwenye project mbalimbali lakini hola Bora ningezifanyia mazoezi kitandani kuliko kupata hasara.
Majini wapi ?!!!Utajiri wa majini sio.
[emoji1787]Wewe unamfahamu, endeleeni kudanganyana tu hapa.
Anaitwa Said, siyo "Salim". Baba'ke anaitwa Salum.