Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Hii mbona naskia bahresa alishindwa akarudisha jina la watuHakuna mfanyabiashara anayetoka nje na kutangaza siri za mambo anayoyafanya. Labda nikupe kisa kimoja cha Bakhresa, alienda Rwanda akasili jina la "Azania" huku akijua kabisa kuwa hilo jina ni la mshindani wake hapa Tanzania. Azania Flour alipokwenda Rwanda kusajili akakuta tayari jina linamilikiwa na Bakhresa.
Huo ndio umafia wenyewe unaongelewa hapa
View attachment 2749719