Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Sio kila anaekula chakula cha garama anataka show off no!! We unaishi bunju afu offisi yako ipo k.koo utarud kula lunch mchana??

Watu wanakula vyakula kwny hotel za bei kwa sababu ya usalama wa afya zao,,,,, nadhan unajua jins mazngira ya mama ntilie yalivyo yan huku anapika huku anajifuta jasho hapo hapo mteja akimaliza kula anachukua vyombo analoweka kwenye maji machafu, anakupakulia, hapo pemben kuna chemba ya mavi,, pemben kidogo kuna dampo la manispaa nzi kama wote,,, apo apo ana mtoto ambaye kajisaidia jran na sufuria ya maharage,, kuna usalama kweli hapo??
Mkuu ushawahi ingia jikoni kwenye hzo hotel za gharama..?? Tukuambie au tukuache kwanza🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nini maana ya "umafia"?
Nini maana ya "umafia"?
Ngoja nikusimulie visa kadhaa ya neno UMAFIA...

Nikile kitendo kwamfano kiliwai ku mkuta Prof. Lipumba alienda kituoni kupiga kura akiwa amefuatana na watu wake kama wanne....

Kwenye hicho kituo hakupata hata kura Moja Ina maana hata yeye mwenyewe hakujipigia kura😅😅😅😅😅

Tukiwa A_Level Domitory Moja mida ya usiku wa saa mbili vilikamatwa ndoo iliyo na donati na tranker la mdau wetu mmoja now yupo TRA............
Vikapelekwa ofsn Kwa WALIMU na second master kuvifungia ofisini then kwakua ilikua usiku akasema atawashuhurikia kesho......
Wanafunzi wakatoka kundi kubwa wakaenda Kwa second Master wakiwa na grievances kua mwalimu amekua akiwasumbua mabwenini..............
Walifanya uhalibifu wa Mali zake na yeye mpaka kutoroshwa na police walikuja zikapigwa risasi juu ndio pakatulia.....kutuliza hiyo riot......wakasema watu warud kwenye domitory zao majira ya saa 4 usiku..

Usiku ule ule wanafunzi ma mafia wakaenda kufungua kufuri la ofisini kwa ufunguo malaya waka chenji kota ndoo ya donati ika be replaced na ndoo iliyo lowekwa koti na tranker lilikua na simu wakaitoa wakaacha Mali zote halali...

Next day head master na second master na walimu wote wakawa na kikao chao second master akawahakikishia wale wanafunzi walikua na vitu tajwa na akajiapiza wafukuzwe mwalimu alipo chukua WALIMU na jopo lao kwenda kufungua mlango kuangalia vile vitu alivyo vikamata akakuta vice versa....

WALIMU wenzake Waka Anza kuamini kua mwalimu ndie alikua na matatizo.....

Hizi ni scenerio ndogo sana za neno UMAFIA...

KUNATIMU ILIWAI KUSAJILI MCHEZAJI AKAIBIWA NA TIMU PINZANI AKIWA AIRPORT 😅☺️☺️😊

Nadhani umenza kupata picha kidogo juu ya UMAFIA

Wasalaam
 
katika harakati zangu za maisha,....niliwahi kupita chimbo vijijini huko na kupata maokoto kama baada ya mwaka hivi...nilikuwa na kula na kunywa kama kwa miezi mitano hivi bila kufanya kazi, mi ni kula hazina tu huku nikiwaza nini cha kufanya...wazo likanijia nifungue mashine ya kusaga mahindi ile ya mafuta pale kijijini maana watu ni wengi na hamna mashine hata moja na wanaenda kusaga mbali kidogo na pale...pili nijenge gesti..tatu niingie kwenye biashara ya madini....the moment naanza hizo harakati, nilikuta na visanga sijawahi ona wala kudhania, visanga vikapelekea hadi kurudi kugonga nyundo upya, napo hari ikawa mbaya zaidi,mpaka jamaa zangu wakafa kwenye misheni ya uanaappolo,..two years later nikanyoosha mikono nikiwa nimenyooshwa haswa...leo nimebakiwa na BUSINESS PLAN zangu nazichora tu....kifupi unapoanza kunyanyuka jua tu kuwa unaenda kwenye himaya ya watu wazito,...dhuluma,kutishiwa uhai au kuuwawa kabisa, kusingiziwa kesi, ushirikina hivi utakutana navyo na usishangae.... kwenye kukuza pato lako kwa haraka, vitu kama utakatishaji pesa, biashara haramu, kukwepa kodi, kulipa mishahara kiduchu, na kununua wanasiasa ni sehemu tu ya mikakati.....all in all NEVER GIVE UP
 
katika harakati zangu za maisha,....niliwahi kupita chimbo vijijini huko na kupata maokoto kama baada ya mwaka hivi...nilikuwa na kula na kunywa kama kwa miezi mitano hivi bila kufanya kazi, mi ni kula hazina tu huku nikiwaza nini cha kufanya...wazo likanijia nifungue mashine ya kusaga mahindi ile ya mafuta pale kijijini maana watu ni wengi na hamna mashine hata moja na wanaenda kusaga mbali kidogo na pale...pili nijenge gesti..tatu niingie kwenye biashara ya madini....the moment naanza hizo harakati, nilikuta na visanga sijawahi ona wala kudhania, visanga vikapelekea hadi kurudi kugonga nyundo upya, napo hari ikawa mbaya zaidi,mpaka jamaa zangu wakafa kwenye misheni ya uanaappolo,..two years later nikanyoosha mikono nikiwa nimenyooshwa haswa...leo nimebakiwa na BUSINESS PLAN zangu nazichora tu....kifupi unapoanza kunyanyuka jua tu kuwa unaenda kwenye himaya ya watu wazito,...dhuluma,kutishiwa uhai au kuuwawa kabisa, kusingiziwa kesi, ushirikina hivi utakutana navyo na usishangae.... kwenye kukuza pato lako kwa haraka, vitu kama utakatishaji pesa, biashara haramu, kukwepa kodi, kulipa mishahara kiduchu, na kununua wanasiasa ni sehemu tu ya mikakati.....all in all NEVER GIVE UP
Pole sana mkuu
 
Kijana acha kusikiliza maneno ya google na kuambiwa,achana kabisa na Mark zuck na Elon 😀😀Kawaulize wamarekani kuhusu mark watakwambia alivyo mafia vitu vingi anavyomiliki ni copy ya vitu vya wenzake nikupe kimoja tu thread ni copy ya twitter, Facebook ni aliwadhurumu washikaji zake,twende Kwa Elon ana space X ambayo NASA wanaitegemea na Hela za ruzuku muda wowote anapewa na gavoo ya US we utashindana na Elon au UNALETA utani,kila utajiri una Siri kibao sio kama uyo bibi Faiza anadai anamjua bakhresa ni mtu mwema😀😀anajua wakina Nani wanashare pale bakhresa group?
Mkuu Bakhresa wenye share 1.Mohamed 2.Aboubakar 3.Omar 4.Mariam 5.Khalid(rip) 6.Yusuf....na Kimsingi wote ni wanae.
Huyu kamwe huwezi kumfananisha na hao matajiri wa kihuni.
 
Back
Top Bottom