Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Utajiri wa majini sio.
 
Sio kila anaekula chakula cha garama anataka show off no!! We unaishi bunju afu offisi yako ipo k.koo utarud kula lunch mchana??

Watu wanakula vyakula kwny hotel za bei kwa sababu ya usalama wa afya zao,,,,, nadhan unajua jins mazngira ya mama ntilie yalivyo yan huku anapika huku anajifuta jasho hapo hapo mteja akimaliza kula anachukua vyombo analoweka kwenye maji machafu, anakupakulia, hapo pemben kuna chemba ya mavi,, pemben kidogo kuna dampo la manispaa nzi kama wote,,, apo apo ana mtoto ambaye kajisaidia jran na sufuria ya maharage,, kuna usalama kweli hapo??
 
Mambo haya ya "umafia" yapo barani Afrika tu,

Kwa vile ni mifumo ya hovyo iliyopo tangu enzi na enzi.

Waafrika wengi walio fanikiwa legally ni wachache sana kuliko wale walio fanikiwa illegally.

Kuna nchi zina mifumo mizuri, Kiasi kwamba ukijituma tu na ukatia bidii hata kuwa tajiri ni rahisi sana.

Afrika kumejaa mifumo ya rushwa, uhujumu, upigaji, umimi, ubinafsi na uhovyo wa kila aina kiasi kwamba ni ngumu mtu kutoboa kwa legal ways.
 
Sijawahi kumuona wala kusikia Bakhresa akifanya hivyo na tumeishi nae Kariakoo kwa miaka mingi sana.
Hakuna mfanyabiashara anayetoka nje na kutangaza siri za mambo anayoyafanya. Labda nikupe kisa kimoja cha Bakhresa, alienda Rwanda akasili jina la "Azania" huku akijua kabisa kuwa hilo jina ni la mshindani wake hapa Tanzania. Azania Flour alipokwenda Rwanda kusajili akakuta tayari jina linamilikiwa na Bakhresa.

Huo ndio umafia wenyewe unaongelewa hapa

 
Daah
 
Hizo zote porojo za mitaani tu. Bakhresa jina lake lina kosa gani hata atumie jina la Azania?

Wacheni kudanganyana, fanyezi kazi kwa bidii, hakuna aliyezaliwa na mali na hakuna aneondoka na mali. Tumezzikuta na tunaziwacha hapa hapa.
 
Unataka kumpangia mtu maisha yake?
 
Hii kitu ipo dunia nzima. Shida neno la "umafia" lina relate sana na illegality; lakini ukilichukulia kama unfairness acts ndio utaona dunia nzima haya mambo yapo.

Juzi tu hapa Australia imekataa kuongeza route za Qatar airways nchini kwao bila sababu za msingi, hiyo move imekuwa engineered by Qantas Airways. Ndio umafia wenyewe. Tena wenzetu wako very aggressive and open. Facebook akishindwa kukunua ata-copy unachofanya ili kukumaliza.
 
Vijana msijidanganye wala msidanganywe na mawakili wa shetani hawa.

Fanya biashara yoyote kwa bidii na zungusha pesa kila fursa, kihalali, hakuna cha kukuzuwia kutajirika isipokuwa fikra zako tu.

Wachana na kufata wajinga wajinga wanaoamini hupati mali mpaka uwe mshirikina.
 
Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.


Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Ya kina mark Zuckerberg utayaona wapi wakati uko mbali nayo??? Tena huyo mark ndo usimzungumzie huyo ndo mafia wa mamafia,,, hata hyo Facebook halikua wazo lake kuna mtu alimpelekea hlo wazo amuundie hyo app ,,,,guess what happened next!!!

Kumbka, mark Zuckerberg alikua na mpango wa kuinunua twitter kutoka kwa jack dorsey lakn deal halikutiki, akatengeneza mtandao wa "THREAD" mbao ni C&P ya twitter!!
 
Ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…