Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787]Huyo bhakresa ulikua unalala naye, unaamka nae, unashnda nae???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Huyo bhakresa ulikua unalala naye, unaamka nae, unashnda nae???
Umafia uko barani afrika tu ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]Mambo haya ya "umafia" yapo barani Afrika tu,
Kwa vile ni mifumo ya hovyo iliyopo tangu enzi na enzi.
Waafrika wengi walio fanikiwa legally ni wachache sana kuliko wale walio fanikiwa illegally.
Kuna nchi zina mifumo mizuri, Kiasi kwamba ukijituma tu na ukatia bidii hata kuwa tajiri ni rahisi sana.
Afrika kumejaa mifumo ya rushwa, uhujumu, upigaji, umimi, ubinafsi na uhovyo wa kila aina kiasi kwamba ni ngumu mtu kutoboa kwa legal ways.
[emoji1787][emoji1787]Hakuna mfanyabiashara anayetoka nje na kutangaza siri za mambo anayoyafanya. Labda nikupe kisa kimoja cha Bakhresa, alienda Rwanda akasili jina la "Azania" huku akijua kabisa kuwa hilo jina ni la mshindani wake hapa Tanzania. Azania Flour alipokwenda Rwanda kusajili akakuta tayari jina linamilikiwa na Bakhresa.
Huo ndio umafia wenyewe unaongelewa hapa
View attachment 2749719
[emoji1787]Nilale nae mie mkewe? Wote unaowafahamu wewe unalala nao?
Ujinga huo.
[emoji106][emoji2956]Vijana msijidanganye wala msidanganywe na mawakili wa shetani hawa.
Fanya biashara yoyote kwa bidii na zungusha pesa kila fursa, kihalali, hakuna cha kukuzuwia kutajirika isipokuwa fikra zako tu.
Wachana na kufata wajinga wajinga wanaoamini hupati mali mpaka uwe mshirikina.
[emoji2956][emoji2956]Mnadanganyana tu hapa, mwisho wa siku vijana wanabeba madawa ya kulevya wanakufa hovyo.
Sawa....Kwny kiwanda chake cha bugurun vibarua wanaingia saa 12 asbuh wanatoka saa 12 jion,, mtu unakuta kabeba viroba 100 vya sembe afu anamlipa elfu 7. Huko sio kuwanyoosha??
Kamari ndio ushetani wenyewe sasa[emoji1787][emoji1787]Nyie ngojeni mkawachangie mashetani wanaowachezesha kamari za betting kwa kutegemea kuna utajiri bila kutoka jasho.
Fanyeni kazi kwa bidii.
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]Hamkawii kutualika kwenye freemason.
Utajiri ni kujiamini na kupambana.
[emoji1787][emoji1787]Wewe usinipotezee muda wa kubishan kitoto. Nenda katafite mganga akupe mali.
Wajinga ndiyo waliwao.
Komredi matatizo hayaishi na kila binadamu anayo....mwanzo wa kuyaondoa ni kuanza kutumia vyema maarifa...Unatumia matatizo Yao kuzidi kuwanyonya na kuwakandamiza (dhuluma)
Kwa akili hizo hutakaa uwe tajiri....Kwa sababu ni mvaa kobazi mwenzako unasema kawaida ila ingekua opposite usingeandika haya!!
Kama alivyo huyo aliekukwoti...Faiza Foxy...Mjumuiko wa tabia zote mbaya ndani ya sura yenye tabasamu na suti ya vipande vitatu.
Kanisani viti vya mbele, high table na waheshimiwa kwenye dhifa za kitaifa
Subhanak allauma, Quran haijaacha kitu!!Qur'an imeweka wazi kabisa kwa mwenye kuelewa. Anza:
Qur'an 2:261. Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila shuke zimo punje mia. Na Mwenyezi Mungu humzidishia amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mwenye kujua. 261
Piga hesabu ya hiyo aya kama utaimaliza. Hiyo njia ya mkato ya kupata utajiri usio na mfano.
Maisha....Nimeliona hilo pia! Nipo nalifanyia kazi..lazima mbinu zote uzipitie za kujilinda kiroho na kimwili vinginevyo unalamba mchanga mapema wewe na uzao wako..
Maana hata kama kitu ni cha halali kinaenda kukupa utajiri utakutana na vita sio vya nchi hii.
Ni kazi kweli kweli..maadui kila kona kutoboa kufika pale..ni vita vikubwa ya Kiroho na kimwili, hakuna lele mama..ukifanya mchezo unalamba mchanga.
Vinginevyo ukubali kuishi ordinary life ya kupata hela ya kubadilisha mboga, kulipa kodi, au kanyumba kako kamoja..e.t.c
Alimfanyia umafia AZANIA aka mikoani ltd huko Rwanda yule mpemba ni Yakuza kabisaSijawahi kumuona wala kusikia Bakhresa akifanya hivyo na tumeishi nae Kariakoo kwa miaka mingi sana.
[emoji2956][emoji2956][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23]Hii dunia kuna jamaa nilimsikia anasema kwamba eti tajiri hana chuki ..wakati wapo matajiri wanachukia hata wanaopata kidogo na wanapnga kuwadhulumu kabisa kile kidogo wakose kabisa...
Kwa jinsi neno hilo lilivyo elezewa na mleta mada, Naona wewe ndio huja elewa nilicho andika.Umafia uko barani afrika tu ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
Neno lenyewe "mafia" si la kiafrika...
Hivi mtakua lini na hamu ya kujifunza mambo ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]